Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjumbe wa Iran azuiwa kungia Marekani

Rais Obama ametia sahihi mswada unaomzuia balozi mteule wa Iran katika Umoja wa Mataifa kuchukua wadhfa wake mjini New York.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Machar akutana na mjumbe wa Marekani

Kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini, Riek Machar, akutana na mjumbe wa Marekani na wapatanishi wa IGAD

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma mjumbe Sudan Kusini

Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani John Kerry amesema atatuma mjumbe maalum nchini Sudan Kusini Bwana Donald Booth.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kuimarisha uhusiano na Iran

Marekani imeitaka Iran kuchukua maamuzi sahihi kuhusu mpamngo wa nyuklia ili kuimarisha uhusiano kati yao

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kufanya mazungumzo na Iran

Marekani inapanga kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na Iran kuhusu mbinu za kukabiliana na tishop la wapiganaji Iraq

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyuklia:Marekani kuafikiana na Iran

Obama ana uhakika kuwa Marekani itaafikia makubaliano ya mwisho na Iran kuhusu mpango wake wa nyuklia mwishoni mwa mwezi Juni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hisia kutoka Marekani na Iran

Baada kutangazwa muafaka baina ya Iran na mataifa 6 yenye nguvu zaidi duniani Rais Obama na Rouhani wametoa hisia zao

 

11 years ago

Mtanzania

Bunge la Katiba: Mjumbe ataka atumiwe tiketi ya ndege Marekani

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania Bw, Deus Kibamba

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania Bw, Deus Kibamba

Na Fredy Azzah, Dodoma

MWENYEKITI wa Jukwaa la Katiba Tanzania, Deus Kibamba, amesema mmoja wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba hadi sasa hajahudhuria vikao vya Bunge hilo kwa vile aliteuliwa akiwa Marekani.

Amesema mjumbe huyo pia amekuwa akiitaka Ofisi ya Bunge la Katiba imtumie tiketi ya ndege aweze kuhudhuria vikao hivyo vinavyoendelea mjini Dodoma.

Kibamba akizungumza na waandishi wa habari Dodoma jana, alisema tathmini ya wiki...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani:Iran ina jukumu dhidi ya IS

Marekenai imesema kuwa Iran ina jukumu la kutekeleza katika juhudi za kimataifa dhidi ya wapiganaji wa Islamic State.

 

5 years ago

CCM Blog

MAREKANI YAONDOA MISAMAHA YA NYUKLIA YA IRAN

Marekani yaondoa misamaha ya nyuklia ya IranBaada ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mnamo Mei 8 2018, ilianza kutekeleza vikwazo vipya dhidi ya Iran. Vikwazo hivyo vya upande mmoja ni ukiukwaji wa wazi wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.Pamoja na kuwa Marekani ilikuwa haina budi ila kuzingatia misamaha  inayohusu ushirikiano wa nyuklia na Iran lakini sasa imefuta misamaha hiyo.Kuhusiana na nukta hiyo, Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani