WATAALAM WA TAKWIMU KUTOKA OFISI ZA TAKWIMU BARANI AFRIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-J_e9jt6c8NE/VjdjUHxaRQI/AAAAAAAID8E/B3eB_EZk5mY/s72-c/PICHA%2BNO.%2B2.jpg)
Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Afrika Kusini Risenga Maluleke akizungumza leo na waandishi wa habari kuhusu madhumuni ya mkutano wa watalaam wa takwimu kutoka nchi mbalimbali barani Afrika ambapo wamekutana kujadili Mfumo wa Uongozi Bora katika Ofisi za Takwimu pamoja na Uboreshaji wa Mitaala ya Ufundishaji wa Masomo ya Takwimu. Mkutano huo ni wa siku tano na unafanyika katika hoteli ya Golden Tulip iliyopo Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4R5Mrg_og0I/VHXTLVhvnQI/AAAAAAACvX4/fNBj_Av4mEI/s72-c/PICHA%2BNAMBA%2B2%2B-%2BSIKU%2BYA%2BTAKWIMU%2BAFRIKA.jpg)
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU KUADHIMISHA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-4R5Mrg_og0I/VHXTLVhvnQI/AAAAAAACvX4/fNBj_Av4mEI/s1600/PICHA%2BNAMBA%2B2%2B-%2BSIKU%2BYA%2BTAKWIMU%2BAFRIKA.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ONRbw53B-FY/VHXTMnEPgSI/AAAAAAACvYE/4BuOahB_1F8/s1600/PICHA%2BNO.%2B1%2B-%2BSIKU%2BYA%2BTAKWIMU%2BAFRIKA.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6oG9bjCE3fWcwO04g8ju*0jiExi8GrQtSNo7Oud50cBR9FSN0pHlhpDUwbCUXXv3ku0Fvc7UEhg2dsqWT5cD3No/NBS1.jpg?width=650)
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YAWASILISHA MPANGO MKAKATI WA TAKWIMU ZA KILIMO KWA WADAU.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AkmPItJ2l1E/VQhNHqO0eDI/AAAAAAAHLEY/xGoLX7n3mro/s72-c/EASTC%2B7.jpg)
CHUO CHA TAKWIMU MASHARIKI MWA AFRIKA KUTILIANA SAINI YA MKATABA WA MAKUBALIANO YA MAFUNZO YA WATALAAM WA TAKWIMU NA CHUO CHA TAKWIMU CHA INDIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-AkmPItJ2l1E/VQhNHqO0eDI/AAAAAAAHLEY/xGoLX7n3mro/s1600/EASTC%2B7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IoEQ5edr-Yw/VQhNGNj0rFI/AAAAAAAHLEM/p8_GDc4VALs/s1600/EASTC%2B5.jpg)
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Watalaam wa Takwimu Barani Afrika wakutana jijini Dar
![PICHA NO. 2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/PICHA-NO.-2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Maadhimisho ya siku ya Takwimu Afrika yafanyika Jijini Dar, Serikali yasisitiza uwazi katika Takwimu
Waziri wa Fedha wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Omar Yussuf Mzee akifungua maadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam na kuwashirikisha wadau mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi chini ya kauli mbiu isemayo “Takwimu Huria kwa uwajibikaji na ushirikishwaji wa wadau wote”.
Na Aron Msigwa – MAELEZO, Dar es salaam
SERIKALI kupitia Ofisi ya Taifa ya Takwimu imesema kuwa itaendelea kuwapatia wananchi takwimu sahihi zinazohusu sekta mbalimbali ili kuwajengea...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bWudHk9pUZY/Vnb8lFxU81I/AAAAAAAINkE/WiXfi-iFmLg/s72-c/42db3dcd-f903-491e-9bf7-7067d77246f9.jpg)
CHUO CHA TAKWIMU MASHARIKI MWA AFRIKA CHAFANYA MAHAFALI YA KWANZA YA SHAHADA YA TAKWIMU RASMI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bX0go3TiAgg/VHc5qQfWb9I/AAAAAAAGzzM/lgZ-yqW9ZNA/s72-c/Takwimu%2B-%2B1.jpg)
MAADHIMISHO YA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM, SERIKALI YASISITIZA UWAZI KATIKA TAKWIMU
![](http://1.bp.blogspot.com/-bX0go3TiAgg/VHc5qQfWb9I/AAAAAAAGzzM/lgZ-yqW9ZNA/s1600/Takwimu%2B-%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-coo8fizGrms/VHc5uFEMqvI/AAAAAAAGzz0/QEwvexxv_gU/s1600/Takwimu-%2B2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-DVZacjEUZnI/VHcbWMqMXDI/AAAAAAACTf8/mykQzk2WqJw/s72-c/Takwimu%2B-%2B1.jpg)
MAADIMISHO YA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM, SERIKALI YASISITIZA UWAZI KATIKA TAKWIMU.
![](http://1.bp.blogspot.com/-DVZacjEUZnI/VHcbWMqMXDI/AAAAAAACTf8/mykQzk2WqJw/s1600/Takwimu%2B-%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NBDEX_QDOBM/VHcbf0BxbxI/AAAAAAACTgU/_YUzxBQmKPg/s640/Takwimu%2B-3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yL0rTbWDqLc/VHcbcCgXeXI/AAAAAAACTgM/lo5nyLcx3cg/s640/Takwimu-%2B2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Jan
Takwimu sahihi na za wakati zitasaidia kuleta maendeleo kwa haraka barani Afrika
Waziri Mkuu wa Uganda Mhe. Ruhakana Rugunda akiwahutubia washiriki mbalimbali kutoka barani Afrika (hawapo pichani) wakati wa Mkutano wa Kumi wa Maendeleo ya Takwimu Afrika uliofanyika jana katika Ukumbi wa Mikutano wa Speke Munyoyo Kampala, Uganda. (PICHA NA VERONICA KAZIMOTO – KAMPALA).
Na Veronica Kazimoto, Kampala
WITO umetolewa kwa washiriki wote wa Mkutano wa Kumi wa Maendeleo ya Takwimu Afrika kuelendelea kutoa takwimu sahihi na kwa wakati ili kuleta maendeleo yanayokusudiwa ya...