MARTIN KADINDA KUITANGAZA TANZANIA KATIKA NCHI ZA KENYA NA ZAMBIA MWAKA HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z12FZJAJc7g/UveGYxY7THI/AAAAAAAFL7s/4oMXdjgu6DE/s72-c/kadinda.jpg)
Mshindi wa tuzo za mitindo na mbunifu aliyetamba na mavazi ya single button kwa takribani miaka miwili sasa Martin Kadinda anategemea kuanza ziara ya kuonyesha mavazi yake katika nchi kadhaa za kiafrica.
Kadinda amesema kuwa kwa mwaka huu amepanga kufanya maonesho yake nje ya nchi kwa sana kwa kuwa huko ndio kunaitangaza nchi na brand yake kwa ujumla.
Show yake ya kwanza kwa mwaka huu itakuwa Nchini Kenya katika Jiji la Nairobi usiku wa tarehe moja akiwa na wabunifu kutoka tanzania na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo504 Jan
Martin Kadinda aeleza Tanzania ina nafasi gani katika fashion kimataifa
![Kadinda](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Kadinda-300x194.jpg)
Mbunifu wa mavazi nchini, Martin Kadinda amesema Tanzania imepiga hatua nzuri katika mitindo kimataifa kutokana na bidhaa nyingi za wabanifu wa Tanzania kuchangamkiwa nje ya nchi.
Kadinda ambaye alishinda tuzo ‘East African Fashion Designer of the Year’ nchini Kenya, ameiambia Bongo5 kuwa ukiona Mtanzania anachukua tuzo kubwa nje ya nchi hiyo ni dalili kuwa wanafanya vizuri.
“Kitendo cha Martin Kadinda kuwa best designer wa East Africa ni tumefika sehemu nzuri kwa sababu katika East...
10 years ago
GPLMARTIN KADINDA KUOA SOON!
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Atqj5FsrY4Y/VVEiQOLUxcI/AAAAAAAHWxg/MaxrsT1PFSI/s72-c/download%2B(2).jpg)
martin kadinda apigwa kabali na 93.7 efm
![](http://3.bp.blogspot.com/-Atqj5FsrY4Y/VVEiQOLUxcI/AAAAAAAHWxg/MaxrsT1PFSI/s400/download%2B(2).jpg)
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Martin Kadinda kuitambulisha ‘Supremacy’ kimataifa
10 years ago
Bongo Movies22 Jan
Martin Kadinda Akanusha Habari ya Wema Kupeleka Diamond Polisi
Meneja wa mwigizaji Wema Sepetu, Martnin Kadinda amekaunsha habari ya Wema kumpeleka polisi Diamond kwa kumtapeli shilingi milioni 10, iliyochapishwa leo kwenye Gazeti la Mtanzania.
Martin amesema kuwa Wema na Diamond hawadaiani chochote na kwamba habari hizo ni za uongo. “Unajua tatizo ni kwamba hatujajua source ni nani,” amesema Martin. “Kwa sababu taarifa
ikishaingia kwenye social network everybody posts, kwahiyo sisi tunamtafuta nani ameianzisha hiyo stori. “We don’t have any issue with...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwkgF7aJ*SSkQlbL83hLXTkj*u275b2s641kP8gnclEzIK6Zh5dUtWe09tRyhNRqERH4ooQe9L9*GC6EQKcq0*wD/KADINDA.jpg?width=650)
MARTIN KADINDA: ‘KUMMENEJI’ WEMA SHUGHULI PEVU
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0549.jpg)
WANAMITINDO, ALLY REHMTULLA NA MARTIN KADINDA WATUNUKIWA VYETI VYA MAFANIKIO
9 years ago
Bongo510 Oct
Martin Kadinda aeleza kwanini filamu ya Van Vicker na Wema inachelewa kutoka
11 years ago
Bongo517 Jul
Martin Kadinda adai kukutana na changamoto ya wanaume wanaomtaka kimapenzi wakidhani ni shoga