Shein asisitiza umuhimu wa Wapatholojia
IMEELEZWA kwamba wakati umefika kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ile ya Mapinduzi Zanzibar, kuwajengea uwezo wataalamu wanaohusiana na uchunguzi wa maradhi ‘Wapatholojia’ kwa lengo la kuimarisha huduma za kimaabara na kuinua sekta ya afya nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rnssRpojAFM/VGuROmPiaNI/AAAAAAACTNA/61WNeglO00s/s72-c/IMG_1280.jpg)
DKT.SHEIN AKUTANA NA UONGOZI WA CHAMA CHA WAPATHOLOJIA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-rnssRpojAFM/VGuROmPiaNI/AAAAAAACTNA/61WNeglO00s/s640/IMG_1280.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-obY0dLQQi5k/VGuROUevNkI/AAAAAAACTM8/TE2ewuSVWco/s640/IMG_1290.jpg)
10 years ago
Habarileo22 Feb
JK asisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kikanda
TANZANIA inaunga mkono kwa dhati ushirikiano wa kikanda na ni muumini mkubwa wa Umoja wa Afrika na Ushirikiano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
10 years ago
Habarileo08 Jul
Asisitiza umuhimu wa takwimu sahihi
MKURUGENZI Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dk Albina Chuwa amesisitiza umuhimu wa kuwa na takwimu sahihi za mazingira ili kuepuka madhara yatokanayo na mabadiliko ya tabia nchi.
10 years ago
VijimamboWAZIRI MEMBE ASISITIZA UMUHIMU WA VIWANDA
10 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE ASISITIZA UMUHIMU WA VIWANDA NCHINI
Mhe. Membe alipongeza uamuzi wa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China kuichagua Tanzania kuwa miongoni mwa nchi tatu za Afrika itakapohamishia baadhi ya viwanda vyake, akazitaka taasisi za uwekezaji na uendelezaji wa viwanda kuweka mikakati madhubuti ya kutumia fursa hiyo...
10 years ago
Dewji Blog24 Jul
Bhalalusesa asisitiza umuhimu wa umahiri katika Tehama
Kiongozi wa kitaifa wa mradi wa CFIT, Prof. Ralph Masenge akimkaribisha mgeni rasmi Kaimu Kamishina wa Elimu, Benjamin Kulwa (hayupo pichani) kufungua kongamano linalohusu upitiaji wa waraka wa mafunzo ya Tehama kwa wakufunzi wa vyuo vya ualimu linalofanyika mjini Bagamoyo.
Kaimu Kamishina wa Elimu, Benjamin Kulwa akisoma hotuba kwa niaba ya Kamishina wa Elimu, Profesa Eustella Bhalusesa wakati akifungua rasmi kongamano linalohusu upitiaji wa waraka wa mafunzo ya Tehama kwa wakufunzi wa...
10 years ago
Dewji Blog16 Aug
Waziri Mkuu Pinda asisitiza umuhimu wa ardhi katika uwekezaji
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda.
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda amewatoa Watanzania hofu kuhusu suala la wageni kumiliki ardhi nchini.
Waziri Mkuu Pinda alitoa kauli hiyo jijini Dar es salaam wakati akifungua mkutano wa pili wa majadiliano ya pamoja kati ya Serikali ya Mitaa ya China na Tanzania ambapo walishirikiana pia na sekta ya biashara kutoka nchi hizo.
“Hofu ni halali na ni lazima kwa Watanzania...
10 years ago
Habarileo23 Dec
Shein asisitiza ulipaji kodi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein ametoa wito wa kuongeza ufanisi katika ulipaji na ukusanyaji wa kodi nchini.
11 years ago
Habarileo06 Apr
Dk Shein asisitiza Serikali 2 mwafaka
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohammed Shein amesisitiza kuwa, muundo wa Serikali mbili ndio unaofaa.