SHERIA MPYA YA TAKWIMU KUONGEZA UFANISI WA SHUGHULI ZA KITAFITI NA UPATIKANAJI WA TAKWIMU SAHIHI NCHINI
![](http://api.ning.com:80/files/Vlz-VcMBEuln4wao8Lt6Rqw7xaoOouCYOrN9WQanO0QpYvPe6NLF6z1MjRIQKpaSYkVXnCKs7zE0buEjRedwnEFsYBS3wtzB/sheriayaTakwimu1.jpg?width=650)
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu ujio wa sheria mpya ya Takwimu ya mwaka 2015 iliyopitishwa na Bunge Mwezi Machi mwaka huu leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi wa Ofisi hiyo Bw. Morrice Oyuke.…
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA AIAGIZA TUME YA TAIFA YA UMWAGILIAJI KUANISIHA NA KUTOA TAKWIMU SAHIHI ZA ENEO LA UMWAGILIAJI NCHINI
10 years ago
Dewji Blog18 May
Takwimu zakwamisha upatikanaji wa maendeleo
Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Zanzibar, Bi Amina Shabani akifungua semina ya siku moja ya kujadili mpango utekelezaji wa Maendeleo ya Malengo ya Millenia MDG’s, iliyofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar na kuwashirikisha Maofisa Mipango wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Viongozi wa Taasisi zisizo za Kiserekali, ulioandaliwa na Tume ya Mipango Zanzibar na Wizara ya Mambo ya Nje Tanzania na kufadhiliwa na UNDP.
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
UKOSEFU wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AkmPItJ2l1E/VQhNHqO0eDI/AAAAAAAHLEY/xGoLX7n3mro/s72-c/EASTC%2B7.jpg)
CHUO CHA TAKWIMU MASHARIKI MWA AFRIKA KUTILIANA SAINI YA MKATABA WA MAKUBALIANO YA MAFUNZO YA WATALAAM WA TAKWIMU NA CHUO CHA TAKWIMU CHA INDIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-AkmPItJ2l1E/VQhNHqO0eDI/AAAAAAAHLEY/xGoLX7n3mro/s1600/EASTC%2B7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IoEQ5edr-Yw/VQhNGNj0rFI/AAAAAAAHLEM/p8_GDc4VALs/s1600/EASTC%2B5.jpg)
10 years ago
Habarileo28 Nov
Asisitiza matumizi ya takwimu sahihi
WATANZANIA wametakiwa kutumia takwimu sahihi kuanzia ngazi ya vijiji kwa lengo la kutathmini mipango ya maendeleo huku wakionywa kutotumia takwimu zisizo sahihi kwani zitasababisha matokeo yasiyo sahihi na kuathiri jamii.
10 years ago
Habarileo08 Jul
Asisitiza umuhimu wa takwimu sahihi
MKURUGENZI Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dk Albina Chuwa amesisitiza umuhimu wa kuwa na takwimu sahihi za mazingira ili kuepuka madhara yatokanayo na mabadiliko ya tabia nchi.
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Serikali yasisitiza matumizi ya takwimu sahihi
Kaimu Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Ofisi Bw. Michael Madembwe akizungumza na wazalishaji na watumiaji wa takwimu leo jijini Dar es salaam. Warsha hiyo imewakutanisha wadau hao kutoka maeneo mbalimbali nchini, kubadilishana uzoefu na kuangalia changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika usambazaji na ukusanyaji wa takwimu nchini.
Na Aron Msigwa
SERIKALI imetoa wito kwa watafiti na wataalam kutoka vyuo vikuu, taasisi za elimu na mashirika binafsi kushiriki kikamilifu kuhamasisha jamii...
9 years ago
Habarileo24 Oct
Takwimu sahihi zatajwa kuwa muhimu
OFISI ya Taifa ya Takwimu imesema takwimu sahihi zina umuhimu mkubwa kutokana na kuwa chanzo kikuu cha kupima kasi ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Prof. Wangwe: Tumieni takwimu sahihi
WAANDISHI wa Habari nchini wametakiwa kutumia takwimu sahihi na kuisaidia serikali kupeleka maendeleo na huduma zinazohitajika zaidi kwa wananchi. Akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali mjini Bagamoyo wakati...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LQF_AnDlAkQ/VOYTPzihe0I/AAAAAAAHEmw/4T8Qy0s3cdo/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
SERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA TAKWIMU SAHIHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-LQF_AnDlAkQ/VOYTPzihe0I/AAAAAAAHEmw/4T8Qy0s3cdo/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-27x6KcTgjRg/VOYTPCei3wI/AAAAAAAHEms/TEZMvGCtRpk/s1600/unnamed%2B(38).jpg)