Serikali yabeba madeni ya ATCL
SERIKALI imekubali kuchukua madeni yote ya Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) na kuyalipa, baada ya uhakiki ili kutoa fursa kwa shirika hilo kuanza biashara.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 May
Serikali yabeba madeni ya TTCL ya mabilioni
SERIKALI imebeba madeni ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) ya mabilioni ya fedha na kuiruhusu kukopa hadi Sh bilioni 96.4 kutoka katika taasisi za fedha.
10 years ago
Habarileo13 Nov
Madeni ya ATCL yabakia bil. 40/-
MIZANIA ya Madeni ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) imepungua kutoka Sh bilioni 133 hadi Sh bilioni 40 hivi sasa, hatua inayotoa matumaini kwa shirika hilo kuingia kwenye ushindani karibuni.
9 years ago
Mtanzania07 Jan
Serikali yabeba deni la Bodi ya Utalii
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
SERIKALI kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii, imejitwisha mzigo wa deni la Sh bilioni 4 ambalo Bodi ya Utalii inadaiwa.
Deni hilo ni ambalo linahusu matangazo yanayoanzia mwaka 2013/ 2014 ambalo lilikuwa likihusu matangazo yote ya utalii yaliyokuwa yakifanyika ndani na nje ya nchi katika viwanja mbalimbali vya soka vya Ulaya.
Akizungumza na viongozi wa bodi hiyo, jana jijini Dar es Salaam, Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghebe alisema wizara...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gdoLsOBQC3E/ViIMHpI825I/AAAAAAAIAhQ/FQkIlOjp1IM/s72-c/123105.jpg)
SERIKALI KULIPA MADENI YA WATUMISHI WA SERIKALI ZA MITAA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-gdoLsOBQC3E/ViIMHpI825I/AAAAAAAIAhQ/FQkIlOjp1IM/s640/123105.jpg)
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Serikali inavyolihujumu Tanesco,madeni
11 years ago
Mwananchi26 Jun
WB : Serikali sasa punguzeni madeni
11 years ago
Mwananchi25 Jun
Serikali kulipa madeni ya wakulima wa mahindi
10 years ago
Mwananchi10 Nov
Lipumba: Tutachukua Serikali iliyojaa madeni
10 years ago
Mtanzania17 Nov
Hatima madeni ya Serikali kutikisa Bunge
![Bunge](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Bunge.jpg)
Bunge
Na Bakari Kimwanga, Dodoma
MJADALA kuhusu azimio la kuliomba liidhinishe kufutwa au kusamehe hasara na madeni yaliyotokana na upotevu wa mali na fedha, yenye thamani ya Sh bilioni 10.8, unatarajiwa kulitikisa Bunge leo.
Hatua hiyo inatokana na mvutano ulioibuka mwishoni mwa wiki iliyopita miongoni mwa wabunge, kundi moja likitaka azimio hilo lipite na wengine wakipinga hatua hiyo wakisema ni sawa na ufisadi.
Hasara hiyo imetokana na sababu mbalimbali ikiwamo wizi na udokozi uliofanywa...