Majaliwa akutana na Katibu Mtendaji wa SADC
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Katibu Mkuu Mtendaji wa SADC, Dkt. Stergomena Tax, ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 16, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziIGP SIRRO AKUTANA NA KATIBU MTENDAJI WA SADC
11 years ago
MichuziKatibu Mtendaji Mkuu wa SADC afanya ziara nchini Zimbambwe
Katibu Mtendaji Mkuu wa SADC,Dr. Stergomena L. Tax amekutana na Mhe. Robert Mugabe, Rais wa Jamhuri ya Zimbambwe wakati akiwa katika Ziara ya kikazi nchini Zimbabwe. Pamoja na masuala mengine wamezungumzia umuhimu wa kuendeleza kwa kasi ushirikiano na mtangamano wa kiuchumi katika Jumuiya ya Maendeleo Kusuni mwa Afrika (SADC) ili kupunguza na hatimaye kuondokana na utegemezi. Walisisitiza umuhimu wa kukamilisha Ukanda Huru wa Biashara na kuanzisha Umoja wa Forodha wa SADC, na pia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8eC0AlXm19E/Xk_3YK5ZK1I/AAAAAAALevM/rjGyrMUvausn3Tp8Sz4eNr2yDPOOnLT1ACLcBGAsYHQ/s72-c/a1c52346-b866-48f9-a6b7-ba8b65c01f90.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AZUNGUMZA NA KATIBU MTENDAJI WA SADC,DKT.TAX IKULU,ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-8eC0AlXm19E/Xk_3YK5ZK1I/AAAAAAALevM/rjGyrMUvausn3Tp8Sz4eNr2yDPOOnLT1ACLcBGAsYHQ/s640/a1c52346-b866-48f9-a6b7-ba8b65c01f90.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Katibu Mtendaji wa SADC Dkt. Stergomena Lawrence Tax, alipowasili katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar alipofika kuonana na kufanya mazungumzo leo 21-2-2020.(Picha na Ikulu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/06640c7d-a9e9-44de-93bf-11e78c79fed8.jpg)
9 years ago
MichuziKatibu mtendaji BAKITA amkabidhi kamusi kuu mpya ya kiswahili katibu mkuu wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ys2PLiyXc-I/XvcBq13F7_I/AAAAAAALvrA/JTm6fZPzxD433kVfpOtvatcZbu2-7T7oACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_4258AAA-768x377.jpg)
TUTAISAIDIA BURUNDI KUWA MWANACHAMA WA SADC-MAJALIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ys2PLiyXc-I/XvcBq13F7_I/AAAAAAALvrA/JTm6fZPzxD433kVfpOtvatcZbu2-7T7oACLcBGAsYHQ/s640/PMO_4258AAA-768x377.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PMO_4259AAA-1024x483.jpg)
Rais wa Burundi , Evariste Ndayishimiye akizungumza na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete kwenye Ikulu ya Gitega nchini Burundi baada ya mazishi ya aliyekuwa Rais wa Burundi, Marehemu Pierre Nkurunziza Juni, 26,2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PMO_4012AAA-1024x492.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Jakaya Kikwete wakizungumza na Makamu wa Rais wa Burundi, Prosper Bazombaza wakati walipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bujumbura na baadae walisafiri...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8fMqaxjTzvU/Xmeeh8dLqwI/AAAAAAALic0/Z8RFcC-Jjvc8qBMYZdUMrXdY0_xHhq57ACLcBGAsYHQ/s72-c/1A-1-768x512.jpg)
Majaliwa Kufungua Mkutano wa Mawaziri SADC kwa Njia ya Video
![](https://1.bp.blogspot.com/-8fMqaxjTzvU/Xmeeh8dLqwI/AAAAAAALic0/Z8RFcC-Jjvc8qBMYZdUMrXdY0_xHhq57ACLcBGAsYHQ/s640/1A-1-768x512.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Kanali Wilbert Ibuge akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya Mabadiliko ya mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC utakao fanyika kwa njia ya Mfumo wa Video kufuatia mripuko wa ugonjwa wa Corona (COVID-19) ambao kwa sasa umeikumba nchi ya Afrika ya Kusini ambayo pia ni Nchi mwananchama wa Jumuiya ya SADC.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-27-1024x768.jpg)
Naibu Katibu Mtendaji wa Maswala ya Ushirikiano wa Kikanda (SADC) Thembinkosi Mhlongo...
5 years ago
CCM BlogMAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI WA SADC KWA NJIA YA VIDEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MN7TnIRAUHw/XnJNiK-W9lI/AAAAAAALkVg/p45N-5up4GYSQRYjFWO5OJ7aDLdjvMckgCLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA: NCHI ZA SADC TUENDELEE KUPAZA SAUTI KUONDOLEWA VIKWAZO ZIMBABWE
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kutumia majukwaa ya kikanda, kitaifa na kimataifa kwa ajili ya kupaza sauti zao ili kusaidia kuondolewa kwa vikwazo kandamizi vya kiuchumi kwa Jamhuri ya Zimbabwe.
Akizungumza katika ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC leo Jumatano (Machi 18, 2020) Jijini Dar es Salaam, Waziri Mkuu Majaliwa alisema Tanzania kupitia nafasi yake ya Uenyekiti wa SADC imeendelea kupaza sauti kwa...
Akizungumza katika ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC leo Jumatano (Machi 18, 2020) Jijini Dar es Salaam, Waziri Mkuu Majaliwa alisema Tanzania kupitia nafasi yake ya Uenyekiti wa SADC imeendelea kupaza sauti kwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania