Takwimu sahihi na za wakati zitasaidia kuleta maendeleo kwa haraka barani Afrika
Waziri Mkuu wa Uganda Mhe. Ruhakana Rugunda akiwahutubia washiriki mbalimbali kutoka barani Afrika (hawapo pichani) wakati wa Mkutano wa Kumi wa Maendeleo ya Takwimu Afrika uliofanyika jana katika Ukumbi wa Mikutano wa Speke Munyoyo Kampala, Uganda. (PICHA NA VERONICA KAZIMOTO – KAMPALA).
Na Veronica Kazimoto, Kampala
WITO umetolewa kwa washiriki wote wa Mkutano wa Kumi wa Maendeleo ya Takwimu Afrika kuelendelea kutoa takwimu sahihi na kwa wakati ili kuleta maendeleo yanayokusudiwa ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
KITUO CHA HABARI, AMANI NA USALAMA BARANI AFRIKA(CIPSA) KIMEWAHIMIZA WATANZANIA KUTUMIA HABARI NA TAKWIMU SAHIHI KWA MAEDELEO
Na Mwandishi Wetu,Michuzi Globu ya jamii
KATIKA kuelekea Siku ya Data wazi Duniani, Asasi ya Kituo cha Habari, Amani na Usalama Barani Afrika(CIPSA) umetoa mwito kwa raia kuendelea utamaduni wa kufuatilia habari sahihi na uwazi ili kuwasaidia katika kusukuma maendeleo yao ya kibinafsi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo hii katika kile alichokiita wiki ya uhamasishaji kupata habari sahihi kuhusu maendeleo yao kuelekea kilele cha siku ya data wazi duniani Machi 7 mwaka huu, Mkurugenzi wa...
KATIKA kuelekea Siku ya Data wazi Duniani, Asasi ya Kituo cha Habari, Amani na Usalama Barani Afrika(CIPSA) umetoa mwito kwa raia kuendelea utamaduni wa kufuatilia habari sahihi na uwazi ili kuwasaidia katika kusukuma maendeleo yao ya kibinafsi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo hii katika kile alichokiita wiki ya uhamasishaji kupata habari sahihi kuhusu maendeleo yao kuelekea kilele cha siku ya data wazi duniani Machi 7 mwaka huu, Mkurugenzi wa...
10 years ago
Michuzi
WATAALAM WA TAKWIMU KUTOKA OFISI ZA TAKWIMU BARANI AFRIKA


10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Watalaam wa Takwimu Barani Afrika wakutana jijini Dar

11 years ago
GPL
RAIS KIKWETE ACHAGULIWA KUWA KIONGOZI MWENYE MCHANGO MKUBWA ZAIDI KATIKA MAENDELEO BARANI AFRIKA KWA MWAKA 2013
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe akiongea na maafisa na wageni mbalimbali katika ubalozi wa Tanzania nchini Marekani mjini Washington DC, Marekani, ambako atapokea tuzo ya Africa’s Most Impactful Leader of the Year kwa niaba ya Mhe. Jakaya Mrisho
Kikwete, Rais wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania mjini humo leo April 9, 2014. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa...
11 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA ELIMU: KUWAWEZESHA VIJANA KUFANYA MAAMUZI SAHIHI YA KIAFYA BARANI AFRIKA
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA MFUMO WA TAKWIMU HURIA BARANI AFRIKA, JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
GPL
SHERIA MPYA YA TAKWIMU KUONGEZA UFANISI WA SHUGHULI ZA KITAFITI NA UPATIKANAJI WA TAKWIMU SAHIHI NCHINI
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu ujio wa sheria mpya ya Takwimu ya mwaka 2015 iliyopitishwa na Bunge Mwezi Machi mwaka huu leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi wa Ofisi hiyo Bw. Morrice Oyuke.…
10 years ago
Vijimambo10 Jul
Ripoti ya UNCTAD ya Maendeleo ya Kiuchumi Barani Afrika 2015 Yazinduliwa


Ofisa Mwandamizi anayeshughulikia Masuala ya Uchumi UN, Laura Paez akifafanua sehemu ya Ripoti ya UNCTAD ya Maendeleo ya Kiuchumi Barani Afrika ya Mwaka 2015 kwa wanahabari jijini...
10 years ago
Michuzi
MKUTANO WA MAENDELEO YA TAKWIMU AFRIKA WAENDELEA NCHINI UGANDA


Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania