Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mihuri yatia doa upigaji kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imelazimika kutumia mihuri ya mwaka 2010 katika vituo mbalimbali vya Jimbo la Morogoro Mjini baada ya mihuri ya mwaka huu kuwa na matatizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Bomoabomoa yatia doa Krismasi

Baadhi ya wakazi wa Bonde la Mkwajuni na Msimbazi  Manispaa ya Kinondoni waliovunjiwa nyumba zao na Serikali, wamesherekea Sikukuu ya Krismasi juu ya vifusi, huku wengi wao wakisema hawajui kama leo (jana) ni sikukuu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wapiga kura Kariakoo kuhusu upigaji kura

Wapiga kura Tanzania walifika vituoni mapema kupiga kura kuwachagua viongozi wapya. Wanamchagua rais mpya, wabunge na madiwani. Mwandishi wa BBC Bashkas Jugsodaay alizungumza na baadhi yao

 

9 years ago

Mwananchi

Kasoro kibao upigaji kura

Watu wasiojulikana wameteketeza kwa moto vifaa vya kupigia kura wilayani Sumbawanga, huku wasimamizi wasaidizi watatu wa uchaguzi katika Jimbo la Vunjo wakipigwa na kujeruhiwa kwa madai ya kusambaza kura zisizo halali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Upigaji kura waendelea Nigeria

Upigaji kura kwenye uchaguzi mkuu nchini Nigeria unaendelea kwenye vituo kadha kwa siku ya pili kutokana na matatizo ya kiufundi

 

9 years ago

Mwananchi

CCM yaridhishwa na upigaji kura

Chama cha Mapinduzi (CCM), kimeridhishwa na upigaji kura uliofanyika nchi nzima Jumapili kuwa ulikuwa wa amani na utulivu.

 

9 years ago

Mwananchi

Upigaji kura Kimara waingia dosari

Shughuli za upigaji kura katika kituo cha EDP kilichoko eneo la Kimara Stop Over jana zilisimama kwa muda na wapigakura kufungiwa ndani ya kituo baada ya kukosekana kwa karatasi za kupigia kura za mgombea urais.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Tangazo Muhimu kuhusu upigaji kura

Kuna taarifa kuwa,huenda kukawa na karatasi za kupiga kura feki,sasa sijui hili litasaidia vipi Chama tawala,lakini ni muhimu kukumbushana. Unapoingia kwenye Chumba cha Kura,tafadhali weka kura yako juu kwenye muangaza kuangalia kama kutakua kuna nembo ya […]

The post Tangazo Muhimu kuhusu upigaji kura appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi wahoji utata upigaji kura

Pamoja na Bunge Maalumu la Katiba kupitisha kanuni zote 87 za uendeshaji wake, bado kuna sintofahamu miongoni mwa wananchi kuhusu nini kilikubaliwa katika utaratibu wa upigaji wa kura.

 

9 years ago

Habarileo

Tume yatoa mwongozo upigaji kura

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa mwongozo wa mambo muhimu, ambayo wapigakura wote wanatakiwa kuyazingatia ili wapige kura bila matatizo Jumapili wiki hii katika uchaguzi mkuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani