Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMA ULIKUWA UWAJUI VIONGOZI WA NCHI YAKO TANZANIA NDIYO AWA

President of TanzaniaVice President of TanzaniaPrime Minister of Tanzania
 
Hon. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete

Hon. Dr. Mohammed Gharib Bilal

Hon. Mizengo Kayanza Peter PindaPresident of ZanzibarFirst Vice President of ZanzibarSecond Vice President of Zanzibar
 
Hon. Dr. Ali Mohamed Shein

Hon. Maalim Seif Sharif Hamad

Hon. Ambassador Seif Ali IddiTANZANIA TANZANIA NAKUPENDA KWA MOYO WOTE NNNNNNNNCHI YANGU TANZANIA JINA LAKO NI TAMU SANA EEEEEH. KAMA WEWE MZALENDO NA UNAIPENDA NCHI YAKO MALIZIA. IPENDE...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KAMA ULIKUWA UJUHI HABARI NDIYO HII HUKO BONGO MJINI

 Shida ya foleni kati ya Airport na City Centre kuisha?? Cheki treni mpya hiyo yenye uwezo wa kubeba abiria 800-1000. Tutaiweza kweli?

 

10 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON: Usalama na kujipenda wewe na nchi yako- ndiyo siri ya nguvu zako Mtanzania

>Manu Chao ndiyo nani?Manu Chao aliyeushtua ulimwengu miaka 15 iliyopita na vibao vyake vya Reggae vinavyotetea maskini, wakimbizi na walala hoi.

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Hakuna Mtu Anaweza Kuchukua Nafasi Yako Kama Upo Kwenye Nafasi Yako-Lulu

Hayo ni maneno ambayo mwigizaji Elizabeth Michael “Lulu” aliyaandika kwa lungha ya kingereza kabla ya kuzitupia picha hizo hapo juu.

“Cant Nobody Take Your Place If You're In Your Place...!”

Kiukweli, kama utaweka chuki zako pembeni, utakubaliana na mimi kuwa Lulu ni mwigizaji anaependa na kwenda na fasheni kuwashinda waigizaji wote wa hapa bongo.

Jionee picha hizo.

By Mzee wa Ubuyu

 

10 years ago

Raia Tanzania

Kijana ni wajibu wako, sababu ndiyo kesho yako

Ukiuliza watu mtaani Siasa ni nini? bila kusita watakuambia, Siasa ni wongo, ushirikina, utapeli, ni lugha ya mficho yenye maana ya uovu, uongo na laana. Tafsiri hii ya neno siasa imesababisha kutokea kwa makundi mawili, kundi la kwanza ni la watu ambalo ndio kundi kubwa wanaichukia na kujitenga na siasa na kundi dogo la watu wanaipenda na kuikumbatia.

Mjadala huu utajikita zaidi katika kuangalia kundi hili kubwa la watu ambao wanaichukia na kujitenga na siasa. Takwimu zinaonyesha kuwa...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS, DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA DHARURA WA VIONGOZI WA NCHI NA SERIKALI.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasili kwenye Hoteli ya Rainbow, jijini Harare, Zimbabwe kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa dharura wa Viongozi wa Nchi Wanachama wa SDC, uliofunguliwa leo Aprili 29, 2015 na Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, Jijini unaojadili kuhusu Uendelezaji wa Viwanda. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (katikati), akiwa na baadhi ya Viongozi wenzake katika Mkutano wa dharura wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Marais wa Tanzania na Kenya wawataka viongozi wa nchi zao kutatua mzozo wa mpaka

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema Corona haikuanzia Afrika hivyo haipaswi kuwa chanzo cha kutoelewana kati ya nchi za Kenya na Tanzania, na kwamba nchi zote zinahitaji biashara.

 

10 years ago

Vijimambo

UBABAISHAJI WA VIONGOZI WA TIMU ZA TANZANIA UNAWEZAJE KUMNUNUA MCHEZAJI KWA PESA NYINGI BILA KUPIMWA NA KUJUA KAMA ANATATIZO KABLA YA KUSAJILIWA?

Mchezaji wa timu ya Simba, Paul Raphael Kiongera.
Daktari huyo amesema kama Kiongera amekuwa na ugonjwa sugu wa goti, ni nadra kama atanusurika kufanyia upasuaji.
“Ugonjwa wa goti una mambo mengi, siwezi kusema kila kitu kwa kuwa majibu ya tatizo la Kiongera sijayaona.“Kama ni ugonjwa sugu, asilimia kubwa ni upasuaji na mara nyingi inakuwa ni nje ya nchi,” alisema daktari huyo bingwa.
“Lakini bado inawezekana hata hapa nyumbani ingawa mara nyingi watu hukwepa tu gharama lakini nje ni sahihi,”...

 

10 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. bilal aiwakilisha Tanzania katika mkutano wa dharura wa viongozi wa nchi na Serikali Wanachama wa SADC, Harare Zimbabwe

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasili kwenye Hoteli ya Rainbow, jijini Harare, Zimbabwe kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa dharura wa Viongozi wa Nchi Wanachama wa SDC, uliofunguliwa jana Aprili 29, 2015 na Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, Jijini unaojadili kuhusu Uendelezaji wa Viwanda.( Picha na OMR).

2

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (katikati), akiwa na baadhi ya Viongozi wenzake katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani