PATRICK VIEIRA KURUDI LIGI YA UINGEREZA KAMA KOCHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-u5wgcf2S_Ro/VXdFsP1B7gI/AAAAAAAAB_8/oYMGD4dS6M0/s72-c/Patrick-Vieira-001.jpg)
Anauzoefu mkubwa wa ligi ya Uingereza baada ya kucheza mechi zaidi ya 300 na kushinda mataji. Viera ambae wiki hii amekamilisha mafunzo yake ya leseni ya kuwa professional kocha iliyoandaliwa na UEFA anaweza kuwa kocha msimu ujao kwenye EPL.
Kwa sasa hivi Patrick Viera anafanya kazi na Manchester city kama kocha wa kikosi cha chini ya miaka 21 anapigiwa chapuo kukiongoza kikosi cha Newcastle kwenye msimu wa 2015/2016.Taarifa kutoka Sky Sport zinasema kwamba Viera anatarajiwa kuchaa na uongozi...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Nov
Patrick Vieira ateuliwa kuwa kocha mpya wa New York City
![patrick-vieira_3238775b](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/patrick-vieira_3238775b-300x194.jpg)
Mchezaji na kiungo wa zamani ufaransa na timu za Arsenal na Manchester City, Patrick Vieira ameteuliwa kuwa kocha mpya wa timu ya New York City.
Vieira mwenye miaka 39 amesaini mkataba wa miaka mitatu kuifundisha timu hiyo inayoshiriki ligi kuu ya soka nchini Marekani.
Vieira alikuwa kocha wa kikosi cha vijana wa chini ya umri wa 21 cha Manchester City. Vieira ni miongoni mwa nyota wa timu ya taifa ya Ufaransa waliotwaa kombe la dunia mwaka 1998.
Vieira ataanza kazi hiyo rasmi Januari 1,...
9 years ago
Dewji Blog10 Nov
Vieira ateuliwa kuwa kocha wa New York City FC
Kocha mpya wa New York City, Patrick Vieira.
Kikosi cha New York City.
Na Rabbi Hume
Mchezaji wa zamani wa Arsenal na kocha wa timu kukuzia vipaji ya vijana ya Manchester City, Patrick Vieira ameteuliwa kuwa kocha wa timu ya New York City inayoshiriki ligi kuu ya nchini Marekani MSL.
Uteuzi wa Vieira umekuja ikiwa ni siku sita (6) tangu kutimuliwa kazi aliyekuwa kocha wa timu hiyo Jason Kreis.
Vieira ambae anaiongoza timu ya vijana kuangalia maendeleo ya vijana alijiunga na timu hiyo 2013...
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Kama hujawahi kuiona, hii ndio video ya magoli ya mashuti ya mbali yaliowahi kufungwa katika Ligi Kuu Uingereza
Mtu wangu wa nguvu najua ni nadra sana kuona mchezaji soka akifunga goli kwa shuti la mbali, hili ni tukio ambalo hutokea katika mechi mara chache, magoli ya mashuti ya mbali huwa ni moja kati ya kivutio kizuri katika soka, hii inatokana na magoli hayo ufungwa mara chache uwanjani. Huenda ukwa ujawahi kuona hii list […]
The post Kama hujawahi kuiona, hii ndio video ya magoli ya mashuti ya mbali yaliowahi kufungwa katika Ligi Kuu Uingereza appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
BBCSwahili23 Aug
Iran yasifu uhusiano na Uingereza kurudi
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ebc98k8dWa0/Vg1je5XS_eI/AAAAAAAH8Nw/Jq5mzxltNS8/s72-c/k1.jpg)
JUST IN: KITUO CHA MICHEZO CHAENDELEA KUJIZATITI Aliyekuwa Kocha kwenye Ligi Kuu ya Uingereza aja Tanzania kuongoza kituo cha vijana cha michezo
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ebc98k8dWa0/Vg1je5XS_eI/AAAAAAAH8Nw/Jq5mzxltNS8/s640/k1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4RLcSt4W2js/U-m2KV4qlsI/AAAAAAAF-z0/K1wQKt_FOvU/s72-c/PATRICK+PHIRI.jpg)
kocha patrick phiri wa zambia kutua dar es salaam ijumaa tayari kuinoa simba SC
![](http://1.bp.blogspot.com/-4RLcSt4W2js/U-m2KV4qlsI/AAAAAAAF-z0/K1wQKt_FOvU/s1600/PATRICK+PHIRI.jpg)
Phiri ni kocha anayekubalika zaidi mbele ya mashabiki wa Simba SC miongoni mwa makocha waliowahi kufundisha klabu hiyo- rekodi yake ya kukumbukwa zaidi ikiwa ni kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu msimu wa 2009/2010 bila kufungwa hata...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq1*rMlkVIS98ahWv1u6XHSaUsZSJsaPIXhPZpto83B5Faf1gcgoEFyQmLBBUKAmsz6u*jczJAQi4Rwpa2RhgYaA-/jack.jpg?width=650)
KAMA IKITHIBITIKA… JACK PATRICK JELA MIAKA 10
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Taji la ligi ya England: Jinsi kocha Jurgen Klopp alivyoisaidia Liverpool kushinda taji la Ligi ya Primia.