Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Anthony Mhanda - Kilimo Biashara katika shughuli ya ufugaji nyuki na uvunaji wa asali.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Hai imepiga hatua kubwa katika kilimo, ufugaji - DC

MKUU wa Wilaya ya Hai, Novatus Makunga amesema Wilaya yake imepiga hatua kubwa katika kuziba pengo la kiteknolojia kwenye kilimo na ufugaji.

 

9 years ago

GPL

SHOGA, NYUKI MKALI KWA ASALI YAKE

Shoga naona leo kicheko mpaka gego la mwisho, najua lazima ucheke kwani ndoa yako ilikuwa imesimamia mguu mmoja leo hii imesimamia miguu miwili, hongera.  Inawezekana nawe ulikuwa mmoja wa waliokuwa wakiichukia kona hii na kuona kama inakufuatafuata. Baada ya maji kufika shingoni, mwenyewe umeyatafuta magazeti ya zamani ili kujua umekosea wapi. Jamani kona hii ipo kwa ajili yetu sote, hata sisi enzi ya ujana wetu tulifanya...

 

11 years ago

Mwananchi

Soko la asali lawanyima kipato wafugaji nyuki

Wafugaji nyuki wilayani Handeni mkoani Tanga, wameitaka Serikali kuwapatia soko la kuuzia asali ili waepuke kutapeliwa na walanguzi.

 

9 years ago

Habarileo

Pinda ataka uwekezaji zaidi ufugaji wa asali

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ametaka kuongezwa kwa uwekezaji katika eneo la uzalishaji asali ili sekta hiyo itoe mchango unaostahili katika uchumi. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Chama cha Kuendeleza Ufugaji Nyuki Nchini (TABEDO) juzi, Pinda alisema sekta hiyo ikipewa kipaumbele zaidi uzalishaji utaongezeka na hivyo kutoa mchango mkubwa katika uchumi wa taifa kutokana na Tanzania kuwa na maeneo mengi yanayofaa kwa ajili ya ufugaji nyuki.

 

5 years ago

Michuzi

NBC WAENDELEA KUUNGA MKONO SERIKALI YA AWAMU YA TANO KATIKA SEKTA YA KILIMO, UVUVI NA UFUGAJI

ILI Kufikia uchumi wa kati katika sekta ya Viwanda, mahitaji ya wakulima, wavuvi na wafugaji hayawezi kutekelezwa kwa bajeti ya serikali pekee bali wadau wakubwa wajitokeze kuwekeza.
Hayo yamesemwa wakati wa Mkutano wa wadau katika Kuongeza tija kwenye sekta ya kilimo na mifugo kwa maendeleo ya Viwanda.
Mkutano huo uliodhaminiwa na  Benki ya Biashara ya NBC, umeweza kuhudhuriwa na Waziri wa Viwanda na Biashara  Innocent Bashungwa, Waziri wa Ufugaji na Uvuvi Luhaga Mpina na Naibu Waziri wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Faida za kiuchumi za ufugaji nyuki

UFUGAJI nyuki nchini hufanyika kwenye misitu na mapori ya akiba na asilimia ndogo hufanyika katika maeneo ya kilimo. Wananchi waishio jirani na maeneo ya hifadhi za misitu na baadhi ya...

 

9 years ago

Habarileo

Chama cha ufugaji nyuki kuzinduliwa

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, leo anatarajiwa kuzindua Chama cha Kuendeleza Ufugaji wa Nyuki Tanzania (TABEDO). Uzinduzi wa TABEDO unafanyika kutokana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, kufanyia kazi agizo la Waziri Mkuu Pinda la kuanzishwa kwa umoja wa wafugaji nyuki nchini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ufugaji nyuki umewakomboa wasomi kiuchumi

BAADA ya kuhitimu elimu ya chuo kikuu, safari ya kuelekea kwenye jamii inaanza na kuanza maisha ikiwa ni pamoja na kukabiliana na changamoto zake ikiwemo suala la ajira ambalo ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani