Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uwajibikaji katika Muungano TZ

Katika kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar je uwazi na uwajibikaji vimekuwa?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Azimio la Mtwara -Uwajibikaji katika Uvunaji wa Maliasili ya Nchi yetu

Azimio la Mtwara

Uwajibikaji katika Uvunaji wa Maliasili ya Nchi yetu.

"Azimio la Mtwara" tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba

“Azimio la Mtwara” tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba

Tanzania kama zilivyo nchi nyingi za bara la Afrika imejaaliwa kuwa na Rasilimali mbali mbali za asili. Miongoni mwa rasilimali hizo ni pamoja na Madini na Gesi Asilia. Usimamizi wa uvunaji wa rasilimali hizi umegubikwa na manung’uniko makubwa ya wananchi hususan kutokana na usiri mkubwa uliopo kwenye mikataba ya uvunaji wa Maliasili hizi za Taifa....

 

9 years ago

Michuzi

MHE. KAIRUKI AENDELEA NA ZIARA KATIKA TAASISI ZILIZO CHINI YA OFISI YAKE KUHIMIZA UWAJIBIKAJI

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) (wa pili kulia) akizungumza na watumishi wa Bodi ya Mishahara na Masilahi katika Utumishi wa Umma alipoitembelea ofisi hiyo mapema leo. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) (kushoto) akiwahimiza watumishi wa Tume ya Utumishi wa Umma kuwajibika alipoitembelea ofisi hiyo mapema leo. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb)...

 

10 years ago

Vijimambo

Uraia katika Jamhuri ya muungano wa Tanzania kutoka katika Rasimu ya katiba inayopendekezwa

Uraia wa Jamhuri yaMuungano

65.-(1) Mtu ambaye, kabla ya Katiba hii kuanza kutumika, ni raia wa
Jamhuri ya Muungano ataendelea kuwa raia wa Jamhuri ya Muungano.

(2) Uraia wa Jamhuri ya Muungano ni wa aina mbili na utapatikana kwa
njia ya kuzaliwa au kuandikishwa.

Haki ya uraia 66. Kila raia ana haki ya kutambuliwa uraia wake na kwa
madhumuni haya, mamlaka ya nchi itaweka utaratibu wa sheria
utakaowezesha raia kupata hati ya kuzaliwa, kitambulisho cha uraia wake bila ya
upendeleo na ubaguzi wa aina...

 

11 years ago

Habarileo

Hati ya Muungano kutumika katika Bunge Maalum

John MnyikaHATI ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni miongoni mwa nyaraka ambazo Bunge Maalum la Katiba, limekubali kuwa kiwe ni moja ya vielelezo, ambavyo Wajumbe watavitumia watakapokuwa wanachangia hoja zinazohusu jambo hilo.

 

11 years ago

Michuzi

MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA NA USHIRIKIANO KATIKA UTUMISHI WA UMMA.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh. Celina O. Kombani (Mb) katikati akiongea katika kipindi cha Jambo Tanzania kuhusu Mashirikiano katika Utumishi wa Umma katika miaka 50 ya Muungano wa Tanzania, kulia ni Mh. James Mbatia, kushoto ni Mtangazaji wa TBC Shaban Kissu.

 

11 years ago

Dewji Blog

Hotuba ya Mhe. Mwigulu Nchemba katika sherehe za Muungano Washington DC

Untitled

Mhe. Mwigulu Nchemba akizungumza katika moja ya hafla hapa Washington DC.(Picha kwa hisani ya Vijimambo Blog).

Ifuatayo ni hotuba ya Mhe Mwigulu Nchemba.

Naibu Waziri wa Fedha na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (Tanzania Bara) aliyoitoa katika maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano hapa Washington DC.

Audio hii ni kwa hisani ya Vijimambo Blog

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani