Uwajibikaji katika Muungano TZ
Katika kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar je uwazi na uwajibikaji vimekuwa?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Zitto Kabwe, MB06 Jan
Azimio la Mtwara -Uwajibikaji katika Uvunaji wa Maliasili ya Nchi yetu
Azimio la Mtwara
Uwajibikaji katika Uvunaji wa Maliasili ya Nchi yetu.
!["Azimio la Mtwara" tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba](https://zittokabwe.files.wordpress.com/2014/12/012.jpg?w=674&h=346)
“Azimio la Mtwara” tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba
Tanzania kama zilivyo nchi nyingi za bara la Afrika imejaaliwa kuwa na Rasilimali mbali mbali za asili. Miongoni mwa rasilimali hizo ni pamoja na Madini na Gesi Asilia. Usimamizi wa uvunaji wa rasilimali hizi umegubikwa na manung’uniko makubwa ya wananchi hususan kutokana na usiri mkubwa uliopo kwenye mikataba ya uvunaji wa Maliasili hizi za Taifa....
9 years ago
MichuziMHE. KAIRUKI AENDELEA NA ZIARA KATIKA TAASISI ZILIZO CHINI YA OFISI YAKE KUHIMIZA UWAJIBIKAJI
10 years ago
Vijimambo27 Oct
Uraia katika Jamhuri ya muungano wa Tanzania kutoka katika Rasimu ya katiba inayopendekezwa
65.-(1) Mtu ambaye, kabla ya Katiba hii kuanza kutumika, ni raia wa
Jamhuri ya Muungano ataendelea kuwa raia wa Jamhuri ya Muungano.
(2) Uraia wa Jamhuri ya Muungano ni wa aina mbili na utapatikana kwa
njia ya kuzaliwa au kuandikishwa.
Haki ya uraia 66. Kila raia ana haki ya kutambuliwa uraia wake na kwa
madhumuni haya, mamlaka ya nchi itaweka utaratibu wa sheria
utakaowezesha raia kupata hati ya kuzaliwa, kitambulisho cha uraia wake bila ya
upendeleo na ubaguzi wa aina...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iQ6E7KpUEew/VQwwur3Vt0I/AAAAAAAHLp0/3QgR5XuY8kY/s72-c/zitto.jpg)
11 years ago
Habarileo05 Mar
Hati ya Muungano kutumika katika Bunge Maalum
HATI ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni miongoni mwa nyaraka ambazo Bunge Maalum la Katiba, limekubali kuwa kiwe ni moja ya vielelezo, ambavyo Wajumbe watavitumia watakapokuwa wanachangia hoja zinazohusu jambo hilo.
11 years ago
Michuzi27 Apr
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/_Nbg9k2htCA/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vJbJD723m_g/UxRQrzLouhI/AAAAAAACbdA/et-HkqdbUAE/s72-c/Copy+of+IMG_9378.jpg)
MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA NA USHIRIKIANO KATIKA UTUMISHI WA UMMA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-vJbJD723m_g/UxRQrzLouhI/AAAAAAACbdA/et-HkqdbUAE/s1600/Copy+of+IMG_9378.jpg)
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
Hotuba ya Mhe. Mwigulu Nchemba katika sherehe za Muungano Washington DC
Mhe. Mwigulu Nchemba akizungumza katika moja ya hafla hapa Washington DC.(Picha kwa hisani ya Vijimambo Blog).
Ifuatayo ni hotuba ya Mhe Mwigulu Nchemba.
Naibu Waziri wa Fedha na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (Tanzania Bara) aliyoitoa katika maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano hapa Washington DC.
Audio hii ni kwa hisani ya Vijimambo Blog