Kasoro kibao upigaji kura
Watu wasiojulikana wameteketeza kwa moto vifaa vya kupigia kura wilayani Sumbawanga, huku wasimamizi wasaidizi watatu wa uchaguzi katika Jimbo la Vunjo wakipigwa na kujeruhiwa kwa madai ya kusambaza kura zisizo halali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili25 Oct
Wapiga kura Kariakoo kuhusu upigaji kura
9 years ago
Mwananchi27 Oct
CCM yaridhishwa na upigaji kura
10 years ago
BBCSwahili29 Mar
Upigaji kura waendelea Nigeria
9 years ago
Habarileo20 Oct
Tume yatoa mwongozo upigaji kura
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa mwongozo wa mambo muhimu, ambayo wapigakura wote wanatakiwa kuyazingatia ili wapige kura bila matatizo Jumapili wiki hii katika uchaguzi mkuu.
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Wananchi wahoji utata upigaji kura
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Mihuri yatia doa upigaji kura
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Oct
Tangazo Muhimu kuhusu upigaji kura
Kuna taarifa kuwa,huenda kukawa na karatasi za kupiga kura feki,sasa sijui hili litasaidia vipi Chama tawala,lakini ni muhimu kukumbushana. Unapoingia kwenye Chumba cha Kura,tafadhali weka kura yako juu kwenye muangaza kuangalia kama kutakua kuna nembo ya […]
The post Tangazo Muhimu kuhusu upigaji kura appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Upigaji kura Kimara waingia dosari
9 years ago
Habarileo26 Oct
Utulivu watawala upigaji kura Dar
LICHA ya kasoro ndogo ndogo zilizojitokeza jana wakati wa upigaji kura kwenye maeneo tofauti ya majimbo matatu ya uchaguzi ya Dar es Salaam; Ukonga, Ubungo, Temeke na Segerea, uchaguzi kwenye maeneo hayo umeelezwa kufanyika kwa amani na utulivu huku usalama wa watu wengi waliojitokeza kupiga kura ukizingatiwa.