KUTOKA LONDON: Hisia za woga,utata na upweke zawakabili wananchi wa kawaida majuu
Hisia tatu kuu zauandama ulimwengu wa kitajiri siku hizi. Woga na wasiwasi wa kuuawa na magaidi wakatili. Hisia ya utata kuwa maisha hayana maana. Kwamba kifo chaweza kuwadia wakati wowote. Ya tatu ni upweke.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi06 Sep
KUTOKA LONDON : Wakenya wakutana London kuitangaza nchi yao inayozidi kupendwa majuu
“Kenya and Friends in the Park†– yaani Kenya na marafiki zao kukutana kiwanjani ilihamasishwa na dada mcheza ngoma, mwanatamthiliya na mwanahabari Lydia Olet. Bango lenye taswira ya Simba na Mmasai aliyevaa lubega la miraba; kifua wazi na mkuki mkononi. Maneno yalisema burudani itakuwa Jumamosi tarehe 29 Agosti kuanzia tano asubuhi hadi mbili usiku. Kiingilio bure.
9 years ago
Mwananchi13 Sep
KUTOKA LONDON :wananchi afrika tupendane, tuige wenzetu ughaibuni
Nilikuwa n’kikagua mifuko ya mchele supamaketi. Bei yake ilikuwa nzuri lakini siyo aina ya mchele n’naoutumia. Zamani Bongo nakumbuka ubwabwa uliliwa siku maalumu, hususan Jumapili au sikukuu kama Idd El Fitr na Krismasi. Hivyo hatukuwa na uchaguzi kama siku hizi.
9 years ago
Mwananchi22 Nov
KUTOKA LONDON: Fab Moses- Mtabiri wa London aliyetunga wimbo wa kushinda Magufuli
Wakati kampeni za uchaguzi zikiendelea miezi kadhaa iliyopita, Mtanzania mmoja mkazi London alikuwa na mtazamo tofauti. Mwanamuziki na mcheza sarakasi huyu anaitwa Fab Moses.
11 years ago
BBCSwahili06 Dec
Hisia za wananchi kumhusu Mandela
Wengi walimuenzi , walimuita shujaa na jasiri na zaidi ya yote wanamuita mkombozi wao
10 years ago
BBCSwahili14 Jul
Hisia kutoka Marekani na Iran
Baada kutangazwa muafaka baina ya Iran na mataifa 6 yenye nguvu zaidi duniani Rais Obama na Rouhani wametoa hisia zao
9 years ago
Raia Mwema19 Aug
Lowassa: Hali isiyo ya kawaida huibua hatua zisizo za kawaida
WIKI iliyopita niliandika kusema kwamba Edward Lowassa kuhama kutoka chama kilichomlea ilikuwa ni
Jenerali Ulimwengu
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Wingu lisilo la kawaida linalosafiri kilomita 10,000 kutoka Afrika hadi Amerika
Wingu jeusi lililojaa vumbi limekuwa likitanda katika eneo la Atlantic kwa siku kadhaa.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/sXUZNx4-URk/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Wananchi wahoji utata upigaji kura
Pamoja na Bunge Maalumu la Katiba kupitisha kanuni zote 87 za uendeshaji wake, bado kuna sintofahamu miongoni mwa wananchi kuhusu nini kilikubaliwa katika utaratibu wa upigaji wa kura.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania