KUTOKA LONDON :wananchi afrika tupendane, tuige wenzetu ughaibuni
Nilikuwa n’kikagua mifuko ya mchele supamaketi. Bei yake ilikuwa nzuri lakini siyo aina ya mchele n’naoutumia. Zamani Bongo nakumbuka ubwabwa uliliwa siku maalumu, hususan Jumapili au sikukuu kama Idd El Fitr na Krismasi. Hivyo hatukuwa na uchaguzi kama siku hizi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi29 Nov
KUTOKA LONDON: Hisia za woga,utata na upweke zawakabili wananchi wa kawaida majuu
9 years ago
Mwananchi16 Aug
KUTOKA LONDON :Kwanini wahamiaji Ulaya hutokea zaidi Afrika Magharibi na Visiwa vya Karibi?
9 years ago
Mwananchi22 Nov
KUTOKA LONDON: Fab Moses- Mtabiri wa London aliyetunga wimbo wa kushinda Magufuli
9 years ago
Mwananchi06 Sep
KUTOKA LONDON : Wakenya wakutana London kuitangaza nchi yao inayozidi kupendwa majuu
11 years ago
Michuzi18 Feb
HOJA YA HAJA KUTOKA KWA WADAU WA UGHAIBUNI
Mnhomo Gwa Nzunzu ni Mtanzania aliyezaliwa Sengerema, Mwanza. Baada ya kuzaliwa wazazi wake walifariki wakati yeye akiwa na miaka mitatu tu kutokana na ajali ya gari. Baada ya kufariki wazazi wake Nhomo Gwa Nzuzu alilelewa na bibi yake ambaye alimsisitizia sana apate elimu ili ajikombowe kimaisha. Kwa vile Nhomo Gwa Nzuzu hakutaka kumsikitisha bibiye aliamua maisha yake ni kitabu na kitabu na yeye.
Kutokana na juhudi zake za kujisomea Nhomo Gwa Nzuzu alifaulu darasa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yT9o34Gdz6I/U4jmnxDuVpI/AAAAAAAFmnY/nhcRwj_FIQg/s72-c/unnamed+(49).jpg)
Mwanamuziki Jhikoman kutoka BAGAMOYO,Tanzania, afanya makubwa ughaibuni
10 years ago
Michuzi25 Dec
salamu toka kwa FFU UGHAIBUNI THE NGOMA AFRIKA BAND
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/PP1xrHbhAcS3dV8aNX7bWIXesZTyYoj6oXRdIflPqQYxW3PHJSUmYzU_-RawAAjeuSDyurvAnr1vEXotxaFvIz_IkGOzWkIltQ5LEVnE52n8saShNxjI_2PGez8j6HljGl1AWxCt33R6BrhBvqx0EiMxjV-O-EsvJXVDtsvwXi3gU7laAAYA9Lp8VE7mUYIyG0D0AKL3DdF4Ipw65nc40a-tU2BJJV5Vufhqqzp4wkBkesleDKIJGphT20Lsd3RnoGa51EuTXEqRqsPowQtLszQyd0-Qn7infd5TsZ-_8XDTbwk6lTzPAOmzAu8Hi6bgwPI410wUdx9rQwY8Ds7m3ZCYiZDUT4V-rkfjEnF42m5i4Cs=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-GSFk-fxrig8%2FVJsDAAnEUjI%2FAAAAAAAArTk%2Fc7pQQ2m3N_Y%2Fs1600%2FCD%252B_%252BAnt-Corruption.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-F4mnzVOGM0I/VgMtnqnGshI/AAAAAAAH6-w/CJRlZrwMnbI/s72-c/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
MKONO WA EID MUBARAK KUTOKA NGOMA AFRICA BAND AKA FFU UGHAIBUNI
![](http://3.bp.blogspot.com/-F4mnzVOGM0I/VgMtnqnGshI/AAAAAAAH6-w/CJRlZrwMnbI/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
usikose kufungua sikio at www.reverbnation.com/ngomaafricaband
11 years ago
Habarileo05 Aug
Mama Salma- Wanawake tupendane
WANAWAKE wa Tanzania waishio ughaibuni, wametakiwa kuondoa tofauti zao za mitizamo, maoni, dini na makabila ili wapendane, waaminiane na kushirikiana. Rai hiyo ilitolewa jana na mke wa Rais, Mama Salma Kikwete, alipozungumza na wanawake wafanyabiashara na wajasiriamali kutoka majimbo ya Washington DC, Colombia, Maryland na Virginia.