Serikali yasifu maandamano ya utulivu
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe amesema wamefurahishwa na amani iliyotawala wakati wa maandamano ya kumsindikiza mgombea wa urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Edward Lowassa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuchukua fomu juzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziSERIKALI ITAENDELEA KUHAKIKISHA HALI YA AMANI NA UTULIVU-RAIS DKT.ALI SHEIN
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar kabla yac kulivunja rasmin leo katika ukumbi wa mkutano Chukwani Jijinin Zanzibar.(Picha na Ikulu)RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akikabidhiwa zawadi ya Kitabu...
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
Serikali ya awamu ya nne yafanikiwa kuimarisha umoja, amani na utulivu miongoni mwa wananchi
Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Angelina Madete akiwaeleza waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu mafanikio ya serikali ya nne ikiwamo kujenga umoja, amani na utulivu miongoni mwa wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati wa mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Mazingira, Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Richard Muyungi.
Mkurugenzi wa Muungano, Ofisi ya Makamu wa Rais Bw....
10 years ago
MichuziKAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...
11 years ago
Habarileo03 Mar
TIC yasifu kampuni ya EcoEnergy
KITUO cha Uwekezaji (TIC) kimesifu Kampuni ya EcoEnergy Tanzania kwa shughuli zake za kilimo zinazolenga kupunguza uhaba wa sukari na nishati ya umeme. Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho, Juliet Kairuki, alisema hayo wakati alipofanya ziara ya kutembelea shamba la miwa linalomilikiwa na kampuni hiyo katika bonde la Mto Ruvu.
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
UVCCM yasifu utendaji wa Dk. Shein
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), imepongeza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kufikia malengo ya milenia. Pongezi hizo, zilitolewa na Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM...
9 years ago
BBCSwahili23 Aug
Iran yasifu uhusiano na Uingereza kurudi
10 years ago
Habarileo13 Dec
Malawi yasifu Tanzania sheria ya ushindani
TANZANIA imetajwa kuwa kivutio cha uwekezaji kibiashara Afrika kutokana na utekelezaji mzuri wa sheria ya ushindani na umakini wa watendaji wake katika kudhibiti soko la ndani dhidi ya bidhaa bandia.
9 years ago
MichuziTPA YASIFU BENKI KUONGEZA MUDA WA KAZI
10 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE NA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI KUDUMISHA AMANI,UTULIVU NA UADILIFU NCHINI