Tangazo Muhimu kuhusu upigaji kura
Kuna taarifa kuwa,huenda kukawa na karatasi za kupiga kura feki,sasa sijui hili litasaidia vipi Chama tawala,lakini ni muhimu kukumbushana. Unapoingia kwenye Chumba cha Kura,tafadhali weka kura yako juu kwenye muangaza kuangalia kama kutakua kuna nembo ya […]
The post Tangazo Muhimu kuhusu upigaji kura appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili25 Oct
Wapiga kura Kariakoo kuhusu upigaji kura
9 years ago
GPL25 Oct
9 years ago
BBCSwahili19 Oct
Takwimu muhimu kuhusu wapiga kura Tanzania
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-s_a3Y0K4ZE0/VWBDLnEdYZI/AAAAAAABPPA/67tXVwOx1Ag/s72-c/140131072218_tanzania_elections_512x288_afp.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RNHlHMsJ1j4/VlC59msV4WI/AAAAAAAIHsE/Gy-uxMbRzpg/s72-c/unnamed.jpg)
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Kasoro kibao upigaji kura
9 years ago
Mwananchi27 Oct
CCM yaridhishwa na upigaji kura
10 years ago
BBCSwahili29 Mar
Upigaji kura waendelea Nigeria
9 years ago
Habarileo26 Oct
Utulivu watawala upigaji kura Dar
LICHA ya kasoro ndogo ndogo zilizojitokeza jana wakati wa upigaji kura kwenye maeneo tofauti ya majimbo matatu ya uchaguzi ya Dar es Salaam; Ukonga, Ubungo, Temeke na Segerea, uchaguzi kwenye maeneo hayo umeelezwa kufanyika kwa amani na utulivu huku usalama wa watu wengi waliojitokeza kupiga kura ukizingatiwa.