Hii ndio sababu inayomfanya Guardiola aondoke FC Bayern na kuthibisha kwenda nchi hii (+Video)
Bado headlines za anayetajwa kuwa kocha ghali kwa sasa duniani Pep Guardiola anakwenda kufundisha klabu gani zinazidi kuchukua nafasi, tayari Pep Guardiola ametaja nchi atakayokwenda kufundisha soka baada ya kukiri kuwa hatoendelea na kuifundisha klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani. Pep Guardiola amekiri kuamua kuondoka ndani ya klabu ya FC Bayern, baada ya kuitumikia […]
The post Hii ndio sababu inayomfanya Guardiola aondoke FC Bayern na kuthibisha kwenda nchi hii (+Video) appeared first...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies28 Jul
Hii Ndiyo Sababu Inayomfanya JB Kuonekana Anacheka Kila Saa
Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ameeleza kuwa mkeo ndiyo sababu ya yeye kuonekana mwenye furaha wakati wote.
JB alifunguka hayo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram , ambapo aliweka picha hiyo hapo akiwa na mkeo nakuandika;
Kupenda si kumiliki tu bali kumfanya umpendae awe na furaha ndio maana halisi ya kupenda....kusema huyu ni mke wangu au huyu ni mume wangu nimefunga nae pingu za maisha haitoshi....asante kwa kunifanya niwe nafuraha na kuweza kufanya kazi zangu...
9 years ago
Bongo523 Nov
Video: Hii ndio sababu ya kwanini Malaika haimbi style moja ya muziki
![11313469_850096228421131_180915679_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11313469_850096228421131_180915679_n-300x194.jpg)
Malaika ni msanii aliyefanya vizuri mwaka huu na wimbo wake Sare aliomshirikisha Mesen Selekta.
Tayari ana video mpya iitwayo Zogo. Lakini kabla ya nyimbo hizo aliachia wimbo wa Mchiriku uitwao Mwantumu.
“Kwa Tanzania tumezoea kwamba mtu anaimba style moja ya muziki, mwanamuziki huyu limitation yake iko hapa, hawezi kubadilika kufanya kitu kingine cha tofauti, ni hapo hapo tu alipo,” amesema Malaika.
“Lakini kinachonifanya mimi kubadilika na kufanya nyimbo tofauti tofauti ni kutaka...
9 years ago
Bongo528 Oct
Hii ndio sababu inayomkwamisha Walter Chilambo
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HIr13vdanzs/default.jpg)
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Hii ndio sababu dunia inawahitaji 'mabibi wa Instagram'
9 years ago
Bongo528 Sep
Hii ndio sababu ya Christian Bella kusita kufanya wimbo na Diamond
9 years ago
Bongo530 Oct
Hii ndio sababu ya Halle Berry kuachana na mume wake Olivier Martinez
![olivier-martinez-01-800](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/olivier-martinez-01-800-94x94.jpg)
11 years ago
Michuzi15 Jul