Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Iran na Uingereza kufungua balozi zao

Uingereza na Iran zinatarajiwa kufungua balozi zao licha ya kuwepo uhusiano mbaya katika ya Iran na nchi za Magharibi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

La Marseillaise kufungua mechi Uingereza

Wimbo wa taifa wa Ufaransa, La Marseillaise, utachezwa kabla ya mechi zote za Ligi ya Premia wikendi hii kuanza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waislamu Uingereza watakiwa kufungua mapema

Kiongozi wa kidini nchini Uingereza anasema kuwa waislamu nchini humo wanapaswa kupunguza muda wanaofunga ramadhan kwani muda wao unazidi saa 19.

 

9 years ago

BBCSwahili

Iran yasifu uhusiano na Uingereza kurudi

Baada ya Iran na Uingereza kufungua balozi zao tena, Iran yasema maingiliano sasa ni ya kuheshimiana

 

10 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue atembelea balozi wa Tanzania Uingereza jijini London

 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, akiweka saini kwenye Kitabu cha Wageni Ofisini kwa Balozi wa Tanzania, Uingereza, jijini London mwishoni mwa juma. Katibu Mkuu Kiongozi, Mheshimiwa Ombeni Sefue, akizungumza na Maafisa wa Ubalozi, alipotembelea Ubalozini hapo. Mheshimiwa Katibu Kiongozi alikuwa nchini Uingereza katika Ziara yake ya kikazi ambayo iliandaliwa na Taasisi ya ESAMI kuhudhuria semina ambayo ilikuwa na lengo la kuwakutanisha Viongozi wa Vyama vya Siasa na Watendaji wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Iran yaamua kufungua misikiti licha masharti ya kukabiliana na corona

Misikiti kote nchini Iran imepangiwa kufunguliwa Jumanne hatua inayowadia licha ya kwamba baadhi ya maeneo bado yanaathirika vibaya na janga la virusi vya corona.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani na Cuba kufungua balozi

Kila nchi imekubali kufungua afisi ya ubalozi katika miji mikuu yao.Ni hatua kubwa katika kurejesha uhusiano kati pande mbili

 

11 years ago

Mwananchi

Balozi Idd kufungua Sabasaba leo

>Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Balozi Seif Ali Idd atafungua Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF) leo kwenye Viwanja vya Mwalimu Julius  Nyerere, jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Iran haitabadili balozi wake katika UN

Iran imesema inashikilia balozi wake mpya katika Umoja wa Mataifa ndiye inayomtaka, ingawa Marekani haitaki kumpa visa

 

9 years ago

BBCSwahili

Kuwait yamuondoa balozi wake Iran

Kuwait imetangaza kwamba inamuondoa balozi wake kutoka Iran huku mvutano kuhusu kuuawa kwa mhubiri wa Kishia Saudia ukizidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani