Watanzania wameaswa kuendeleza Amani iliyopo
![pix 1a](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/pix-1a.jpg)
![pix 3](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/pix-3.jpg)
![pix 4](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/pix-41.jpg)
![pix 5](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/pix-5.jpg)
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV02 Jan
Watanzania watakiwa kuendeleza amani
WATANZANIA wametakiwa kuutumia mwaka mpya wa 2016 kuendeleza Sifa na Historia njema ya Tanzania katika kulinda na kudumisha amani iliyopo.
Kanisa la Tanzania Assemblies of God, TAG, mkoa wa Mbeya limesema kuingia mwaka mpya siyo sababu kwa Watanzania kuacha utamaduni wao wa kudumisha amani bali wanapaswa kuiendeleza sifa hiyo iliyoijengea Tanzania heshima Kimataifa.
Ushauri huo umetolewa na Mchungaji Kiongozi wa kanisa la TAG mkoa wa Mbeya, Addison Mwaijunga, wakati wa ibada maalum ya...
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Wanawake wameaswa kutumia fursa iliyopo katika sekta ya bahari
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Wanawake wameaswa kutumia fursa iliyopo katika sekta ya bahari kwa kupata elimu na mafunzo ya sekta hiyo ambayo ni msingi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-id4m-UPHsEI/VcoOUP0PMNI/AAAAAAAHwEY/x9iYGM-Rwlw/s72-c/01.jpg)
WATANZANIA WAMEASWA KUHIFADHI MAZINGIRA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-id4m-UPHsEI/VcoOUP0PMNI/AAAAAAAHwEY/x9iYGM-Rwlw/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-m9uQCyib2YU/VcoOdqJ6zCI/AAAAAAAHwEg/6Y7PmlQFUZs/s640/02.jpg)
10 years ago
Habarileo06 Apr
Ni wajibu kukumbatia amani iliyopo-Askofu
WATANZANIA wametakiwa kuilinda na kuikumbatia amani kutokana na vitendo vya kigaidi na mauaji ya kutisha.
9 years ago
Vijimambo22 Sep
UN NA SERIKALI YA TANZANIA KUENDELEA KUDUMISHA AMANI ILIYOPO NCHINI
![IMG_0482](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/IMG_0482.jpg)
Mgeni rasmi Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Zulmira Rodrigues (wa pili kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Vilabu vya Waandishi wa Habari (UTPC), Abubakar Karsan mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Nyanza jijini Mwanza kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Amani ambapo kitaifa yamefanyika jijini humo na kuandaliwa na Baraza la Dini mbalimbali la Amani Tanzania...
9 years ago
Dewji Blog22 Sep
UN na Serikali ya Tanzania kuendelea kudumisha amani iliyopo nchini
Mgeni rasmi Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Zulmira Rodrigues (wa pili kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Vilabu vya Waandishi wa Habari (UTPC), Abubakar Karsan mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Nyanza jijini Mwanza kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Amani ambapo kitaifa yamefanyika jijini humo na kuandaliwa na Baraza la Dini mbalimbali la Amani...
9 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/IMG_0627.jpg)
UN NA SERIKALI YA TANZANIA KUENDELEA KUDUMISHA AMANI ILIYOPO NCHINI
9 years ago
StarTV05 Oct
Samia awahimiza wananchi kuendeleza amani
Mgombea mwenza wa kiti cha Urais wa Chama cha mapinduzi CCM Samia Suluhu amewaomba wananchii kote nchini kuhakikisha wanatoa taarifa katika vyombo vya usalama pindi wanapoona wageni wasiokuwa na taarifa zao katika kuelekea katika uchaguzi mkuu.
Samia ameyasema hayo alipokuwa akimaliza ziara yake ya kuomba kura pamoja na kunadi ilani ya uchaguzi ya chama hicho katika mkoa wa simiyu katika wilaya ya Maswa.
Katika kiwanja cha nguzo nane wilaya ya maswa baadhi ya wananchii wanakusanyika kwa...
10 years ago
Dewji Blog06 Jan