Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUTOKA LONDON: Usalama na kujipenda wewe na nchi yako- ndiyo siri ya nguvu zako Mtanzania

>Manu Chao ndiyo nani?Manu Chao aliyeushtua ulimwengu miaka 15 iliyopita na vibao vyake vya Reggae vinavyotetea maskini, wakimbizi na walala hoi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON : Wakenya wakutana London kuitangaza nchi yao inayozidi kupendwa majuu

“Kenya and Friends in the Park” – yaani Kenya na marafiki zao kukutana kiwanjani ilihamasishwa na dada mcheza ngoma, mwanatamthiliya na mwanahabari Lydia Olet. Bango lenye taswira ya Simba na Mmasai aliyevaa lubega la miraba; kifua wazi na mkuki mkononi. Maneno yalisema burudani itakuwa Jumamosi tarehe 29 Agosti kuanzia tano asubuhi hadi mbili usiku. Kiingilio bure.

 

10 years ago

Vijimambo

KAMA ULIKUWA UWAJUI VIONGOZI WA NCHI YAKO TANZANIA NDIYO AWA

President of TanzaniaVice President of TanzaniaPrime Minister of Tanzania
 
Hon. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete

Hon. Dr. Mohammed Gharib Bilal

Hon. Mizengo Kayanza Peter PindaPresident of ZanzibarFirst Vice President of ZanzibarSecond Vice President of Zanzibar
 
Hon. Dr. Ali Mohamed Shein

Hon. Maalim Seif Sharif Hamad

Hon. Ambassador Seif Ali IddiTANZANIA TANZANIA NAKUPENDA KWA MOYO WOTE NNNNNNNNCHI YANGU TANZANIA JINA LAKO NI TAMU SANA EEEEEH. KAMA WEWE MZALENDO NA UNAIPENDA NCHI YAKO MALIZIA. IPENDE...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA TEKNOLOJIA YA USALAMA KUTOKA UJERUMANI NA TANZANIA ULIOANZA LEO

 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi akifungua mkutanowa teknolojia ya Usalama unaowashirikisha wadau wa teknolojia ya Usalama kutoka Nchini Ujerumani na Tanzania, ulioanza  leo katika Hoteli ya Double Tree Jijini Dar es Salaam.Washiriki wa mkutano wa wadau wa teknolojia ya Usalama,unaowashirikisha wadau wa teknolojia ya Usalama kutoka Nchini Ujerumani na Tanzania, wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi wakati...

 

9 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON: Fab Moses- Mtabiri wa London aliyetunga wimbo wa kushinda Magufuli

Wakati kampeni za uchaguzi zikiendelea miezi kadhaa iliyopita, Mtanzania mmoja mkazi London alikuwa na mtazamo tofauti. Mwanamuziki na mcheza sarakasi huyu  anaitwa Fab Moses.

 

11 years ago

TZToday

Tazama nchi gani watakuwa Majirani zako wapya kama Pangea ikiunganika

Tazama nchi gani watakuwa Majirani zako wapya kama Pangea ikiunganika
(Map of Pangea With Current International Borders)

 

10 years ago

GPL

WEWE NDIYE MWENYE MPINI WA NDOA YAKO

KATI ya vitu vinavyochukua nafasi kubwa sana katika maisha ya wanadamu, wakivizungumza kila mara na hata kuomba ushauri, basi ni vile vinavyohusu mapenzi. Nimekuwa nikiandika mambo haya ya uhusiano na maisha, lakini asilimia kubwa ya ushauri ninaoombwa kutoka kwa watu mbalimbali ni juu ya kitu gani wafanye ili nyenendo zao za kimapenzi ziende sawa. Msichana ataomba ushauri juu ya nini afanye ili mvulana wake ampende na kijana...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shamsa Ford:Mchawi wa Maisha Yako ni Wewe Mwenyewe

NIDHAMU ni silaha kubwa katika maisha.kuna ambao Mungu aliwabariki kwa nafasi zao lakini hawakuweza kutumia nafasi zao vizuri kwasababu ya kukosa nidhamu.walihisi wao ni bora kuliko wengine ndo maana walibarikiwa.

Mwisho wa siku wakishapotea au mambo kwenda tofauti na walivyokuwa wanadhania wanaanza kulaumu watu.Wengine wataingia hadi kwenye ushirikina kwa kusemwa wamerogwa..Mchawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe...MUWEKE MUNGU MBELE,KUWA MVUMILIVU,ACHA TAMAA,FANYA KAZI KWA BIDII, PENDA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani