Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkapa: Maslahi binafsi yanaathiri uwajibikaji


NA RABIA BAKARI
RAIS Mstaafu Benjamin Mkapa, amesema mgongano wa kimaslahi baina ya viongozi na watumishi wa umma, ni janga ambalo halijapewa uzito wa kutosha katika kulipatia ufumbuzi.
Amesema tatizo hilo limekuwa likizikumba nchi mbalimbali duniani na kwamba viongozi wenye maslahi binafsi ni tatizo katika kuleta usawa na uwajibikaji.

Akizungumzia wakati akifungua warsha ya kujadili Mapendekezo ya Sheria Mgongano wa Kimaslahi miongoni mwa watumishi wa umma mjini Dar es Salaam, jana, alisema...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wassira asisitiza uwajibikaji kulinda maslahi ya taifa

 Stephen WassiraWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Uhusiano na Uratibu, Stephen Wassira amekiri kuwa hali ilikuwa mbaya bungeni Ijumaa usiku wakati wa kujadili na kupitisha maazimio kuhusu sakata la uchotaji wa fedha za Tegeta Escrow zilizokuwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

 

10 years ago

Habarileo

Sheria ya sekta binafsi ulinzi kuleta uwajibikaji

KUKAMILIKA kwa sheria ya kudhibiti sekta binafsi ya ulinzi, kutasaidia kuondoa kampuni yanayofanya shughuli hiyo kwa ubabaishaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuache maslahi binafsi tutafute katiba ya nchi

MCHAKATO wa kuandika katiba mpya ya taifa letu umefika mahali pagumu. Ni pagumu kwa vile mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba hauonyeshi kutoa kile ambacho wananchi wanakisubiri kwa hamu sana....

 

11 years ago

Mwananchi

Mjumbe: Jina la Nyerere lisitumike kwa maslahi binafsi

Miongoni mwa wanasiasa ambao sasa kauli na misimamo yao imekuwa mjadala katika Mchakato wa Katiba ni Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere.

 

10 years ago

Bongo5

Malumbano kati ya mashabiki wa Alikiba na Diamond yanaathiri muziki wangu — Abdul Kiba

Mdogo wake na Alikiba, Abdul Kiba amesema muziki wake unaathiriwa na malumbano yasiyoisha kati ya mashabiki wa Kiba na Diamond. Abdul Kiba aliyewahi kutamba na wimbo Kidela aliomshirikisha kaka yake huyo, amekiambia kipindi cha Siz Kitaa kinachorushwa na Clouds TV kuwa mashabiki wa wasanii hao wamekuwa wakimshambulia yeye bila sababu yoyote. “Zimeathiri kwa sababu muziki […]

 

11 years ago

Michuzi

MH. PINDA AKUTANA NA MZEE MKAPA NA MAMA ANNA MKAPA JIJINI MWANZA

PG4A2748Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na  Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa na mkewe Mama Anna Mkapa kwenye Ikulu ya Mwanza  ambako atakuwa  mgeni rasmi katiaka harambee ya Mkapa Foundation inayotarajiwa kufanyika  jijini Mwanza.
PG4A2753Waziri Mkuu Mizengo  Pinda akizungumza na  Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa na mkewe Mama Anna Mkapa kwenye Ikulu ya Mwanza  ambako  atakuwa   mgeni rasmi katiaka harambee ya Mkapa Foundation inayotarajiwa kufanyika  jijini Mwanza. (Picha na Ofisi ya Waziri...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uwajibikaji katika Muungano TZ

Katika kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar je uwazi na uwajibikaji vimekuwa?

 

9 years ago

Habarileo

OUT wakumbushwa dhana ya uwajibikaji

WANAFUNZI wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), tawi la Manyara wanaosoma huku wakifanya kazi wamehimizwa kukabili changamoto za uwajibikaji kazini na kwenye masomo ili kufikia malengo ya maendeleo kwa kujipatia elimu kwa wote.

 

11 years ago

Tanzania Daima

BAVICHA wataka uwajibikaji serikalini

BARAZA la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA (BAVICHA) limeitaka serikali kuwajibika kwa misingi ya uzalendo dhidi ya wawekezaji nchini kwa kuwa ndio chanzo cha kuwa na wawekezaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani