Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nchi yetu imevurugwa

LEO nazungumzia mambo mawili makubwa. Kwanza ni suala la wagombea wa vyama vya siasa kutopata idadi inayotakiwa; na pili ni suala la akaunti ya Tegeta Escrow lililotawala mijadala ya Bunge...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Tusipokemea rushwa tutaiangamiza nchi yetu

TANZANIA hivi sasa inakabiliwa na rushwa, ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka ambayo kwa kiasi kikubwa yamechangia kusuasua kwa maendeleo. Baaadhi ya Watanzania wenzetu wamekuwa na tabia ya kuwakejeli viongozi...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Mwananchi

Wasomi wa vyeti wataiendeleza nchi yetu?

Nchi nyingi za Afrika ikiwamo Tanzania, ina mifumo ya shule inayotoa elimu bandia na hatimaye wasomi bandia.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali isipolipa madeni nchi yetu itauzwa

Tunalazimika leo kuihadharisha Serikali kuhusu madhara yatakayotokea kwa nchi yetu kutokana na kutolipa madeni, iwe ya nchini mwetu au ya nje

 

11 years ago

Mwananchi

Tutumie hii sanaa kuitangaza nchi yetu

“Naweza kusema sanaa inachukua muda mwingi wa maisha yangu. Kwani katika kila dakika ninayoishi, nimekuwa nikiitumia kufikiri ni kitu gani kipya cha ubunifu naweza kufanya kujiingizia kipato,” anaanza kusema mbunifu wa mitindo na msanii wa mkongwe nchini Fatma Amour.

 

10 years ago

Mwananchi

Usalama wa nchi yetu ni wa sisi wote, tusifanye mzaha

Katika hotuba yake ya kila mwezi, Rais Jakaya Kikwete amezungumzia mambo matano, mmojawapo ikiwa ni hali ya usalama nchini.

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Azimio la Mtwara -Uwajibikaji katika Uvunaji wa Maliasili ya Nchi yetu

Azimio la Mtwara

Uwajibikaji katika Uvunaji wa Maliasili ya Nchi yetu.

"Azimio la Mtwara" tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba

“Azimio la Mtwara” tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba

Tanzania kama zilivyo nchi nyingi za bara la Afrika imejaaliwa kuwa na Rasilimali mbali mbali za asili. Miongoni mwa rasilimali hizo ni pamoja na Madini na Gesi Asilia. Usimamizi wa uvunaji wa rasilimali hizi umegubikwa na manung’uniko makubwa ya wananchi hususan kutokana na usiri mkubwa uliopo kwenye mikataba ya uvunaji wa Maliasili hizi za Taifa....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba ipeni nchi yetu hatima njema

HOTUBA ya Rais Jakaya Kikwete imechukuliwa kuwa ni hotuba ya kuwashinikiza, kushauri na kuelekeza nini kifanyike katika mchakato wa kujadili rasimu ya pili ya Katiba mpya ndani ya Bunge Maalumu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani