Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali isipolipa madeni nchi yetu itauzwa

Tunalazimika leo kuihadharisha Serikali kuhusu madhara yatakayotokea kwa nchi yetu kutokana na kutolipa madeni, iwe ya nchini mwetu au ya nje

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

TALGWU: Serikali isipolipa deni tutagomea Uchaguzi Mkuu

Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU), kimeitaka Serikali kulipa deni la Sh17 bilioni kinachodai kabla ya Desemba 31 mwaka huu, huku kikitishia kutoshiriki uchaguzi mkuu ujao ikiwa hawatalipwa.

 

5 years ago

CCM Blog

NCHI 20 ZENYE NGUVU KIUCHUMI WAKUBALIANA KUSAMEHE KWA MUDA MADENI YA NCHI MASIKINI DUNIANI ILI ZIWEZE KUKABILIANA NA CORONA

Wakuu wa nchi 20 zenye nguvu kiuchumi na zinazoinukia kiuchumi duniani, G20 wamekubaliana kusamehe kwa muda madeni ya nchi masikini duniani. 
Mawaziri wa fedha na magavana wa benki kuu wa G20 wamesema wanaunga mkono kusimamisha kwa muda malipo ya madeni kwa nchi hizo ambazo zinahitaji kuvumiliwa. 
Uamuzi huo umefikiwa jana katika mkutano wao uliofanyika kwa njia ya video. 
Muda huo unaanza Mei Mosi hadi mwishoni mwa mwaka 2020 na deni kuu pamoja na malipo yote ya riba yatasimamishwa. 
Mkurugenzi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nchi zenye Ebola kufutiwa madeni

Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imetaka mataifa na mashirika yanayotoa mikopo kutafakari kwa kina uwezekano wa kufutilia mbali mikopo iliyopewa mataifa yaliyoathirika zaidi na Ebola.

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KULIPA MADENI YA WATUMISHI WA SERIKALI ZA MITAA.


Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. HAB Mkwizu (wa pili kutoka kulia) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu namna Serikali  inavyoshughulikia madai ya watumishi walio katika Serikali za Mitaa wasio walimu. Na Magreth   Kinabo-maelezoSERIKALI  imetenga  kiasi cha fedha cha  Sh. bilioni tano ( 5.93) ikiwa ni madeni ya mishahara ya  Watumishi wa Mamlaka za Serikali za  Mitaa(TALGWU) na  Sh. bilioni nne(4) kwa ajili ya kulipa madeni  ya yasiyohusu mishahara,...

 

5 years ago

Michuzi

TANZANIA YAENDELEA KUZIOMBA TAASISI ZA FEDHA ZA KIMATAIFA KUSAMEHE MADENI NCHI ZINAZOENDELEA


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamamba John Kabudi akifuatilia mkutano wa Marais, Mawaziri Wakuu pamoja na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi na Serikali za Jumuiya ya Madola uliofanyika kwa njia ya mtandao (video conference) leo katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam

……………………………………………………………………

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuziomba taasisi za fedha za kimataifa pamoja na nchi za Jumuiya ya madola kufikiria kufuta kabisa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Nchi yetu imevurugwa

LEO nazungumzia mambo mawili makubwa. Kwanza ni suala la wagombea wa vyama vya siasa kutopata idadi inayotakiwa; na pili ni suala la akaunti ya Tegeta Escrow lililotawala mijadala ya Bunge...

 

11 years ago

Mwananchi

WB : Serikali sasa punguzeni madeni

Ripoti ya hali ya uchumi wa Tanzania ya Benki ya Dunia(WB) imeishauri Serikali kuimarisha usimamizi na uwiano baina ya mikakati ya maendeleo na kupunguza ongezeko la madeni kwa wakati.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali inavyolihujumu Tanesco,madeni

Wakati ongezeko la mahitaji ya huduma za umeme likiendelea kukua kwa kasi hapa nchini, Shirika la Ugavi nchini (Tanesco) linalohusika na huduma hiyo ndiyo kwanza linatambaa kwa kutumia magongo ya miti, likihitaji kunusuriwa.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yabeba madeni ya ATCL

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Monica MwamunyangeSERIKALI imekubali kuchukua madeni yote ya Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) na kuyalipa, baada ya uhakiki ili kutoa fursa kwa shirika hilo kuanza biashara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani