Pinda aahidi ofisi ya Takwimu itaimarishwa
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema Serikali imedhamiria kuiimarisha Ofisi ya Takwimu ya Taifa ili iweze kutoa huduma bora, siyo tu kwa Serikali, bali hata kwa wananchi kwa sababu wana haki ya kupatiwa takwimu sahihi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU KUADHIMISHA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA KESHO


11 years ago
GPL
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YAWASILISHA MPANGO MKAKATI WA TAKWIMU ZA KILIMO KWA WADAU.
10 years ago
Michuzi
WATAALAM WA TAKWIMU KUTOKA OFISI ZA TAKWIMU BARANI AFRIKA


11 years ago
Michuzi
WAJUMBE WA BODI WA OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU WAKUTANA LEO KUJADILI MAENDELEO YA OFISI HIYO

10 years ago
Michuzi
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YATANGAZA MATOKEO YA TAKWIMU ZA PATO LA TAIFA KWA ROBO MWAKA YA KWANZA YA MWAKA 2015

11 years ago
Habarileo21 Feb
Ofisi ya takwimu kuzibana wizara
OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS) imewataka wanasiasa nchini, kutumia takwimu sahihi kutoka ofisi hiyo katika kufanya maamuzi. Ofisi hiyo imesema moja ya changamoto inayoikabili ni wanasiasa kutokwenda kutafuta takwimu hivyo kufanya maamuzi bila kuwa na taarifa na takwimu sahihi.
10 years ago
Michuzi
MFUMUKO WA BEI UMEPUNGUA- OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU
Ofisi ya Taifa ya Takwimu imesema kuwa Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Novemba, 2014 umepungua hadi kufikia asilimia 5.8 kutoka 5.9 iliyokuwepo mwezi Oktoba ,2014 kutokana na kupungua kwa kasi ya bei ya bidhaa na huduma katika maeneo mbalimbali nchini.
Akitoa taarifa ya mfumuko wa bei kwa waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Ephraim Kwesigabo amesema kuwa kupungu kwa mfumuko wa Bei...
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Ofisi ya Takwimu yawatupia lawama viongozi nchini