Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi wahoji utata upigaji kura

Pamoja na Bunge Maalumu la Katiba kupitisha kanuni zote 87 za uendeshaji wake, bado kuna sintofahamu miongoni mwa wananchi kuhusu nini kilikubaliwa katika utaratibu wa upigaji wa kura.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wananchi waichambue Katiba kabla ya upigaji kura

BAADA ya mvutano kuhusu mchakato wa katiba, hatimaye hivi karibuni, Bunge Maalum la Katiba chini ya Mwenyekiti, Samuel Sitta kutoka na Katiba inayopendekezwa. Hata hivyo, mvutano huo bado haujapatiwa ufumbuzi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yatakiwa kuhimiza wananchi kushiriki upigaji kura Uchaguzi Mkuu

Kulia mbele ni Programu Ofisa wa TGNP Mtandao, Deo Temba akiwasilisha mada kwa washiriki wa mafunzo ya kuripoti habari za wanawake katika Uchaguzi Mkuu 2015 yaliowashirikisha wachora katuni, wasanii na waandishi wa habari pamoja na baadhi ya waendeshaji wa mitandao ya jamii nchini Tanzania (bloggers) mara baada ya semina hiyo.

Kulia mbele ni Programu Ofisa wa TGNP Mtandao, Deo Temba akiwasilisha mada kwa washiriki wa mafunzo ya kuripoti habari za wanawake katika Uchaguzi Mkuu 2015 yaliowashirikisha wachora katuni, wasanii na waandishi wa habari pamoja na baadhi ya waendeshaji wa mitandao ya jamii nchini Tanzania (bloggers) mara baada ya semina hiyo.

Baadhi ya maofisa kutoka Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) wakifuatilia mada anuai zinazowasilishwa.

Baadhi ya maofisa kutoka Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) wakifuatilia mada anuai zinazowasilishwa.

Kushoto mbele ni Anna Sangai na Anna Kika ambao ni maofisa programu kutoka TGNP Mtandao wakiwasilisha mada kwa kwenye mjadala wa wachora katuni, wasanii na waandishi wa habari pamoja na baadhi ya waendeshaji wa mitandao ya jamii nchini Tanzania (bloggers).

Kushoto mbele ni Anna Sangai na Anna Kika ambao ni maofisa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wapiga kura Kariakoo kuhusu upigaji kura

Wapiga kura Tanzania walifika vituoni mapema kupiga kura kuwachagua viongozi wapya. Wanamchagua rais mpya, wabunge na madiwani. Mwandishi wa BBC Bashkas Jugsodaay alizungumza na baadhi yao

 

9 years ago

Mwananchi

CCM yaridhishwa na upigaji kura

Chama cha Mapinduzi (CCM), kimeridhishwa na upigaji kura uliofanyika nchi nzima Jumapili kuwa ulikuwa wa amani na utulivu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Upigaji kura waendelea Nigeria

Upigaji kura kwenye uchaguzi mkuu nchini Nigeria unaendelea kwenye vituo kadha kwa siku ya pili kutokana na matatizo ya kiufundi

 

9 years ago

Mwananchi

Kasoro kibao upigaji kura

Watu wasiojulikana wameteketeza kwa moto vifaa vya kupigia kura wilayani Sumbawanga, huku wasimamizi wasaidizi watatu wa uchaguzi katika Jimbo la Vunjo wakipigwa na kujeruhiwa kwa madai ya kusambaza kura zisizo halali.

 

9 years ago

Mwananchi

Upigaji kura Kimara waingia dosari

Shughuli za upigaji kura katika kituo cha EDP kilichoko eneo la Kimara Stop Over jana zilisimama kwa muda na wapigakura kufungiwa ndani ya kituo baada ya kukosekana kwa karatasi za kupigia kura za mgombea urais.

 

9 years ago

Habarileo

Tume yatoa mwongozo upigaji kura

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa mwongozo wa mambo muhimu, ambayo wapigakura wote wanatakiwa kuyazingatia ili wapige kura bila matatizo Jumapili wiki hii katika uchaguzi mkuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani