KUTOKA LONDON : Wakenya wakutana London kuitangaza nchi yao inayozidi kupendwa majuu
“Kenya and Friends in the Park†– yaani Kenya na marafiki zao kukutana kiwanjani ilihamasishwa na dada mcheza ngoma, mwanatamthiliya na mwanahabari Lydia Olet. Bango lenye taswira ya Simba na Mmasai aliyevaa lubega la miraba; kifua wazi na mkuki mkononi. Maneno yalisema burudani itakuwa Jumamosi tarehe 29 Agosti kuanzia tano asubuhi hadi mbili usiku. Kiingilio bure.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi29 Nov
KUTOKA LONDON: Hisia za woga,utata na upweke zawakabili wananchi wa kawaida majuu
Hisia tatu kuu zauandama ulimwengu wa kitajiri siku hizi.
Woga na wasiwasi wa kuuawa na magaidi wakatili. Hisia ya utata kuwa maisha hayana maana. Kwamba kifo chaweza kuwadia wakati wowote. Ya tatu ni upweke.
9 years ago
Mwananchi22 Nov
KUTOKA LONDON: Fab Moses- Mtabiri wa London aliyetunga wimbo wa kushinda Magufuli
Wakati kampeni za uchaguzi zikiendelea miezi kadhaa iliyopita, Mtanzania mmoja mkazi London alikuwa na mtazamo tofauti. Mwanamuziki na mcheza sarakasi huyu anaitwa Fab Moses.
10 years ago
Mwananchi19 Apr
KUTOKA LONDON: Usalama na kujipenda wewe na nchi yako- ndiyo siri ya nguvu zako Mtanzania
>Manu Chao ndiyo nani?Manu Chao aliyeushtua ulimwengu miaka 15 iliyopita na vibao vyake vya Reggae vinavyotetea maskini, wakimbizi na walala hoi.
11 years ago
BBCSwahili14 Apr
Wakenya watamba London Marathon
Wakenya walishinda nafasi za kwanza mbili katika mbio za wanaume na zile za wanawake huko London.
9 years ago
Michuzi28 Aug
WAKENYA NA MARAFIKI ZAO KUSHEHEREKEA TAMASHA MAALUM LONDON KESHO
Na Freddy Macha
Baada ya mwezi mzima wa kelele, vifijo na chereko- chereko, hatimaye siku mahsusi ya burudani na biashara itawadia kesho Jumamosi 29 Agosti, 2015. Huu ni wakati wanariadha wa Kenya wanaongoza "meza ya medali " mashindano yanayoendelea mjini Beijing, China.
Tamasha maalum la “Kenya in the Park” linaloongozwa na kikundi cha ngoma cha Malaika Dance na Taifa Radio FM chini ya msanii na mwanahabari, Lydia Olet, mkazi London, yatafanyika uwanja wa mpira wa Rugby na Soka kitongoji...
Baada ya mwezi mzima wa kelele, vifijo na chereko- chereko, hatimaye siku mahsusi ya burudani na biashara itawadia kesho Jumamosi 29 Agosti, 2015. Huu ni wakati wanariadha wa Kenya wanaongoza "meza ya medali " mashindano yanayoendelea mjini Beijing, China.
![Bango la Kenya in the Park- Aug 2015](https://kitoto.files.wordpress.com/2015/08/bango-la-kenya-in-the-park-aug-2015.jpg)
9 years ago
Mwananchi13 Dec
Watanzania wakutana kumsikiliza Lady Jaydee, London
Kwa Kiingereza ni chemchemi iliyoko jangwani. Penye ahueni na raha kidogo katikati ya tabu na mashaka. Na ndilo jina la ukumbi aliotumbuiza mwanamuziki Lady JayDee jijini London Jumamosi iliyopita. Ujio wake ulitangazwa na kampuni mpya yenye jina la Kiswahili na Kiingereza: “Upendo Events.†Mwasisi wake ni Frank Leo, aliyekuja kusoma Uingereza akaamua kupafanyia maskani.
10 years ago
TheCitizen10 Oct
A CHAT FROM LONDON: London welcomes, supports anti-FGM push in Tanzania
>Wednesday, October 15, 2014...A tiny delegation of well educated women; modest and intelligent, will be welcomed into one of the most powerful rooms in the northern hemisphere. First is Mrs Rhobi Samwelly (pictured), mother of four children, hailing from Butiama, Mara Region.
9 years ago
TheCitizen27 Nov
A CHAT FROM LONDON: Wet afternoon, junkie hobbling on a London street
It is a cold wet winter afternoon, a few days after the Paris and Bamako terrorist attacks. As I stroll down a major street in East London, a man is melodically hollering:“Evening Standard! Evening Standard!â€
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Y9oQWy5Oo_8/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania