DC KINONDONI ASISITIZA KUWACHAPA VIBOKO WATAKAOSABABISHA MIKUSANYIKO ISIYO YA LAZIMA BAA
![](https://1.bp.blogspot.com/-qLBfjpF4_zU/XpypPSuqqcI/AAAAAAALncU/U94ieWT0J4gtKBG95jko4NY1UxR0o5g4wCLcBGAsYHQ/s72-c/DC%2BKINO.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam Daniel Chongolo amesema wataendelea kuchukua hatua ya kuchapa viboko watu ambao watakuwa wanafanya mikusanyiko ambao haitakuwa wa lazima hasa kwenye Baa huku akisisitiza watu watachapwa kweli kweli.
Chongolo amesema hayo jijini Dar es Salaam wakati anazungumza na Michuzi TV pamoja na Michuzi Blog wakati anafafanua msimamo wa kuchukua hatua ya kuwacharaza viboko watu ambao watakuwa wanaweka mkusanyiko usio wa lazima...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aZqqb1RNZEU/Xn3BwmXC81I/AAAAAAALlQ8/JhDQ7B5p2cwFAAxTyOWJaAu2lCvavNKewCLcBGAsYHQ/s72-c/65d8da03-ab8f-4cdd-8a6b-ae0242671671.jpg)
KINONDONI YA PAMBANA NA CORONA KWA KUPULIZIA DAWA KWENYE MAENEO YA MIKUSANYIKO
Zoezi hilo limefanyika katika maeneo mbalimbali ikiwemo makazi ya wananchi , maeneo ya kutolea huduma mbalimbali ikiwemo masoko sambamba na kwenye mikusanyiko ya watu hususani Kanisani na...
11 years ago
Mwananchi08 Jul
KATIBA: Silaa asisitiza serikali mbili lazima
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VMB94olbxS1KUXphY0U47D4laBLxC*CFhUlgLRS9F0nyaxUKrUNPfsr0M0JTm2GFIFYUVc9GC7kbzapFvqrS-DcuQ0M-I6aJ/PLUIJMKITAMBI.jpg?width=650)
KOCHA YANGA ASISITIZA LAZIMA WAUPIME UWANJA WA ALEXANDRIA
11 years ago
GPLMAFURIKO YAZINGIRA BAA YA BEN KINYAIYA KINONDONI-VIJANA DAR
9 years ago
Dewji Blog06 Oct
Shindano la Serengeti Masta lafana katika baa ya Meridian Kinondoni
Mmoja wa wateja wa bia ya Serengeti aliyefahamika kwa jina la Mwasiti Masauni (wa kwanza kulia) akichagua karatasi ya maswali ili kujiwezesha kushinda kiasi cha Tsh. 50,000/= (Elfu Hamsini), wakati wa shindano la kumtafuta Serengeti Masta wa baa ya Meridan iliyopo Kinondoni jijini Dar es Salaam. Shindano hilo ambalo linazunguka baa kwa baa jijini Dar es salaam na mikoani lina lengo la kuwatafuta washindi mbalimbali wanaoweza kuitambua ladha halisi ya bia ya Serengeti na hatimaye...
10 years ago
Habarileo05 Jan
Watakaosababisha njaa Masasi kukiona
MWENYEKITI wa Halmashauri ya wilaya ya Masasi ambaye pia ni Diwani wa kata ya Chiungutwa, Juma Satma amewaagiza wenyeviti wa vijiji na vitongoji kusimamia kilimo kwenye maeneo yao na kwamba atakayesababisha njaa katika eneo lake asijilaumu kwa yatakayomfika.
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Phiri aisifu Kagera kwa kuwachapa
9 years ago
Vijimambo16 Aug
YANGA YAENDELEZA REKODI YA KUWACHAPA MBEYA CITY
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/11863434_732791986867181_7612666654763943644_n1.jpg)
Miamba ya kandanda Tanzania bara, Dar es salaam Young Africans imeendelea kuinyanyasa Mbeya City FC baada ya jioni ya leo kuichapa 3-2 katika mechi ya kirafiki iliyochezwa uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.Magoli ya Yanga yamefungwa na Mbrazil, Andrey Coutinho, Mrundi, Amissi Tambwe na Mzimbabwe, Donald Ngoma, wakati magoli ya Mbeya City yamefungwa na Bakari Mwinjuma na Meshack Samuel.Hiki ni kipigo cha tatu cha aina hiyo kwani msimu uliopita katika mechi mbili za ligi kuu, Yanga ilishinda 3-1...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TaPqW3t5M5s/XoNHb8t7uqI/AAAAAAALlsg/qjGu5VobaY8uw3xc1OEeEN7mtw7TTTeSwCLcBGAsYHQ/s72-c/4f1d517e-0b9d-4454-ae42-5229b2a953d9.jpg)
WAFUGAJI WATAKIWA KUZUIA MIKUSANYIKO MINADANI.
Akizungumza na wafugaji mara baada ya kutembelea minada ya mifugo katika soko la kimataifa la mifugo lilipo wilayani longido pamoja na mnada wa Miserani,uliopo wilayani monduli mkoani Arusha,Ulega alisema kuwa tahadhari ni muhimu kuchukuliwa na kuhakikisha kuwa wafugaji na wafanyabishara...