Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KATIBA: Silaa asisitiza serikali mbili lazima

>Siku moja baada ya kuelezwa kuwa msimamo wa kung’ang’ania serikali mbili ni maagizo ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Jerry Silaa amesisitiza kuwa serikali mbili ni lazima.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Pinda: Serikali mbili lazima

Wakati mjadala mkali ndani ya Bunge Maalumu la Katiba ukitarajiwa kuwa muundo wa Muungano, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesisitiza Serikali mbili.

 

11 years ago

Habarileo

CCM yasisitiza serikali mbili katika Katiba

KATIBU wa Idara ya Itikadi na Uenezi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amesema CCM bado ni muumini mkubwa wa sera ya Serikali mbili katika Muungano.

 

11 years ago

GPL

KOCHA YANGA ASISITIZA LAZIMA WAUPIME UWANJA WA ALEXANDRIA

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Saleh Ally, Cairo Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm amesema pamoja na kusafiri leo Jumamosi, lakini lazima waupime uwanja watakaochezea mechi leo. Pluijm raia wa Uholanzi amesema ni jambo la msingi kwao kufanya mazoezi kwenye uwanja huo, hivyo lazima. Yanga imeanza safari leo hii asubuhi kwenda Alexandria, mwendo wa saa mbili kutoka hapa Cairo.  “Baada ya kufika...

 

11 years ago

Mwananchi

Mikakati Bunge la Katiba: CCM ‘yakomalia’ serikali mbili [VIDEO]

Hata hivyo, msemaji huyo wa CCM alikiri kuwa ili mfumo huu wa serikali mbili uendelee kufanya kazi, lazima baadhi ya mambo yabadilike.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali tatu au mbili zipo hata sasa ndani ya Katiba

Reading, Uingereza. Katiba, katiba katiba. Huu ndiyo wimbo ulioko katika midomo ya Watanzania walio wengi. Na ni kati ya kitu ambacho kimeonekana kuwaweka Watanzania pamoja kuliko kitu kingine nilichowahi kusikia. 

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yaanza kugawa nakala milioni mbili Katiba inayopendekezwa

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro amesema kila kata nchini itapata nakala 300 za Katiba Inayopendekezwa ili kuwawezesha wananchi  kuisoma na kushiriki katika Kura ya Maoni iliyopangwa kufanyika Aprili 30, mwaka huu.

 

5 years ago

Michuzi

DC KINONDONI ASISITIZA KUWACHAPA VIBOKO WATAKAOSABABISHA MIKUSANYIKO ISIYO YA LAZIMA BAA

Na Said Mwishehe, Michuzi TV

MKUU  wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam Daniel Chongolo amesema wataendelea kuchukua hatua ya kuchapa viboko watu ambao watakuwa wanafanya mikusanyiko ambao haitakuwa wa lazima hasa kwenye Baa huku akisisitiza watu watachapwa kweli kweli.

Chongolo amesema hayo jijini Dar es Salaam wakati anazungumza na Michuzi TV pamoja na Michuzi Blog wakati anafafanua msimamo wa kuchukua hatua ya kuwacharaza viboko watu ambao watakuwa wanaweka mkusanyiko usio wa lazima...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la #Katiba: 'Wachache' wakomalia serikali tatu, 'Wengi' walia na mbili [VIDEO]

Serikali ya Muungano iliyopendekezwa na Rasimu ya Pili ya Katiba yaweza kujiendesha kwa kutafuta vyanzo mbalimbali vya mapato.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani