Mkapa: Maslahi binafsi yanaathiri uwajibikaji

NA RABIA BAKARI
RAIS Mstaafu Benjamin Mkapa, amesema mgongano wa kimaslahi baina ya viongozi na watumishi wa umma, ni janga ambalo halijapewa uzito wa kutosha katika kulipatia ufumbuzi.
Amesema tatizo hilo limekuwa likizikumba nchi mbalimbali duniani na kwamba viongozi wenye maslahi binafsi ni tatizo katika kuleta usawa na uwajibikaji.
Akizungumzia wakati akifungua warsha ya kujadili Mapendekezo ya Sheria Mgongano wa Kimaslahi miongoni mwa watumishi wa umma mjini Dar es Salaam, jana, alisema...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Dec
Wassira asisitiza uwajibikaji kulinda maslahi ya taifa
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Uhusiano na Uratibu, Stephen Wassira amekiri kuwa hali ilikuwa mbaya bungeni Ijumaa usiku wakati wa kujadili na kupitisha maazimio kuhusu sakata la uchotaji wa fedha za Tegeta Escrow zilizokuwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
10 years ago
Habarileo01 Dec
Sheria ya sekta binafsi ulinzi kuleta uwajibikaji
KUKAMILIKA kwa sheria ya kudhibiti sekta binafsi ya ulinzi, kutasaidia kuondoa kampuni yanayofanya shughuli hiyo kwa ubabaishaji.
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Tuache maslahi binafsi tutafute katiba ya nchi
MCHAKATO wa kuandika katiba mpya ya taifa letu umefika mahali pagumu. Ni pagumu kwa vile mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba hauonyeshi kutoa kile ambacho wananchi wanakisubiri kwa hamu sana....
11 years ago
Mwananchi04 May
Mjumbe: Jina la Nyerere lisitumike kwa maslahi binafsi
10 years ago
Bongo522 Oct
Malumbano kati ya mashabiki wa Alikiba na Diamond yanaathiri muziki wangu — Abdul Kiba
11 years ago
Michuzi23 Aug
MH. PINDA AKUTANA NA MZEE MKAPA NA MAMA ANNA MKAPA JIJINI MWANZA


11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Uwajibikaji katika Muungano TZ
9 years ago
Habarileo11 Nov
OUT wakumbushwa dhana ya uwajibikaji
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), tawi la Manyara wanaosoma huku wakifanya kazi wamehimizwa kukabili changamoto za uwajibikaji kazini na kwenye masomo ili kufikia malengo ya maendeleo kwa kujipatia elimu kwa wote.
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
BAVICHA wataka uwajibikaji serikalini
BARAZA la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA (BAVICHA) limeitaka serikali kuwajibika kwa misingi ya uzalendo dhidi ya wawekezaji nchini kwa kuwa ndio chanzo cha kuwa na wawekezaji...