Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hisia kutoka Marekani na Iran

Baada kutangazwa muafaka baina ya Iran na mataifa 6 yenye nguvu zaidi duniani Rais Obama na Rouhani wametoa hisia zao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kufanya mazungumzo na Iran

Marekani inapanga kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na Iran kuhusu mbinu za kukabiliana na tishop la wapiganaji Iraq

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kuimarisha uhusiano na Iran

Marekani imeitaka Iran kuchukua maamuzi sahihi kuhusu mpamngo wa nyuklia ili kuimarisha uhusiano kati yao

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyuklia:Marekani kuafikiana na Iran

Obama ana uhakika kuwa Marekani itaafikia makubaliano ya mwisho na Iran kuhusu mpango wake wa nyuklia mwishoni mwa mwezi Juni.

 

5 years ago

CCM Blog

MAREKANI YAONDOA MISAMAHA YA NYUKLIA YA IRAN

Marekani yaondoa misamaha ya nyuklia ya IranBaada ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mnamo Mei 8 2018, ilianza kutekeleza vikwazo vipya dhidi ya Iran. Vikwazo hivyo vya upande mmoja ni ukiukwaji wa wazi wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.Pamoja na kuwa Marekani ilikuwa haina budi ila kuzingatia misamaha  inayohusu ushirikiano wa nyuklia na Iran lakini sasa imefuta misamaha hiyo.Kuhusiana na nukta hiyo, Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Iran:Marekani yapinga msimamo wa Israel

Rais Obama amepuuzilia onyo alilotoa waziri mkuu wa Israel kuhusu mpango wa Iran wa Nuclear ndani ya bunge la Marekani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kubadili sera dhidi ya Iran?

Marekani imepinga madai ya taifa hilo kwamba imebadili sera zake dhidi ya Iran kutokana na kutokana na muungano wa kuwapiga IS.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani:Iran ina jukumu dhidi ya IS

Marekenai imesema kuwa Iran ina jukumu la kutekeleza katika juhudi za kimataifa dhidi ya wapiganaji wa Islamic State.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mjumbe wa Iran azuiwa kungia Marekani

Rais Obama ametia sahihi mswada unaomzuia balozi mteule wa Iran katika Umoja wa Mataifa kuchukua wadhfa wake mjini New York.

 

9 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON: Hisia za woga,utata na upweke zawakabili wananchi wa kawaida majuu

Hisia tatu kuu zauandama ulimwengu wa kitajiri siku hizi. Woga na wasiwasi wa kuuawa na magaidi wakatili. Hisia ya utata kuwa maisha hayana maana. Kwamba kifo chaweza kuwadia wakati wowote. Ya tatu ni upweke.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani