Pinda afungua kongamano la Takwimu
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na washiriki wa Kongamano la Takwimu barani Afrika baada ya kufungua mkutano wa kwenye Hoteli ya Giraffe Ocean View jijini Dar es salaam. Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Ofisi ya Takwimu ya Taifa, Dr. Albina Chuwa, kulia ni Irena Krizman kutoka Slovenia na wapili kulia ni Pali Lehohla kutoka Afrika ya kusini. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU PINDA AFUNGUA KONGAMANO LA TAKWIMU
11 years ago
Dewji Blog02 Aug
Pinda afungua Kongamano la Uwekezaji Mbeya
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua kongamano la uwekezaji la Nyanda za Juu kusini kwenye ukumbi wa Mkapa jijini Mbeya August 1, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozana na Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro (kushoto) na Mkuu wa WIlaya ya Wanging’ombe,, Esterina Kilasi kutoka kwenye ukumbi wa Mkapa jijini Mbeya baada ya kufungua Kongamano la Uwekezaji la Kanda ya Nyanda za Juu Kusini August 1, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri...
10 years ago
Dewji Blog09 May
Pinda afungua kongamano la Lions Club
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia mkutano wakati alipofungua kongamano la 12 la Lions Club kwenye hoteli ya White Sands jijini Dar es salaam Me 9, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Baadhi ya washiriki wa kongamano la 12 la Lions Club wakimsikiliza Wairi Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua kongamano hilo kwenye hoteli ya White Sands jijini Dar es salaam.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na washiriki wa kongamano la 12 la Lions Club kwenye hoteli ya White Sands jijini...
10 years ago
Dewji Blog11 Nov
Pinda afungua Kongamano la ufugaji Nyuki Afrika
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama ngoma kabla ya kufungua kongamno la ufugaji nyuki Afrika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) Novemba 11, 2014. Kushoto ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia wakati alipofungua Kongamano la Ufugaji Nyuki Barani Afrika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) Novemba 11, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea tuzo ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2tmd1l9org4/VU6tY0H52AI/AAAAAAAHWeU/PneNG5q5Tmk/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AFUNGUA KONGAMANO LA LIONS CLUB
![](http://3.bp.blogspot.com/-2tmd1l9org4/VU6tY0H52AI/AAAAAAAHWeU/PneNG5q5Tmk/s640/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WgImQ2ffEQg/VU6tYwJlHMI/AAAAAAAHWeQ/p0biXt7R2aM/s640/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zVremfb0_ms/VU6tZTSLQwI/AAAAAAAHWec/aHl_gSc0NEM/s640/unnamed%2B(3).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zVremfb0_ms/VU6tZTSLQwI/AAAAAAAHWec/aHl_gSc0NEM/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AFUNGUA KONGAMANO LA LIONS CLUB JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-zVremfb0_ms/VU6tZTSLQwI/AAAAAAAHWec/aHl_gSc0NEM/s640/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gBOVv9T6VTE/VU6taFReySI/AAAAAAAHWew/hKbZ08cq_og/s640/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-upQ8q7tB5U4/VU6tdehUttI/AAAAAAAHWfM/NYguzpbp7Qc/s640/unnamed%2B(7).jpg)
11 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DK. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA 28 NIMR NA KONGAMANO LA WANASAYANSI WATAFITI LEO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XwJafhtu2x4/VZfu-tM0zAI/AAAAAAAHm1I/45eorqEjofU/s72-c/BARAZA%2B2.jpg)
WAZIRI KOMBANI AFUNGUA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-XwJafhtu2x4/VZfu-tM0zAI/AAAAAAAHm1I/45eorqEjofU/s640/BARAZA%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TUaZwQ3fS5c/VZfvGZPs_vI/AAAAAAAHm1o/flNFciWeqlQ/s640/BARAZA%2B1.jpg)
10 years ago
Habarileo28 Apr
Pinda aahidi ofisi ya Takwimu itaimarishwa
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema Serikali imedhamiria kuiimarisha Ofisi ya Takwimu ya Taifa ili iweze kutoa huduma bora, siyo tu kwa Serikali, bali hata kwa wananchi kwa sababu wana haki ya kupatiwa takwimu sahihi.