Serikali yaanza kugawa nakala milioni mbili Katiba inayopendekezwa
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro amesema kila kata nchini itapata nakala 300 za Katiba Inayopendekezwa ili kuwawezesha wananchi kuisoma na kushiriki katika Kura ya Maoni iliyopangwa kufanyika Aprili 30, mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Serikali yaanza kusambaza Katiba Inayopendekezwa
Waziri Migiro akiongea na baadhi ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.
Na Mwandishi Wetu
Serikali imeanza kusambaza nakala milioni mbili za Katiba Inayopendekezwa nchini kote ili kuwawezesha wananchi kuisoma na kushiriki katika Kura ya Maoni iliyopangwa kufanyika tarehe 30 Aprili mwaka huu.
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro amesema leo (Jumatano, Februari 11, 2015) jijini Dar es Salaam kuwa kati ya nakala hizo zilizochapwa jijini Dar es Salaam, nakala 1,800,000...
10 years ago
Mtanzania12 Feb
Katiba inayopendekezwa yaanza kusambazwa
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
SERIKALI imeanza kusambaza nakala milioni mbili za Katiba inayopendekezwa nchini kote ili kuwawezesha wananchi kuisoma na kushiriki katika kura ya maoni iliyopangwa kufanyika Aprili 30.
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Asha-Rose Migiro, alisema jijini Dar es Salaam jana kuwa kati ya nakala hizo zilizochapwa, 1,800,000 zinasambazwa Tanzania Bara na 200,000 upande wa Zanzibar.
Dk. Migiro alisema hadi kufikia juzi, jumla ya nakala 707,140 zilikuwa zimesambazwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aL6oy8fL_qY/VQbU4WOjWyI/AAAAAAAHKuA/oOi6zZjxVBg/s72-c/unnamedc1.jpg)
WAZIRI MIGIRO AKABIDHI NAKALA ZA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA WALEMAVU, TAASISI ZA KIDNI NA ASASI ZA KIRAIAB
Watanzania wametakiwa kuisoma katiba inayopendekezwa kwa umakini ili kuweza kufanya maamuzi sahihi katika kuandika historia mpya ya nchi.
Hayo aliyasema leo Waziri wa Katiba na Sheria,Dkt. Asha-Rose Migiro wakati akikabidhi katiba inayopendekezwa kwa makundi mbalimbali,Migiro amesema nchi itaandika historia mpya baada ya kupata katiba mpya.
Alisema wananchi wakisoma katiba kwa umakini kutasaidia kufikia matarajio katika kutengeneza ramani ya nchi kwa kuvuka...
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Waziri Migiro akabidhi nakala za Katiba Inayopendekezwa kwa walemavu, taasisi za kidni na asasi za kiraia
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro akimkabidhi nakala za Katiba Inayopendekezwa mwakilishi wa Baraza Kuu la Taasisi na Jumuiya za Kiislam Sheikh Mussa Kundecha katika hafla fupi ya kugawa nakala hizo zilizoandaliwa na Serikali kwa taasisi mbalimbali iliyofanyika katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam leo (Jumatatu, Machi 16, 2015). (Picha: Farida Khalfan, Wizara ya Katiba na Sheria).
Mwenyekiti wa Chama cha Albino Tanzania Bw. Ernest Kimaya akisoma nakala za Katiba...
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Kura mbili zapitisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qyn*Uz1WnG8IiU4ts1rWhIDZYu0Au3gjNNON9xKODLtR*bmajGGeAcZnFCWSnCHSSUtY7DBVrznL1VExTdwKJZfyJ66-FerU/unnamed28.jpg?width=650)
MKOA WA DODOMA UMEPOKEA NAKALA 61,290 ZA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA AJILI YA KUZIGAWA KWA WANANCHI
10 years ago
Habarileo12 May
NEC sasa yaanza kugawa majimbo
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeanza rasmi mchakato wa kugawa majimbo ya uchaguzi nchini ambapo inatarajia kuanza uchunguzi wa mipaka ya majimbo hayo hivi karibuni, ikiwa ni hatua ya maandalizi ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
11 years ago
Habarileo15 Jan
CCM yasisitiza serikali mbili katika Katiba
KATIBU wa Idara ya Itikadi na Uenezi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amesema CCM bado ni muumini mkubwa wa sera ya Serikali mbili katika Muungano.
11 years ago
Mwananchi08 Jul
KATIBA: Silaa asisitiza serikali mbili lazima