Azimio la Mtwara -Uwajibikaji katika Uvunaji wa Maliasili ya Nchi yetu
Azimio la Mtwara
Uwajibikaji katika Uvunaji wa Maliasili ya Nchi yetu.
!["Azimio la Mtwara" tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba](https://zittokabwe.files.wordpress.com/2014/12/012.jpg?w=674&h=346)
“Azimio la Mtwara” tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba
Tanzania kama zilivyo nchi nyingi za bara la Afrika imejaaliwa kuwa na Rasilimali mbali mbali za asili. Miongoni mwa rasilimali hizo ni pamoja na Madini na Gesi Asilia. Usimamizi wa uvunaji wa rasilimali hizi umegubikwa na manung’uniko makubwa ya wananchi hususan kutokana na usiri mkubwa uliopo kwenye mikataba ya uvunaji wa Maliasili hizi za Taifa....
Zitto Kabwe, MB
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Uvunaji maliasili za Taifa lazima unufaishe Watanzania — Sumaye
10 years ago
Zitto Kabwe, MB09 Jan
“Azimio la Mtwara” Speech by Zitto Kabwe: Mtwara, 31-12-14
PICHA
!["Azimio la Mtwara" tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba](https://zittokabwe.files.wordpress.com/2014/12/012.jpg?w=674&h=346)
“Azimio la Mtwara” tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba
![](https://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3444&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
10 years ago
Vijimambo17 Dec
RUSHWA NI TATIZO SUGU KATIKA NCHI YETU, NANI ATAWEZA KUIONDOA?
![](http://api.ning.com/files/4YilfwQJfCsmQvIlIFx5OUAnQ3wzo1oArM7WqN9FHalt3GxKKRDo9kEQ5hzcCRrEu9xcbs0XUZueJHrrA6x-uydcmq6qH7ll/RUSHWAPICHANA1.jpg?width=650)
KATIKA kumuenzi Mungu, kila mtu ambaye leo afya yake ni nzuri hana budi kumshukuru na kumtukuza huku akimuomba awaponye wale wote walio katika magonjwa.
Baada ya kusema hayo nianze kwa kusema kuwa katika kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi, baadhi ya matawi wanachama wake wamelalamikia rushwa kwamba waliwapigia kura watu waliokuwa wanapenda kuwaongoza lakini kura zao zikachakachuliwa.
Nilisimuliwa kuhusu tawi moja eti waliochaguliwa waliiba kura na matokeo yakatajwa...
10 years ago
GPLVIONGOZI MBALIMBALI WAJITOKEZA KATIKA MKUTANO WA MASHAURIANO KUHUSU AMANI, UMOJA NA UTULIVU WA NCHI YETU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dFoJhxtCfe4/XklpDhd90jI/AAAAAAALdkw/pAsgyogIFmklptnmLTYMAueLrLNWPPZAQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-30-1024x683.jpg)
WATUMISHI WA MALIASILI WATAKIWA KUHAMISHIA OFISI KATIKA MAENEO YA HIFADHI ILI KULINDA MALIASILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-dFoJhxtCfe4/XklpDhd90jI/AAAAAAALdkw/pAsgyogIFmklptnmLTYMAueLrLNWPPZAQCLcBGAsYHQ/s640/1-30-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-27-1024x683.jpg)
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Uwajibikaji katika Muungano TZ
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/K99tczx_LQM/default.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Nchi yetu imevurugwa
LEO nazungumzia mambo mawili makubwa. Kwanza ni suala la wagombea wa vyama vya siasa kutopata idadi inayotakiwa; na pili ni suala la akaunti ya Tegeta Escrow lililotawala mijadala ya Bunge...