Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azimio la Mtwara -Uwajibikaji katika Uvunaji wa Maliasili ya Nchi yetu

Azimio la Mtwara

Uwajibikaji katika Uvunaji wa Maliasili ya Nchi yetu.

"Azimio la Mtwara" tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba

“Azimio la Mtwara” tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba

Tanzania kama zilivyo nchi nyingi za bara la Afrika imejaaliwa kuwa na Rasilimali mbali mbali za asili. Miongoni mwa rasilimali hizo ni pamoja na Madini na Gesi Asilia. Usimamizi wa uvunaji wa rasilimali hizi umegubikwa na manung’uniko makubwa ya wananchi hususan kutokana na usiri mkubwa uliopo kwenye mikataba ya uvunaji wa Maliasili hizi za Taifa....

Zitto Kabwe, MB

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Uvunaji maliasili za Taifa lazima unufaishe Watanzania — Sumaye

p>WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema Waafrika wakiwamo Watanzania wanapaswa kujiandaa kunufaika na uvunaji mpya unaofanyika katika rasilimali zake. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa biashara na vitega uchumi...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

“Azimio la Mtwara” Speech by Zitto Kabwe: Mtwara, 31-12-14

View this document on Scribd

PICHA

"Azimio la Mtwara" tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba

“Azimio la Mtwara” tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba

 


 

10 years ago

Vijimambo

RUSHWA NI TATIZO SUGU KATIKA NCHI YETU, NANI ATAWEZA KUIONDOA?

MWANDISHI Eric Shigongo
KATIKA kumuenzi Mungu, kila mtu ambaye leo afya yake ni nzuri hana budi kumshukuru na kumtukuza huku akimuomba awaponye wale wote walio katika magonjwa.

Baada ya kusema hayo nianze kwa kusema kuwa katika kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi, baadhi ya matawi wanachama wake wamelalamikia rushwa kwamba waliwapigia kura watu waliokuwa wanapenda kuwaongoza lakini kura zao zikachakachuliwa.

Nilisimuliwa kuhusu tawi moja eti waliochaguliwa waliiba kura na matokeo yakatajwa...

 

10 years ago

GPL

VIONGOZI MBALIMBALI WAJITOKEZA KATIKA MKUTANO WA MASHAURIANO KUHUSU AMANI, UMOJA NA UTULIVU WA NCHI YETU

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku akizungungumzwa katika mkutano wa siku mbili wa mashauriano kuhusu amani, umoja na utulivu wa nchi yetu ulioanza leo ambao utamalizika kesho. Mkutano huo ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), ulifanyika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), Dar es Salaam leo asubuhi.  Brigedea Jenerali mstaafu, Francis Mbena akihutubia kwenye...

 

5 years ago

Michuzi

WATUMISHI WA MALIASILI WATAKIWA KUHAMISHIA OFISI KATIKA MAENEO YA HIFADHI ILI KULINDA MALIASILI


 Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangala(kushoto) akibadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri(kulia) na Watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyapori(TAWA), Wakala wa Huduma za Mistu Tanzania (TFS) Kanda ya Magharibi na Hifadhi za Taifa(TANAPA) jana mara baada ya ziara yake ya kikazi Mkoani humo.Waziri wa Maliasili na Utalii...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uwajibikaji katika Muungano TZ

Katika kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar je uwazi na uwajibikaji vimekuwa?

 

10 years ago

Tanzania Daima

Nchi yetu imevurugwa

LEO nazungumzia mambo mawili makubwa. Kwanza ni suala la wagombea wa vyama vya siasa kutopata idadi inayotakiwa; na pili ni suala la akaunti ya Tegeta Escrow lililotawala mijadala ya Bunge...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani