Asisitiza umuhimu wa takwimu sahihi
MKURUGENZI Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dk Albina Chuwa amesisitiza umuhimu wa kuwa na takwimu sahihi za mazingira ili kuepuka madhara yatokanayo na mabadiliko ya tabia nchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Nov
Asisitiza matumizi ya takwimu sahihi
WATANZANIA wametakiwa kutumia takwimu sahihi kuanzia ngazi ya vijiji kwa lengo la kutathmini mipango ya maendeleo huku wakionywa kutotumia takwimu zisizo sahihi kwani zitasababisha matokeo yasiyo sahihi na kuathiri jamii.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dosMkwZ43Ao/Uvi_MK1phtI/AAAAAAAFMKo/6kSV12xozZM/s72-c/TANGA+PICHA+1.jpg)
KAMISHNA WA SENSA YA WATU NA MAKAZI ASISITIZA MATUMIZI YA TAKWIMU SAHIHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-dosMkwZ43Ao/Uvi_MK1phtI/AAAAAAAFMKo/6kSV12xozZM/s1600/TANGA+PICHA+1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MVbF79vEwf8/Uvi_MrqORuI/AAAAAAAFMKc/U31foe7t0Vk/s1600/TANGA+PICHA+2+-.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-m_3KtPFs17Q/VT5Rz39gg1I/AAAAAAAAdDg/nE_sjBEpbUQ/s72-c/Picha%2Bna%2B5.jpg)
WAZIRI MKUU MHE:PINDA ASISITIZA UWAZI KATIKA MATUMIZI YA TAKWIMU SAHIHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-m_3KtPFs17Q/VT5Rz39gg1I/AAAAAAAAdDg/nE_sjBEpbUQ/s1600/Picha%2Bna%2B5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-k4IsvpLrviY/VT5R0T6qW4I/AAAAAAAAdDk/4acV_XFu1JE/s1600/Picha%2B%2Bna%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EV4SO4PX2zs/VT5R9OTP-LI/AAAAAAAAdDw/Hkx-m8lZPpc/s1600/Picha%2Bna%2B4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
Waziri Mkuu Mhe. Pinda asisitiza uwazi katika matumizi ya takwimu sahihi
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akionyesha kitabu kinachoeleza Maendeleo na historia ya Takwimu katika Bara la Afrika alichokizindua leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Rais wa Taasisi ya Kimataifa ya Takwimu (ISI) Bw. Vijay Nair na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS).
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akizindua kitabu kinachoeleza Maendeleo na historia ya Takwimu katika Bara la Afrika alichokizindua leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Rais wa Taasisi ya Kimataifa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sPZvRagUHK0/VT5XHbKBnQI/AAAAAAAHTpI/ec53E00gzeo/s72-c/Picha%2Bna%2B1.jpg)
WAZIRI MKUU MHE:PINDA ASISITIZA UWAZI KATIKA MATUMIZI YA TAKWIMU SAHIHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-sPZvRagUHK0/VT5XHbKBnQI/AAAAAAAHTpI/ec53E00gzeo/s1600/Picha%2Bna%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FyHLNBUlzZ0/VT5XQsMHZdI/AAAAAAAHTps/7iA6fMOsJrw/s1600/Picha%2Bna%2B4.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vlz-VcMBEuln4wao8Lt6Rqw7xaoOouCYOrN9WQanO0QpYvPe6NLF6z1MjRIQKpaSYkVXnCKs7zE0buEjRedwnEFsYBS3wtzB/sheriayaTakwimu1.jpg?width=650)
SHERIA MPYA YA TAKWIMU KUONGEZA UFANISI WA SHUGHULI ZA KITAFITI NA UPATIKANAJI WA TAKWIMU SAHIHI NCHINI
10 years ago
Habarileo19 Nov
Shein asisitiza umuhimu wa Wapatholojia
IMEELEZWA kwamba wakati umefika kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ile ya Mapinduzi Zanzibar, kuwajengea uwezo wataalamu wanaohusiana na uchunguzi wa maradhi ‘Wapatholojia’ kwa lengo la kuimarisha huduma za kimaabara na kuinua sekta ya afya nchini.
10 years ago
Habarileo22 Feb
JK asisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kikanda
TANZANIA inaunga mkono kwa dhati ushirikiano wa kikanda na ni muumini mkubwa wa Umoja wa Afrika na Ushirikiano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).