Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chama cha ufugaji nyuki kuzinduliwa

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, leo anatarajiwa kuzindua Chama cha Kuendeleza Ufugaji wa Nyuki Tanzania (TABEDO). Uzinduzi wa TABEDO unafanyika kutokana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, kufanyia kazi agizo la Waziri Mkuu Pinda la kuanzishwa kwa umoja wa wafugaji nyuki nchini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Wajumbe wa Chama cha kuendeleza ufugaji Nyuki Tanzania watembelea shamba la Pinda Dodoma

IMGS9249

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwaongoza baadhi ya wajumbe wa Chama cha Kuendeleza wafugaji Nyuki Tanzania (TABETO) kukagua shamba lake la Zuzu  siku moja baada ya kuzindua chama hicho mjini Dodoma Oktoba 31, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

9 years ago

Dewji Blog

Pinda azindua Chama cha Wafugaji Nyuki

IMGS9140

 Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza wakati alipozindua Chama cha Kuendeleza Ufugaji Nyuki Tanzania kwenye hoteli ya Morena mjini Dodoma Oktoba 30, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

IMGS9147

 

10 years ago

Dewji Blog

Chama cha ushirika SYCCOS chawapiga msasa wafugaji nyuki wa Mkoa wa Singida

DSC04244

Pichani ni Rais wa SYCCOS, Philemon Kiemi, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo picha) juu ya semina ya siku mbili ya wadau wa nyuki zaidi ya 500 wa Mkoa wa Singida, Semina iliyoanza jana na kutarajiwa kumalizika leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Tatala Beach hotel mjini hapa.

Na Nathaniel Limu, Singida

CHAMA cha Ushirika na Ujasirimali cha Vijana waliomaliza vyuo vikuu (SYCCOS) mkoani Singida kinaendesha semina ya siku mbili kwa wadau zaidi ya 500 wanaojishughulisha na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Faida za kiuchumi za ufugaji nyuki

UFUGAJI nyuki nchini hufanyika kwenye misitu na mapori ya akiba na asilimia ndogo hufanyika katika maeneo ya kilimo. Wananchi waishio jirani na maeneo ya hifadhi za misitu na baadhi ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ufugaji nyuki umewakomboa wasomi kiuchumi

BAADA ya kuhitimu elimu ya chuo kikuu, safari ya kuelekea kwenye jamii inaanza na kuanza maisha ikiwa ni pamoja na kukabiliana na changamoto zake ikiwemo suala la ajira ambalo ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Sekta ufugaji nyuki kuzalisha zaidi

Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) ameanza utekekezaji wa mikakati ya kuhakisha kuwa sekta ya ufugaji nyuki inatumika kuzalisha mazao mengine ya kibiashara badala ya asali na nta pekee kama ilivyo kwa sasa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda afungua Kongamano la ufugaji Nyuki Afrika

PG4A9309

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama ngoma kabla ya kufungua kongamno la ufugaji nyuki Afrika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) Novemba 11, 2014. Kushoto ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A9594

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia  wakati alipofungua Kongamano la Ufugaji Nyuki Barani Afrika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) Novemba 11, 2014.

PG4A9553

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea tuzo ya...

 

11 years ago

Habarileo

Balozi aelezwa nia ya kuanzisha mitaala ya ufugaji nyuki

CHUO cha Kilimo Mubondo wilaya ya Kasulu, Kigoma kinatarajia kuanzisha mitaala ya masomo ya ufugaji nyuki kwa wanafunzi wa chuo hicho.

 

10 years ago

Michuzi

Kongamano la Ufugaji nyuki Barani Afrika kufanyika Jijini Arusha

 Kaimu Mkurugenzi wa Wizara ya Maliasili na Utalii (Kitengo cha Misitu na Nyuki),Bi. Gladnes Mkamba akizungumza na Wanahabari (hawapo pichani) kuhusu uwepo wa Kongamano la Ufugaji nyuki Barani Afrika linalotarajiwa kufanyika nchini kuanzia Novemba 11 - 16,2014 katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa (AICC),jijini Arusha.Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Rasilimali Misitu kutoka Wakala wa Misitu Tanzania,Bw. Zawadi Mbwambo.Picha na Othman Michuzi.Kaimu Mkurugenzi Mwandamizi wa Wizara ya Maliasili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani