KAMA ULIKUWA UWAJUI VIONGOZI WA NCHI YAKO TANZANIA NDIYO AWA
President of TanzaniaVice President of TanzaniaPrime Minister of Tanzania
Hon. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete
Hon. Dr. Mohammed Gharib Bilal
Hon. Mizengo Kayanza Peter PindaPresident of ZanzibarFirst Vice President of ZanzibarSecond Vice President of Zanzibar
Hon. Dr. Ali Mohamed Shein
Hon. Maalim Seif Sharif Hamad
Hon. Ambassador Seif Ali IddiTANZANIA TANZANIA NAKUPENDA KWA MOYO WOTE NNNNNNNNCHI YANGU TANZANIA JINA LAKO NI TAMU SANA EEEEEH. KAMA WEWE MZALENDO NA UNAIPENDA NCHI YAKO MALIZIA. IPENDE...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo03 Oct
KAMA ULIKUWA UJUHI HABARI NDIYO HII HUKO BONGO MJINI
![](https://scontent-b-ord.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/s851x315/10689690_704469759636704_7527626341312350488_n.jpg?oh=c98be23cc62b04ff610e713146a6c627&oe=54BD8EFF)
10 years ago
Mwananchi19 Apr
KUTOKA LONDON: Usalama na kujipenda wewe na nchi yako- ndiyo siri ya nguvu zako Mtanzania
10 years ago
Bongo Movies27 Dec
PICHA: Hakuna Mtu Anaweza Kuchukua Nafasi Yako Kama Upo Kwenye Nafasi Yako-Lulu
Hayo ni maneno ambayo mwigizaji Elizabeth Michael “Lulu” aliyaandika kwa lungha ya kingereza kabla ya kuzitupia picha hizo hapo juu.
“Cant Nobody Take Your Place If You're In Your Place...!”
Kiukweli, kama utaweka chuki zako pembeni, utakubaliana na mimi kuwa Lulu ni mwigizaji anaependa na kwenda na fasheni kuwashinda waigizaji wote wa hapa bongo.
Jionee picha hizo.
By Mzee wa Ubuyu
10 years ago
Raia Tanzania16 Jul
Kijana ni wajibu wako, sababu ndiyo kesho yako
Ukiuliza watu mtaani Siasa ni nini? bila kusita watakuambia, Siasa ni wongo, ushirikina, utapeli, ni lugha ya mficho yenye maana ya uovu, uongo na laana. Tafsiri hii ya neno siasa imesababisha kutokea kwa makundi mawili, kundi la kwanza ni la watu ambalo ndio kundi kubwa wanaichukia na kujitenga na siasa na kundi dogo la watu wanaipenda na kuikumbatia.
Mjadala huu utajikita zaidi katika kuangalia kundi hili kubwa la watu ambao wanaichukia na kujitenga na siasa. Takwimu zinaonyesha kuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kKyH66lBvmk/VUEDacjmx3I/AAAAAAAHUIo/kJUqYuoCo0o/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS, DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA DHARURA WA VIONGOZI WA NCHI NA SERIKALI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-kKyH66lBvmk/VUEDacjmx3I/AAAAAAAHUIo/kJUqYuoCo0o/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3l97HQjZAVs/VUEDbvM3OxI/AAAAAAAHUIg/cg5V_ODdmwo/s1600/2.jpg)
5 years ago
BBCSwahili20 May
Virusi vya corona: Marais wa Tanzania na Kenya wawataka viongozi wa nchi zao kutatua mzozo wa mpaka
10 years ago
Vijimambo04 Oct
UBABAISHAJI WA VIONGOZI WA TIMU ZA TANZANIA UNAWEZAJE KUMNUNUA MCHEZAJI KWA PESA NYINGI BILA KUPIMWA NA KUJUA KAMA ANATATIZO KABLA YA KUSAJILIWA?
![](http://api.ning.com/files/zLSzH-96bg-u5273lvDsNZSzcae-D0mzyTu5mRa6b1LS3LOcdWrk27IrZlHbpW6-JnnWm*g2W4wYkSnEUQHj9cgBn9sTmNOL/KIONGERA1.jpg?width=650)
Daktari huyo amesema kama Kiongera amekuwa na ugonjwa sugu wa goti, ni nadra kama atanusurika kufanyia upasuaji.
“Ugonjwa wa goti una mambo mengi, siwezi kusema kila kitu kwa kuwa majibu ya tatizo la Kiongera sijayaona.“Kama ni ugonjwa sugu, asilimia kubwa ni upasuaji na mara nyingi inakuwa ni nje ya nchi,” alisema daktari huyo bingwa.
“Lakini bado inawezekana hata hapa nyumbani ingawa mara nyingi watu hukwepa tu gharama lakini nje ni sahihi,”...
10 years ago
Dewji Blog30 Apr
Makamu wa Rais Dkt. bilal aiwakilisha Tanzania katika mkutano wa dharura wa viongozi wa nchi na Serikali Wanachama wa SADC, Harare Zimbabwe
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasili kwenye Hoteli ya Rainbow, jijini Harare, Zimbabwe kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa dharura wa Viongozi wa Nchi Wanachama wa SDC, uliofunguliwa jana Aprili 29, 2015 na Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, Jijini unaojadili kuhusu Uendelezaji wa Viwanda.( Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (katikati), akiwa na baadhi ya Viongozi wenzake katika...