Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Iran haitabadili balozi wake katika UN

Iran imesema inashikilia balozi wake mpya katika Umoja wa Mataifa ndiye inayomtaka, ingawa Marekani haitaki kumpa visa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

KHAMENEI:Iran haitabadili sera

Kongozi mkuu nchini Iran amasema kuwa makubaliano yaliyoafikiwa na mataifa makubwa duniani hayawezi kubadili sera za Iran

 

9 years ago

BBCSwahili

Kuwait yamuondoa balozi wake Iran

Kuwait imetangaza kwamba inamuondoa balozi wake kutoka Iran huku mvutano kuhusu kuuawa kwa mhubiri wa Kishia Saudia ukizidi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Iran na Uingereza kufungua balozi zao

Uingereza na Iran zinatarajiwa kufungua balozi zao licha ya kuwepo uhusiano mbaya katika ya Iran na nchi za Magharibi.

 

9 years ago

Dewji Blog

Balozi wa Iran amtembelea Mzee Mwinyi nyumbani kwake

OTH_4912

Rais Mstaafu wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaj Ali Hassan Mwinyi (kulia) akikabidhi Picha kwa Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mh. Mehdi Aghajafari, inayoonyesha sehemu ya Utamaduni wa Tanzania, wakati alipomtembelea Nyumbani kwake, Mikocheni, Jijini Dar es salaam Disemba 14, 2015.

OTH_4897

Rais Mstaafu wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaj Ali Hassan Mwinyi (kulia) akikabidhi Picha yake rasmi kwa Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mh. Mehdi Aghajafari,...

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI WA IRAN NCHINI AMTEMBELEA MZEE MWINYI NYUMBANI KWAKE

Rais Mstaafu wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaj Ali Hassan Mwinyi (kulia) akikabidhi Picha ya maalum kwa Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mh. Mehdi Aghajafari, inayoonyesha sehemu ya Utamaduni wa Tanzania, wakati alipomtembelea Nyumbani kwake, Mikocheni, Jijini Dar es salaam leo Desemba 14, 2015. Rais Mstaafu wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaj Ali Hassan Mwinyi (kulia) akikabidhi Picha yake rasmi kwa Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mh. Mehdi...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: BALOZI MULAMULA ATEULIWA KUWA KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA, BALOZI SIMBA NAIBU WAKE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Balozi Liberata Rutageruka Mulamula (kulia) kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. 
Kwa sasa Balozi Mulamula ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico.

Rais Kikwete pia amemteua Balozi Hassan Simba Yahya (chini) kuwa Naibu Katibu Mkuu katika Wizara hiyo  ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.  
Kwa sasa Balozi Yahya ni Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati Wizarani...

 

5 years ago

CCM Blog

''IRAN IPO TAYARI KUZIPA NCHI ZA AFRIKA UZOEFU WAKE WA KUKABILIANA NA CORONA''

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kuyapa mataifa ya Afrika uzoefu wake katika suala la kupambana na ugonjwa wa COVID-19 (Corona).Mohammad Javad Zarif amesema hayo katika ujumbe alioutuma kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter kwa mnasaba wa 'Siku ya Afrika' iliyoadhimishwa jana Jumatatu. Katika ujumbe wake huo, Dakta Zarif amesema kuwa, "Pongezi kwa Siku ya Afrika 2020, siku hii inatukumbusha mapambano ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Iran yajitegemea katika vita dhidi ya IS

Maafisa wa kijeshi wa Marekani na Iran wamesema hawana ushirikiano katika vita dhidi ya wapiganaji wa IS

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani