Upigaji kura waendelea Nigeria
Upigaji kura kwenye uchaguzi mkuu nchini Nigeria unaendelea kwenye vituo kadha kwa siku ya pili kutokana na matatizo ya kiufundi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
Upigaji kura waendelea Kimara Dar es Salaam
9 years ago
Habarileo25 Oct
Upigaji kura waendelea kwa amani na utulivu
WATANZANIA leo waliamka mapema na kuwahi katika vituo vya kupigia kura kwa ajili ya kuchagua viongozi wao watakaoliongoza taifa lao katika kipindi cha miaka mitano ijayo.
Misururu mirefu imeonekana katika maeneo mengi ya nchi hususani katika jiji la Dar es Salaam, hali inayoonesha kuwa watu wajejawa na hamasa kubwa ya kuchagua kiongozi wao kama walivyokuwa wakijitokeza katika mikutano ya kampeni.
Watu wengi wamejitokeza katika vituo mapema kabisa leo alfajiri ambapo vituo vilifunguliwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fwvbyWJLDKI/UyVuwH81RfI/AAAAAAACckw/yrllVhyq2xo/s72-c/1.jpg)
UPIGAJI KURA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA WAENDELEA KWA UTULIVU MKUBWA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-fwvbyWJLDKI/UyVuwH81RfI/AAAAAAACckw/yrllVhyq2xo/s1600/1.jpg)
9 years ago
BBCSwahili25 Oct
Wapiga kura Kariakoo kuhusu upigaji kura
9 years ago
Mwananchi27 Oct
CCM yaridhishwa na upigaji kura
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Kasoro kibao upigaji kura
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Oct
Tangazo Muhimu kuhusu upigaji kura
Kuna taarifa kuwa,huenda kukawa na karatasi za kupiga kura feki,sasa sijui hili litasaidia vipi Chama tawala,lakini ni muhimu kukumbushana. Unapoingia kwenye Chumba cha Kura,tafadhali weka kura yako juu kwenye muangaza kuangalia kama kutakua kuna nembo ya […]
The post Tangazo Muhimu kuhusu upigaji kura appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Wananchi wahoji utata upigaji kura
9 years ago
Habarileo26 Oct
Utulivu watawala upigaji kura Dar
LICHA ya kasoro ndogo ndogo zilizojitokeza jana wakati wa upigaji kura kwenye maeneo tofauti ya majimbo matatu ya uchaguzi ya Dar es Salaam; Ukonga, Ubungo, Temeke na Segerea, uchaguzi kwenye maeneo hayo umeelezwa kufanyika kwa amani na utulivu huku usalama wa watu wengi waliojitokeza kupiga kura ukizingatiwa.