Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Asisitiza umuhimu wa takwimu sahihi

Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dk Albina ChuwaMKURUGENZI Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dk Albina Chuwa amesisitiza umuhimu wa kuwa na takwimu sahihi za mazingira ili kuepuka madhara yatokanayo na mabadiliko ya tabia nchi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Asisitiza matumizi ya takwimu sahihi

WATANZANIA wametakiwa kutumia takwimu sahihi kuanzia ngazi ya vijiji kwa lengo la kutathmini mipango ya maendeleo huku wakionywa kutotumia takwimu zisizo sahihi kwani zitasababisha matokeo yasiyo sahihi na kuathiri jamii.

 

11 years ago

Michuzi

KAMISHNA WA SENSA YA WATU NA MAKAZI ASISITIZA MATUMIZI YA TAKWIMU SAHIHI

Kamishna wa Sensa ya Watu na Makazi Bi. Hajjat Amina Mrisho Said (katikati) akizungumza na Wadadisi wa Utafiti wa Watu Wenye Uwezo wa Kufanya Kazi wa mwaka 2014 kwa Kanda ya kasikazini inayojumuisha mikoa ya Tanga, Arusha, Kilimanjaro na Manyara. Kulia kwake ni Opio Mamu Msimamizi wa mafunzo katika kanda hiyo na kushoto kwake ni Juma Shaban Meneja Takwimu, Ofisi ya Taifa ya Takwimu mkoa wa Manyara. Wadadisi wa Utafiti wa Watu Wenye Uwezo wa Kufanya Kazi wa mwaka 2014 kwa Kanda ya...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI MKUU MHE:PINDA ASISITIZA UWAZI KATIKA MATUMIZI YA TAKWIMU SAHIHI

Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akifungua Kongamano la Kimataifa la Siku 3 la Wakuu wa Taasisi za Takwimu wa nchi 38 za Afrika na 18 kutoka nje ya Bara la Afrika leo jijini Dar es salaam.Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akionyesha kitabu kinachoeleza Maendeleo na historia ya Takwimu katika Bara la Afrika alichokizindua leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Rais wa Taasisi ya Kimataifa ya Takwimu (ISI) Bw. Vijay Nair na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS).Waziri Mkuu Mhe....

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu Mhe. Pinda asisitiza uwazi katika matumizi ya takwimu sahihi

Picha na 1

Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akionyesha kitabu kinachoeleza Maendeleo na historia ya Takwimu katika Bara la Afrika alichokizindua leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Rais wa Taasisi ya Kimataifa ya Takwimu (ISI) Bw. Vijay Nair na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS).

Picha  na 2

Picha na 4

Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akizindua kitabu kinachoeleza Maendeleo na historia ya Takwimu katika Bara la Afrika alichokizindua leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Rais wa Taasisi ya Kimataifa...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU MHE:PINDA ASISITIZA UWAZI KATIKA MATUMIZI YA TAKWIMU SAHIHI

 Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akionyesha kitabu kinachoeleza Maendeleo na historia ya Takwimu katika Bara la Afrika alichokizindua leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Rais wa Taasisi ya Kimataifa ya Takwimu (ISI) Bw. Vijay Nair na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS).

 Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akizindua kitabu kinachoeleza Maendeleo na historia ya Takwimu katika Bara la Afrika alichokizindua leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Rais wa Taasisi ya Kimataifa ya...

 

10 years ago

GPL

SHERIA MPYA YA TAKWIMU KUONGEZA UFANISI WA SHUGHULI ZA KITAFITI NA UPATIKANAJI WA TAKWIMU SAHIHI NCHINI

Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu ujio wa sheria mpya ya Takwimu  ya mwaka 2015 iliyopitishwa na Bunge Mwezi Machi mwaka huu leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi wa Ofisi hiyo Bw. Morrice Oyuke.…

 

10 years ago

Habarileo

Shein asisitiza umuhimu wa Wapatholojia

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein.IMEELEZWA kwamba wakati umefika kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ile ya Mapinduzi Zanzibar, kuwajengea uwezo wataalamu wanaohusiana na uchunguzi wa maradhi ‘Wapatholojia’ kwa lengo la kuimarisha huduma za kimaabara na kuinua sekta ya afya nchini.

 

10 years ago

Habarileo

JK asisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kikanda

Rais Jakaya Kikwete.TANZANIA inaunga mkono kwa dhati ushirikiano wa kikanda na ni muumini mkubwa wa Umoja wa Afrika na Ushirikiano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani