Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Iran yasifu uhusiano na Uingereza kurudi

Baada ya Iran na Uingereza kufungua balozi zao tena, Iran yasema maingiliano sasa ni ya kuheshimiana

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kuimarisha uhusiano na Iran

Marekani imeitaka Iran kuchukua maamuzi sahihi kuhusu mpamngo wa nyuklia ili kuimarisha uhusiano kati yao

 

9 years ago

BBCSwahili

Iran yakana uhusiano na magaidi

Serikali ya Iran imekana kuwa na uhusiano wowote na wanaume wawili waliokamatwa wakikisiwa kupanga mashambulizi nchini kenya

 

9 years ago

BBCSwahili

Saudia yafuta uhusiano na Iran

Saud Arabia imesitisha uhusiano wa kidiplomasia na nchi ya Iran

 

9 years ago

BBCSwahili

Bahrain yavunja uhusiano na Iran

Bahrain imetangaza kwamba imevunja uhusiao wa kibalozi na Iran, saa chache baada ya Saudi Arabia kuchukua hatua sawa.

 

10 years ago

Africanjam.Com

PATRICK VIEIRA KURUDI LIGI YA UINGEREZA KAMA KOCHA

Anauzoefu mkubwa wa ligi ya Uingereza baada ya kucheza mechi zaidi ya 300 na kushinda mataji. Viera ambae wiki hii amekamilisha mafunzo yake ya leseni ya kuwa professional kocha iliyoandaliwa na UEFA anaweza kuwa kocha msimu ujao kwenye EPL.
Kwa sasa hivi Patrick Viera anafanya kazi na Manchester city kama kocha wa kikosi cha chini ya miaka 21 anapigiwa chapuo kukiongoza kikosi cha Newcastle kwenye msimu wa 2015/2016.Taarifa kutoka Sky Sport zinasema kwamba Viera anatarajiwa kuchaa na uongozi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Iran na Uingereza kufungua balozi zao

Uingereza na Iran zinatarajiwa kufungua balozi zao licha ya kuwepo uhusiano mbaya katika ya Iran na nchi za Magharibi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Marufuku yawekwa ya uhusiano wa mapenzi kati ya wafanyakazi na wanafunzi, Uingereza

Wachambuzi wamefurahishwa na marufuku ya uhusiano wa mapenzi kati ya wafanyakazi na wanafunzi katika chuo kimoja

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yasifu maandamano ya utulivu

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe amesema wamefurahishwa na amani iliyotawala wakati wa maandamano ya kumsindikiza mgombea wa urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Edward Lowassa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuchukua fomu juzi.

 

11 years ago

Habarileo

TIC yasifu kampuni ya EcoEnergy

KITUO cha Uwekezaji (TIC) kimesifu Kampuni ya EcoEnergy Tanzania kwa shughuli zake za kilimo zinazolenga kupunguza uhaba wa sukari na nishati ya umeme. Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho, Juliet Kairuki, alisema hayo wakati alipofanya ziara ya kutembelea shamba la miwa linalomilikiwa na kampuni hiyo katika bonde la Mto Ruvu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani