Samia awahimiza wananchi kuendeleza amani
Mgombea mwenza wa kiti cha Urais wa Chama cha mapinduzi CCM Samia Suluhu amewaomba wananchii kote nchini kuhakikisha wanatoa taarifa katika vyombo vya usalama pindi wanapoona wageni wasiokuwa na taarifa zao katika kuelekea katika uchaguzi mkuu.
Samia ameyasema hayo alipokuwa akimaliza ziara yake ya kuomba kura pamoja na kunadi ilani ya uchaguzi ya chama hicho katika mkoa wa simiyu katika wilaya ya Maswa.
Katika kiwanja cha nguzo nane wilaya ya maswa baadhi ya wananchii wanakusanyika kwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV01 Oct
Samia awatahadharisha wananchi kutunza amani
Chama cha Mapinduzi CCM kupitia Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais Samia Suluhu amewataka wananchi kulinda na kutunza amani iliyopo katika kipindi hiki cha Kampeni na Uchaguzi nchi nzima ili kuepuka kumwaga damu kama zilivyo nchi nyingine.
Samia ameyasema hayo katika mkutano wa hadhara ulifanyika sirari,Tarime Mkoani Mara alipokuwa akifanya kampeni za kuomba kura pamoja na kunadi Ilani ya uchaguzi ya Chama hicho.
Mara baada ya viwanja vya kata ya sriar samia alipata nafasi ya kufafanua...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ILj1qpGlBhI/default.jpg)
9 years ago
StarTV02 Jan
Watanzania watakiwa kuendeleza amani
WATANZANIA wametakiwa kuutumia mwaka mpya wa 2016 kuendeleza Sifa na Historia njema ya Tanzania katika kulinda na kudumisha amani iliyopo.
Kanisa la Tanzania Assemblies of God, TAG, mkoa wa Mbeya limesema kuingia mwaka mpya siyo sababu kwa Watanzania kuacha utamaduni wao wa kudumisha amani bali wanapaswa kuiendeleza sifa hiyo iliyoijengea Tanzania heshima Kimataifa.
Ushauri huo umetolewa na Mchungaji Kiongozi wa kanisa la TAG mkoa wa Mbeya, Addison Mwaijunga, wakati wa ibada maalum ya...
9 years ago
Dewji Blog25 Dec
Watanzania wameaswa kuendeleza Amani iliyopo
![pix 1a](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/pix-1a.jpg)
![pix 3](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/pix-3.jpg)
![pix 4](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/pix-41.jpg)
![pix 5](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/pix-5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FWhS5528qhI/VQ7Ejxct8KI/AAAAAAAAb_U/TOi94DX3bdI/s72-c/1.jpg)
LOWASSA AZIDI KUHAMASIKA JUU YA KUTANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS, AWAHIMIZA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWA WINGI DAFTARI LA WAPIGA KURA
![](http://1.bp.blogspot.com/-FWhS5528qhI/VQ7Ejxct8KI/AAAAAAAAb_U/TOi94DX3bdI/s1600/1.jpg)
Lowassa amesema anazidi kuhamasika kufuatia maombi ya watu wa makundi mbalimbali ya jamii wanao muomba kugombea urais mwaka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xtnlwF9ufIM/Xk6lqDZpnzI/AAAAAAALelo/6jqIZ27vGHYyIF_XGSOunN5_6RQj1pT1wCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-02-20-05h41m13s605.png)
DC ataka kanisa kuendeleza ardhi,wananchi wamuomba Rais kuingilia kati
![](https://1.bp.blogspot.com/-xtnlwF9ufIM/Xk6lqDZpnzI/AAAAAAALelo/6jqIZ27vGHYyIF_XGSOunN5_6RQj1pT1wCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-02-20-05h41m13s605.png)
Wananchi wa kijiji cha Magoda halmashauri ya mji wa Njombe mkoani Njombe wameonyesha kutoridhishwa na uamuzi uliotolewa na mkuu wa wilaya Ruth Msafiri wa kuliachia kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania KKKT dayosisi ya kusini, ardhi yenye ukubwa wa zaidi ya ekari 580 kwa madai ya kwamba hawana sifa kisheria za umiliki wa eneo hilo.
Kufuatia agizo hilo ambalo limetolewa mbele ya mkutano wa hadhara, wananchi wanasema wanafikiri kwenda kuitafuta haki yao katika...
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-klpsuja_-IU/VkA-hnjCveI/AAAAAAAArHk/mRhHFaiawdo/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS MAMA SAMIA ASHIRIKI HAFLA YA DUA YA KUOMBEA TAIFA AMANI, JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-klpsuja_-IU/VkA-hnjCveI/AAAAAAAArHk/mRhHFaiawdo/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9xj7_MCRi2k/VkA-m_zXa1I/AAAAAAAArH4/691SQAA8x8k/s640/1.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-cgWXyNbiAwE/VhRFAsQxcfI/AAAAAAAAErE/tSk11rxj3ck/s72-c/IMG_0004.jpg)
MAMA SAMIA SULUHU AWASILI KIGOMA, WANANCHI WASIMAMISHA SHUGHULI KUMLAKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-cgWXyNbiAwE/VhRFAsQxcfI/AAAAAAAAErE/tSk11rxj3ck/s640/IMG_0004.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mJOehGJnw_M/VhRFDyRV6fI/AAAAAAAAErQ/Ju4fddss-bU/s640/IMG_0006.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iz-sg6Y64lY/VhRFHP7bKyI/AAAAAAAAEr4/NCqr4J65_FI/s640/IMG_0116.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YH20EHVd6fs/VhRFFBJ0cNI/AAAAAAAAErc/jdqVFznyC9Q/s640/IMG_0085.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 May
Wananchi nawaomba, tudumishe amani.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10