Katibu Mtendaji Mkuu wa SADC afanya ziara nchini Zimbambwe
Katibu Mtendaji Mkuu wa SADC,Dr. Stergomena L. Tax amekutana na Mhe. Robert Mugabe, Rais wa Jamhuri ya Zimbambwe wakati akiwa katika Ziara ya kikazi nchini Zimbabwe. Pamoja na masuala mengine wamezungumzia umuhimu wa kuendeleza kwa kasi ushirikiano na mtangamano wa kiuchumi katika Jumuiya ya Maendeleo Kusuni mwa Afrika (SADC) ili kupunguza na hatimaye kuondokana na utegemezi. Walisisitiza umuhimu wa kukamilisha Ukanda Huru wa Biashara na kuanzisha Umoja wa Forodha wa SADC, na pia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog12 May
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu afanya ziara Mkoani Dodoma
Wakurugenzi wa Ofisi ya Waziri Mkuu waki kagua moja ya Mradi uanao tekelezwa na ( CDA) Miradi hii nikatika mpango wa matokeo makubwa sasa (BRN).
Katibu Mkuu Ofisi ya waziri Mkuu Dkt : Florens M Turuka wa (katikati) akitoa maelekezo kwa Wakurugenzi wa OWM walipo tembelea eneo la mradi wa Makaburi ya Viongozi katika eneo la Mlimani.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa (CDA) Bw: Pascal Muragiri akitoa maelezo ya mradi wa Barabara unaotekelezwa na CDA kwa msaada wa Benki ya Dunia wanao...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MITARO NA MAENEO YALIYOATHILIWA NA KIPINDUPINDU JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi15 Jul
KATIBU MKUU WA UVCCM AFANYA ZIARA MKOA WA ARUSHA
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
![six14](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/WblNZMoiikrwIdyy0xbIm6puXjn4MpAdL53ErOQi1NgHjNRJ0L-jVvHfJuUTHrFXn-3IoeQL4RWnEfxdzFSWzfSbDueBRgnmKhPMpi5sfkbbrntkVRCqZtOeGw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/six14.jpg?w=627&h=470)
![six12](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/RcIPr4IRoPRSSgMy6MxIVLZ4i9-d4wRIEzi9J1nqhqwu6oq78vzu70TkMkt-y-QezxdQT6Pmod-6fVlpWbq_Fhs0TXvMlyubkMDqAq6NlCwkO7DI1BraxPPDrQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/six12.jpg?w=627&h=470)
![six11](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/qMBWa5m9owwyylsu203esghWi33WFMW7z_NSJl32H728FPYD57A3VCRzkH1e768KLOlh0xyxc0VWNtnYuVtrmrU5rQNLmsDkZKLiiRdurwLzCUj0zXS9kYtc2w=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/six11.jpg?w=627&h=470)
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi afanya ziara TRL!!
Katibu mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Bw. Shabani Mwinjaka akiongea na waandishi wa habari alipofanya ziara yake katika shirika la reli Tanzania (TRL) leo jijini Dar es salaam.
Na Ally Daud-Maelezo
[DAR ES SALAAM] Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Shabani Mwinjaka amefanya ziara katika Shirika la Reli Tanzania (TRL) ili kuhakikisha ufanyaji kazi wa shirika hilo linaendana na kasi ya Rais wa awamu ya tano Mh. John Pombe Magufuli.
Katika ziara hiyo Bw. Mwinjuko alikagua karakana za shirika hilo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VQMqV2ZZ0IQ/VOHYjgumF2I/AAAAAAAHD88/xq8B_W50FyM/s72-c/1%2B(1).jpg)
Afisa Mtendaji Mkuu wa TTCL,afanya ziara mikoa ya kusini na Nyanda za juu kusini
Dr Kazaura ailijionea juhudi mbalimbali zinazofanywa na wafanyakazi wa TTCL katika kuhakikisha miundombinu ya TTCL na Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano inakuwa salama muda.
Hivi sasa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) imekuwa kampuni pekee ya mawasiliano ambayo imefanikiwa...
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Majaliwa akutana na Katibu Mtendaji wa SADC
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Katibu Mkuu Mtendaji wa SADC, Dkt. Stergomena Tax, ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 16, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
5 years ago
MichuziIGP SIRRO AKUTANA NA KATIBU MTENDAJI WA SADC
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-erAxq6xZSyc/VLvmEZmjhBI/AAAAAAACx5g/xFq_k4-gokg/s72-c/10.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AFANYA ZIARA YA MAJIMBO MANNE LEO MKOA WA MAGHARIBI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-erAxq6xZSyc/VLvmEZmjhBI/AAAAAAACx5g/xFq_k4-gokg/s1600/10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dzP4TNK0E4s/VLvlnFf4TpI/AAAAAAACx5I/nzSEcsskJHE/s1600/29.jpg)
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA HABARI,VIJANA,UTAMADUNI NA MICHEZO AFANYA ZIARA BASATA,TBC NA TSN.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10