Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUTOKA LONDON : Wakenya wakutana London kuitangaza nchi yao inayozidi kupendwa majuu

“Kenya and Friends in the Park” – yaani Kenya na marafiki zao kukutana kiwanjani ilihamasishwa na dada mcheza ngoma, mwanatamthiliya na mwanahabari Lydia Olet. Bango lenye taswira ya Simba na Mmasai aliyevaa lubega la miraba; kifua wazi na mkuki mkononi. Maneno yalisema burudani itakuwa Jumamosi tarehe 29 Agosti kuanzia tano asubuhi hadi mbili usiku. Kiingilio bure.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON: Hisia za woga,utata na upweke zawakabili wananchi wa kawaida majuu

Hisia tatu kuu zauandama ulimwengu wa kitajiri siku hizi. Woga na wasiwasi wa kuuawa na magaidi wakatili. Hisia ya utata kuwa maisha hayana maana. Kwamba kifo chaweza kuwadia wakati wowote. Ya tatu ni upweke.

 

9 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON: Fab Moses- Mtabiri wa London aliyetunga wimbo wa kushinda Magufuli

Wakati kampeni za uchaguzi zikiendelea miezi kadhaa iliyopita, Mtanzania mmoja mkazi London alikuwa na mtazamo tofauti. Mwanamuziki na mcheza sarakasi huyu  anaitwa Fab Moses.

 

10 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON: Usalama na kujipenda wewe na nchi yako- ndiyo siri ya nguvu zako Mtanzania

>Manu Chao ndiyo nani?Manu Chao aliyeushtua ulimwengu miaka 15 iliyopita na vibao vyake vya Reggae vinavyotetea maskini, wakimbizi na walala hoi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakenya watamba London Marathon

Wakenya walishinda nafasi za kwanza mbili katika mbio za wanaume na zile za wanawake huko London.

 

9 years ago

Michuzi

WAKENYA NA MARAFIKI ZAO KUSHEHEREKEA TAMASHA MAALUM LONDON KESHO

Na Freddy Macha 
 Baada ya mwezi mzima wa kelele, vifijo na chereko- chereko, hatimaye siku mahsusi ya burudani na biashara itawadia kesho Jumamosi 29 Agosti, 2015. Huu ni wakati wanariadha wa Kenya wanaongoza "meza ya medali " mashindano yanayoendelea mjini Beijing, China. Bango la Kenya in the Park- Aug 2015Tamasha maalum la “Kenya in the Park” linaloongozwa na kikundi cha ngoma cha Malaika Dance na Taifa Radio FM chini ya msanii na mwanahabari, Lydia Olet, mkazi London, yatafanyika uwanja wa mpira wa Rugby na Soka kitongoji...

 

9 years ago

Mwananchi

Watanzania wakutana kumsikiliza Lady Jaydee, London

Kwa Kiingereza ni chemchemi iliyoko jangwani. Penye ahueni na raha kidogo katikati ya tabu na mashaka. Na ndilo jina la ukumbi aliotumbuiza mwanamuziki Lady JayDee jijini London Jumamosi iliyopita. Ujio wake ulitangazwa na kampuni mpya yenye jina la Kiswahili na Kiingereza: “Upendo Events.” Mwasisi wake ni Frank Leo, aliyekuja kusoma Uingereza akaamua kupafanyia maskani.

 

10 years ago

TheCitizen

A CHAT FROM LONDON: London welcomes, supports anti-FGM push in Tanzania

>Wednesday, October 15, 2014...A tiny delegation of well educated women; modest and intelligent, will be welcomed into one of the most powerful rooms in the northern hemisphere. First is Mrs Rhobi Samwelly (pictured), mother of four children, hailing from Butiama, Mara Region.

 

9 years ago

TheCitizen

A CHAT FROM LONDON: Wet afternoon, junkie hobbling on a London street

It is a cold wet winter afternoon, a few days after the Paris and Bamako terrorist attacks. As I stroll down a major street in East London, a man is melodically hollering:“Evening Standard! Evening Standard!”

 

9 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani