Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani kuimarisha uhusiano na Iran

Marekani imeitaka Iran kuchukua maamuzi sahihi kuhusu mpamngo wa nyuklia ili kuimarisha uhusiano kati yao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kuimarisha uhusiano na Vietnam

Rais Barack Obama amefanya mazungumzo na jamii ya wavietnam,Ikulu ya Marekani katika kipindi cha miaka ishirini iliyopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani na Cuba kuimarisha uhusiano

Msaidizi wa waziri wa mambo ya nje wa Marekani,Roberta Jacobson,ataongoza msafara kutoka nchini mwake kuelekea Havana Cuba.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani na Cuba kuimarisha uhusiano wao

Marekani na Cuba zinatarajiwa kuanza mazungumzo ili kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia katika hatua ya kihistoria

 

10 years ago

Habarileo

India kuimarisha uhusiano na Tanzania

Debnath ShawBALOZI wa India nchini, Debnath Shaw amesema kuwa nchi yake itaendelea kuimarisha uhusiano uliopo na Tanzania katika kuhakikisha nchi zote zinafaidika na miradi mbalimbali ya maendeleo.

 

10 years ago

Mtanzania

Tanzania, Finland kuimarisha uhusiano

Sauli_NiinistöNa Mwandishi Maalumu, Finland
UHUSIANO baina ya Tanzania na Finland utaendelea kuimarishwa zaidi kuliko ilivyo sasa, imeelezwa.

Kauli hiyo imetolewa jana mjini Helsinki na Rais Sauli Niinisto wa Finland, katika mazungumzo yake na Rais Jakaya Kikwete yaliyofanyika Ikulu nchini hapa.
“Uhusiano wetu ni wa muda mrefu, ni uhusiano ambao umedumu kwa miaka 50, tumekuwa na uhusiano ambao umeleta maendeleo ya kiuchumi kwa Tanzania.” Rais Niinisto alisema na kuongeza: “Hii inatupa nafasi ya kutafuta...

 

9 years ago

BBCSwahili

Bahrain yavunja uhusiano na Iran

Bahrain imetangaza kwamba imevunja uhusiao wa kibalozi na Iran, saa chache baada ya Saudi Arabia kuchukua hatua sawa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Saudia yafuta uhusiano na Iran

Saud Arabia imesitisha uhusiano wa kidiplomasia na nchi ya Iran

 

9 years ago

BBCSwahili

Iran yakana uhusiano na magaidi

Serikali ya Iran imekana kuwa na uhusiano wowote na wanaume wawili waliokamatwa wakikisiwa kupanga mashambulizi nchini kenya

 

9 years ago

BBCSwahili

Iran yasifu uhusiano na Uingereza kurudi

Baada ya Iran na Uingereza kufungua balozi zao tena, Iran yasema maingiliano sasa ni ya kuheshimiana

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani