Wassira asisitiza uwajibikaji kulinda maslahi ya taifa
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Uhusiano na Uratibu, Stephen Wassira amekiri kuwa hali ilikuwa mbaya bungeni Ijumaa usiku wakati wa kujadili na kupitisha maazimio kuhusu sakata la uchotaji wa fedha za Tegeta Escrow zilizokuwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-unP-HvN8Gdk/U_2lK6iE5eI/AAAAAAAABkM/BMVJ6wlA2w0/s72-c/mkapa2.jpg)
Mkapa: Maslahi binafsi yanaathiri uwajibikaji
NA RABIA BAKARI
RAIS Mstaafu Benjamin Mkapa, amesema mgongano wa kimaslahi baina ya viongozi na watumishi wa umma, ni janga ambalo halijapewa uzito wa kutosha katika kulipatia ufumbuzi.
Amesema tatizo hilo limekuwa likizikumba nchi mbalimbali duniani na kwamba viongozi wenye maslahi binafsi ni tatizo katika kuleta usawa na uwajibikaji.
![](http://3.bp.blogspot.com/-unP-HvN8Gdk/U_2lK6iE5eI/AAAAAAAABkM/BMVJ6wlA2w0/s1600/mkapa2.jpg)
Akizungumzia wakati akifungua warsha ya kujadili Mapendekezo ya Sheria Mgongano wa Kimaslahi miongoni mwa watumishi wa umma mjini Dar es Salaam, jana, alisema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GykVw44HF_Y/XufiPYaL0TI/AAAAAAALt9w/C7WNEcIWcDkwxesEh48Z1p_2n0LKaYZXQCLcBGAsYHQ/s72-c/JPEG.-NA.-1.jpg)
Dkt. Chaula aahidi kuleta mabadiliko Sekta ya Mawasiliano, asisitiza uwajibikaji na mahusiano bora kazini
![](https://1.bp.blogspot.com/-GykVw44HF_Y/XufiPYaL0TI/AAAAAAALt9w/C7WNEcIWcDkwxesEh48Z1p_2n0LKaYZXQCLcBGAsYHQ/s640/JPEG.-NA.-1.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula akizungumza na wafanyakazi wa Sekta yake katika kikao cha wafanyakazi kilichofanyika kwenye ukumbi wa TBA, Dodoma. Kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu, Dkt. Jim Yonazi na kulia kwake ni Mkurugenzi wa Utumishi na Rasilimali Watu, Kitolina Kippa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/JPEG.-NA.-2.jpg)
Mwenyekiti wa TUGHE Tawi la Mawasiliano, Bi Laurencia Masigo, akiwasilisha hoja za wafanyakazi kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na...
11 years ago
Uhuru Newspaper07 Aug
Kinana: Tutazidi kulinda maslahi ya wafanyakazi
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
KATIBU Mkuu wa CCM, Abrahaman Kinana, amesema Chama kitaendelea kuwa karibu na wafanyakazi katika kuhakikisha maslahi yao yanapatikana. .
Kinana alisema hayo jana alipokuwa akipokea kadi ya uanachama kutoka Chama cha Wafanyakazi wa Hifadhi, Hotelini, Nyumbani, Huduma za Jamii na Ushauri (CHODAWU) katika ukumbi wa CCM Makao Makuu, mjini hapa.
Alisema mara nyingi wafanyakazi wamekuwa wakijitetea wenyewe lakini kwa sasa kutokana na kupokea kadi hiyo kunakifanya chama kuwa...
10 years ago
Dewji Blog12 Dec
Wahitimu IJA-Lushoto waaswa kulinda maslahi ya umma
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Angellah Kairuki akihutubua katika mahafali ya 14 ya Chuo cha Uongozi wa Mahakama – Lushoto wilayani Lushoto hivi karibuni.
Na Mwandishi Wetu
Wahitimu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama – Lushoto (IJA) wameaswa kutumia elimu waliyopata kwa kuwatumikia wananchi kwa uaminifu ili kulinda heshima ya chuo hicho.
Akizungumza hivi karibuni katika mahafali ya 14 ya chuo hicho yaliyofanyika wilayani Lushoto mkoani Tanga, Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mheshiwa...
10 years ago
Dewji Blog11 May
Rais Kikwete: Wekeni waambata kulinda maslahi ya wanafunzi wa Tanzania nje
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameielekeza Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kuhakikisha kuwa Balozi mbali mbali za Tanzania nje ya nchi zinakuwa na Waambata wa Elimu kwa nia ya kukabiliana na kutatua matatizo ya wanafunzi wa Tanzania wanaosoma katika nchi mbali mbali duniani.
Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa moja ya wajibu mkubwa wa mabalozi wanaoziwakilisha Tanzania nje ya nchi ni kutetea na kulinda maslahi ya Watanzania walioko...
9 years ago
Raia Mwema11 Nov
Tunahitaji Bunge linalojali maslahi ya taifa
BAADA ya Uchaguzi Mkuu. Tumempata Rais, wabunge na madiwani. Kinachobaki sasa ni kazi.
Privatus Karugendo
11 years ago
Habarileo16 May
Mabadiliko Sheria ya Ununuzi yalinda maslahi ya taifa
MIKATABA isiyo na maslahi kwa taifa imedhibitiwa kwa kiwango kikubwa kutokana na mabadiliko yaliyofanyika katika Sheria ya Ununuzi ya mwaka 2011; Bunge limeelezwa jana.
10 years ago
Habarileo13 Aug
‘Vijana chagueni viongozi wenye maslahi kwa taifa’
WIZARA ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imehimiza vijana kuhakikisha wanachagua viongozi wenye maslahi kwa taifa katika uchaguzi mkuu Oktoba 25, mwaka huu. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Profesa Elisante Ole Gabriel alitoa mwito huo jijini Dar es Salaam jana katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani.
9 years ago
Habarileo15 Oct
Wanasiasa nchini watakiwa kuweka mbele maslahi ya taifa
BARAZA la vyama vya siasa nchini limesema kazi ya kulinda kura ipo chini ya mamlaka ya vyombo vya ulinzi kwa mujibu wa katiba na sheria na si wananchi.