Dk Shein asisitiza Serikali 2 mwafaka
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohammed Shein amesisitiza kuwa, muundo wa Serikali mbili ndio unaofaa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Dec
Shein asisitiza ulipaji kodi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein ametoa wito wa kuongeza ufanisi katika ulipaji na ukusanyaji wa kodi nchini.
10 years ago
Habarileo19 Nov
Shein asisitiza umuhimu wa Wapatholojia
IMEELEZWA kwamba wakati umefika kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ile ya Mapinduzi Zanzibar, kuwajengea uwezo wataalamu wanaohusiana na uchunguzi wa maradhi ‘Wapatholojia’ kwa lengo la kuimarisha huduma za kimaabara na kuinua sekta ya afya nchini.
10 years ago
Habarileo20 Feb
Shein asisitiza kodi kwa maendeleo
RAIS wa Zanziari Dk Ali Mohamed Shein amewataka wafanyabiashara na wananchi wote kuendelea kulipa kodi ili kuiwezesha Serikali kutekeleza majukumu yake ipasavyo ikiwemo kutekeleza miradi ya maendeleo na kutoa huduma bora kwa wananchi.
9 years ago
Habarileo18 Aug
Mbowe asisitiza Muungano wa serikali tatu
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema upinzani ukiingia madarakani utahakikisha unakuwepo Muungano wa serikali tatu unaotokana na maridhiano ya pande mbili za Jamhuri ya Muungano.
11 years ago
Mwananchi08 Jul
KATIBA: Silaa asisitiza serikali mbili lazima
10 years ago
Mwananchi10 Nov
Dk Shein:Serikali mbili muafaka
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Shein ‘agusa’ Serikali mbili
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-V-X_GuruOQM/XqBk-TQ8yDI/AAAAAAACJ8A/BD89ESquXBcCOZBVZrI3X8p5jeF4NMbIACLcBGAsYHQ/s72-c/11.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI: SERIKALI HAITAWAFUNGIA WANANCHI MAJUMBANI WALA KULIFUNGA JIJI LA DAR ES SALAAM KWA SABABU YA CORONA, ASISITIZA WATU KUENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI ZAIDI HUKU WAKICHAPA KAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-V-X_GuruOQM/XqBk-TQ8yDI/AAAAAAACJ8A/BD89ESquXBcCOZBVZrI3X8p5jeF4NMbIACLcBGAsYHQ/s400/11.jpg)
Rais Dk. John Magufuli amesema Serikali haitawafungia wananchi majumbani (lockdown) wala kulifunga Jiji la Dar es Salaam ili kuepusha madhara makubwa yanayoweza kuwakumba wananchi na kuathiri uchumi wa nchi, na ametaka Watanzania kuondoa hofu, kuendelea kuchukua tahadhari huku wakiendelea na shughuli zao za uzalishaji mali na ujenzi wa Taifa.
“Tuwaondoe hofu wananchi, sio ugonjwa huu pekee unaosababisha vifo kwa wananchi, na sio kila anayepoteza...
11 years ago
Habarileo02 Mar
Dk Shein apigia debe serikali mbili
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema mchakato wa kupatikana kwa Katiba mpya na wakati wa marekebisho ya Katiba ya Zanzibar, mamlaka za nchi hizo zilikubaliana kuwepo kwa serikali mbili pekee.