Pinda afungua Kongamano la ufugaji Nyuki Afrika
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama ngoma kabla ya kufungua kongamno la ufugaji nyuki Afrika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) Novemba 11, 2014. Kushoto ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia wakati alipofungua Kongamano la Ufugaji Nyuki Barani Afrika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) Novemba 11, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea tuzo ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi12 Nov
WAZIRI MKUU AFUNGUA KONGAMANO LA UFUGAJI NYUKI JIJINI ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xafXEJMWJTo/VGMmtFWCiXI/AAAAAAAGwpU/CKrrKelA7H0/s640/unnamed%2B(69).jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-f3wuRg3TuFE/VGMmtDYl6kI/AAAAAAAGwpY/XJmrPH69BpY/s640/unnamed%2B(70).jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MRn4o072vCo/VGMmtANeptI/AAAAAAAGwpc/wqL9Aa0TjjI/s640/unnamed%2B(71).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5n4pRCwshyI/VFNWwl5FxNI/AAAAAAAGuXE/-LEK8QbcdyY/s72-c/MMGM0022.jpg)
Kongamano la Ufugaji nyuki Barani Afrika kufanyika Jijini Arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-5n4pRCwshyI/VFNWwl5FxNI/AAAAAAAGuXE/-LEK8QbcdyY/s1600/MMGM0022.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-a8ZPkotytn0/VFNWx3mNEDI/AAAAAAAGuXM/Do10bvhhkD8/s1600/MMGM0016.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eyD2S4R9yoA/VBiAraox4GI/AAAAAAAGj-M/sOZjGTza40E/s72-c/unnamed%2B(42).jpg)
TANZANIA KUWA MWENYEJI WA KONGAMANO LA WATAFITI WA UFUGAJI NYUKI BARANI AFRIKA
Kongamano hilo linatajiwa kuhudhuriwa na washiriki 550 ambapo kati yao Watanzaniani 250 na wageni kutoka nje ya nchi wanatarajia kuwa 300. Akizungumza na waandishi wa Habari leo Jumanne (Septemba 16, 2014), Jijini Dar esSaalaam, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Misitu Tanzania katika Wizara ya ...
11 years ago
MichuziWaziri Nyalandu azindua tovuti ya Kongamano la Kwanza la Ufugaji Nyuki Afrika mwaka 2014
Baadhi ya washiriki wa uzinduzi huo
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Wajumbe wa Chama cha kuendeleza ufugaji Nyuki Tanzania watembelea shamba la Pinda Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwaongoza baadhi ya wajumbe wa Chama cha Kuendeleza wafugaji Nyuki Tanzania (TABETO) kukagua shamba lake la Zuzu siku moja baada ya kuzindua chama hicho mjini Dodoma Oktoba 31, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
10 years ago
Dewji Blog18 Nov
Wadau waliohudhuria kongamano la Nyuki mjini Arusha, watembelea shamba la darasa la Nyuki wilayani Ikungi
Kaimu Mkurugenzi wa idara ya Nyuki Gladness Mkanda,akizungumza na wananchi wa kijiji cha Mahambe wilaya ya Ikungi muda mfupi baada ya kuongoza wadau wa nyuki kutoka sehemu mbalimbali duniani,kutembelea shamba darasa la ufugaji bora wa nyuki linalomilikiwa na shirika la Future Development Initiatives (Fu-DI).Mkamba alitoa wito kwa wananchi kujiunga katika vikundi vya ufugaji Nyuki ili waweze kujikomboa kiuchumi.
Meneja wa shirika la Future Development Initiatives (Fu-DI), Jonathani Njau,...
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
Pinda afungua kongamano la Takwimu
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na washiriki wa Kongamano la Takwimu barani Afrika baada ya kufungua mkutano wa kwenye Hoteli ya Giraffe Ocean View jijini Dar es salaam. Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Ofisi ya Takwimu ya Taifa, Dr. Albina Chuwa, kulia ni Irena Krizman kutoka Slovenia na wapili kulia ni Pali Lehohla kutoka Afrika ya kusini. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
11 years ago
Dewji Blog02 Aug
Pinda afungua Kongamano la Uwekezaji Mbeya
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua kongamano la uwekezaji la Nyanda za Juu kusini kwenye ukumbi wa Mkapa jijini Mbeya August 1, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozana na Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro (kushoto) na Mkuu wa WIlaya ya Wanging’ombe,, Esterina Kilasi kutoka kwenye ukumbi wa Mkapa jijini Mbeya baada ya kufungua Kongamano la Uwekezaji la Kanda ya Nyanda za Juu Kusini August 1, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri...
10 years ago
Dewji Blog09 May
Pinda afungua kongamano la Lions Club
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia mkutano wakati alipofungua kongamano la 12 la Lions Club kwenye hoteli ya White Sands jijini Dar es salaam Me 9, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Baadhi ya washiriki wa kongamano la 12 la Lions Club wakimsikiliza Wairi Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua kongamano hilo kwenye hoteli ya White Sands jijini Dar es salaam.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na washiriki wa kongamano la 12 la Lions Club kwenye hoteli ya White Sands jijini...