TIC yasifu kampuni ya EcoEnergy
KITUO cha Uwekezaji (TIC) kimesifu Kampuni ya EcoEnergy Tanzania kwa shughuli zake za kilimo zinazolenga kupunguza uhaba wa sukari na nishati ya umeme. Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho, Juliet Kairuki, alisema hayo wakati alipofanya ziara ya kutembelea shamba la miwa linalomilikiwa na kampuni hiyo katika bonde la Mto Ruvu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
TIC yasaini mkataba wa ushirikiano wa pamoja na Kampuni ya Tanga Fresh Ltd
.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima30 Aug
UVCCM yasifu utendaji wa Dk. Shein
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), imepongeza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kufikia malengo ya milenia. Pongezi hizo, zilitolewa na Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM...
10 years ago
Mwananchi12 Aug
Serikali yasifu maandamano ya utulivu
10 years ago
BBCSwahili23 Aug
Iran yasifu uhusiano na Uingereza kurudi
10 years ago
Habarileo13 Dec
Malawi yasifu Tanzania sheria ya ushindani
TANZANIA imetajwa kuwa kivutio cha uwekezaji kibiashara Afrika kutokana na utekelezaji mzuri wa sheria ya ushindani na umakini wa watendaji wake katika kudhibiti soko la ndani dhidi ya bidhaa bandia.
10 years ago
Michuzi
TPA YASIFU BENKI KUONGEZA MUDA WA KAZI

10 years ago
Mwananchi23 Sep
ACT yaanika matumizi yao ya kampeni, yasifu utafiti Twaweza
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
TIC yawafunda wafanyabiashara
WAFANYABIASHARA wa Tanzania wameshauriwa kutumia fursa waliyopata wakati wa kongamano la pili la biashara kati ya Tanzania na China kujenga mtandao wa kibiashara utakaodumu kwa faida yao na nchi kwa...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Pinda aipa somo TIC
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amekitaka Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) kuhakikisha kinafanya kazi na kutoa mchango katika mkakati wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN). Pinda alitoa rai hiyo wakati wa kuizindua...