Serikali isipolipa madeni nchi yetu itauzwa
Tunalazimika leo kuihadharisha Serikali kuhusu madhara yatakayotokea kwa nchi yetu kutokana na kutolipa madeni, iwe ya nchini mwetu au ya nje
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Dec
TALGWU: Serikali isipolipa deni tutagomea Uchaguzi Mkuu
5 years ago
CCM Blog
NCHI 20 ZENYE NGUVU KIUCHUMI WAKUBALIANA KUSAMEHE KWA MUDA MADENI YA NCHI MASIKINI DUNIANI ILI ZIWEZE KUKABILIANA NA CORONA

Mawaziri wa fedha na magavana wa benki kuu wa G20 wamesema wanaunga mkono kusimamisha kwa muda malipo ya madeni kwa nchi hizo ambazo zinahitaji kuvumiliwa.
Uamuzi huo umefikiwa jana katika mkutano wao uliofanyika kwa njia ya video.
Muda huo unaanza Mei Mosi hadi mwishoni mwa mwaka 2020 na deni kuu pamoja na malipo yote ya riba yatasimamishwa.
Mkurugenzi...
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Nchi zenye Ebola kufutiwa madeni
10 years ago
Michuzi
SERIKALI KULIPA MADENI YA WATUMISHI WA SERIKALI ZA MITAA.

5 years ago
Michuzi
TANZANIA YAENDELEA KUZIOMBA TAASISI ZA FEDHA ZA KIMATAIFA KUSAMEHE MADENI NCHI ZINAZOENDELEA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamamba John Kabudi akifuatilia mkutano wa Marais, Mawaziri Wakuu pamoja na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi na Serikali za Jumuiya ya Madola uliofanyika kwa njia ya mtandao (video conference) leo katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam
……………………………………………………………………
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuziomba taasisi za fedha za kimataifa pamoja na nchi za Jumuiya ya madola kufikiria kufuta kabisa...
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Nchi yetu imevurugwa
LEO nazungumzia mambo mawili makubwa. Kwanza ni suala la wagombea wa vyama vya siasa kutopata idadi inayotakiwa; na pili ni suala la akaunti ya Tegeta Escrow lililotawala mijadala ya Bunge...
11 years ago
Mwananchi26 Jun
WB : Serikali sasa punguzeni madeni
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Serikali inavyolihujumu Tanesco,madeni
10 years ago
Habarileo24 Jan
Serikali yabeba madeni ya ATCL
SERIKALI imekubali kuchukua madeni yote ya Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) na kuyalipa, baada ya uhakiki ili kutoa fursa kwa shirika hilo kuanza biashara.