Tutumie hii sanaa kuitangaza nchi yetu
“Naweza kusema sanaa inachukua muda mwingi wa maisha yangu. Kwani katika kila dakika ninayoishi, nimekuwa nikiitumia kufikiri ni kitu gani kipya cha ubunifu naweza kufanya kujiingizia kipato,†anaanza kusema mbunifu wa mitindo na msanii wa mkongwe nchini Fatma Amour.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Z12FZJAJc7g/UveGYxY7THI/AAAAAAAFL7s/4oMXdjgu6DE/s72-c/kadinda.jpg)
MARTIN KADINDA KUITANGAZA TANZANIA KATIKA NCHI ZA KENYA NA ZAMBIA MWAKA HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z12FZJAJc7g/UveGYxY7THI/AAAAAAAFL7s/4oMXdjgu6DE/s1600/kadinda.jpg)
Mshindi wa tuzo za mitindo na mbunifu aliyetamba na mavazi ya single button kwa takribani miaka miwili sasa Martin Kadinda anategemea kuanza ziara ya kuonyesha mavazi yake katika nchi kadhaa za kiafrica.
Kadinda amesema kuwa kwa mwaka huu amepanga kufanya maonesho yake nje ya nchi kwa sana kwa kuwa huko ndio kunaitangaza nchi na brand yake kwa ujumla.
Show yake ya kwanza kwa mwaka huu itakuwa Nchini Kenya katika Jiji la Nairobi usiku wa tarehe moja akiwa na wabunifu kutoka tanzania na...
9 years ago
Mwananchi06 Sep
KUTOKA LONDON : Wakenya wakutana London kuitangaza nchi yao inayozidi kupendwa majuu
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Nchi yetu imevurugwa
LEO nazungumzia mambo mawili makubwa. Kwanza ni suala la wagombea wa vyama vya siasa kutopata idadi inayotakiwa; na pili ni suala la akaunti ya Tegeta Escrow lililotawala mijadala ya Bunge...
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Hii nayo ni sanaa ya kimataifa
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Tusipokemea rushwa tutaiangamiza nchi yetu
TANZANIA hivi sasa inakabiliwa na rushwa, ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka ambayo kwa kiasi kikubwa yamechangia kusuasua kwa maendeleo. Baaadhi ya Watanzania wenzetu wamekuwa na tabia ya kuwakejeli viongozi...
10 years ago
Michuzi24 Oct
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pFiylrrOYco/VKmLkZ3DyOI/AAAAAAAAEYM/Ih8nr9eo8GA/s72-c/MKCT_P2015.jpg)
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Wasomi wa vyeti wataiendeleza nchi yetu?
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Hii ndio sababu inayomfanya Guardiola aondoke FC Bayern na kuthibisha kwenda nchi hii (+Video)
Bado headlines za anayetajwa kuwa kocha ghali kwa sasa duniani Pep Guardiola anakwenda kufundisha klabu gani zinazidi kuchukua nafasi, tayari Pep Guardiola ametaja nchi atakayokwenda kufundisha soka baada ya kukiri kuwa hatoendelea na kuifundisha klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani. Pep Guardiola amekiri kuamua kuondoka ndani ya klabu ya FC Bayern, baada ya kuitumikia […]
The post Hii ndio sababu inayomfanya Guardiola aondoke FC Bayern na kuthibisha kwenda nchi hii (+Video) appeared first...