Phiri aisifu Kagera kwa kuwachapa
Kocha wa Simba, Patrick Phiri ameipongeza timu ya Kagera Sugar kwa kuibuka na ushindi dhidi ya timu yake na akidai kuwa kikosi chake kilikosa bahati kwenye mchezo huo wa juzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Phiri awagwaya Kagera Sugar
Kocha wa Simba, Patrick Phiri ameingiwa na mchecheto na mechi yao dhidi ya Kagera Sugar itakayochezwa leo na kudai mchezo huo utakuwa mgumu, lakini anaamini atapata pointi tatu.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-hJ31ZuoygbQ/XrPx-CyypHI/AAAAAAALpX8/LnYFrf_isKMsz5MIw0P8ZFL06bvPTMMEwCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2Bno.%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA AFYA, DK. NDUGULILE AISIFU TAASISI YA JKCI KWA UPASUAJI WA KUPANDIKIZA MISHIPA YA DAMU KWENYE MOYO
Dkt. Ndugulile: Endeleeni kutibu watu wenye magonjwa mengine na si wa Covid -19 tu
Na John Stephen, WAMJW – Dar es Salaam
07/05/2020 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewataka wataalamu wa afya kuendelea kutibu watu wenye magonjwa mengine kama vile matatizo ya moyo na figo katika kipindi hiki cha ugonjwa wa Covid-19.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Faustine Ndugulile baada ya kuitembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na kuwaona wagonjwa...
Na John Stephen, WAMJW – Dar es Salaam
07/05/2020 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewataka wataalamu wa afya kuendelea kutibu watu wenye magonjwa mengine kama vile matatizo ya moyo na figo katika kipindi hiki cha ugonjwa wa Covid-19.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Faustine Ndugulile baada ya kuitembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na kuwaona wagonjwa...
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Assad aisifu Urusi
Rais wa Syria Bashar al-Assad anasema kuwa kuingia kwa Urusi katika vita nchini mwake kumeleta mabadiliko
9 years ago
Vijimambo16 Aug
YANGA YAENDELEZA REKODI YA KUWACHAPA MBEYA CITY
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/11863434_732791986867181_7612666654763943644_n1.jpg)
Miamba ya kandanda Tanzania bara, Dar es salaam Young Africans imeendelea kuinyanyasa Mbeya City FC baada ya jioni ya leo kuichapa 3-2 katika mechi ya kirafiki iliyochezwa uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.Magoli ya Yanga yamefungwa na Mbrazil, Andrey Coutinho, Mrundi, Amissi Tambwe na Mzimbabwe, Donald Ngoma, wakati magoli ya Mbeya City yamefungwa na Bakari Mwinjuma na Meshack Samuel.Hiki ni kipigo cha tatu cha aina hiyo kwani msimu uliopita katika mechi mbili za ligi kuu, Yanga ilishinda 3-1...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qLBfjpF4_zU/XpypPSuqqcI/AAAAAAALncU/U94ieWT0J4gtKBG95jko4NY1UxR0o5g4wCLcBGAsYHQ/s72-c/DC%2BKINO.jpg)
DC KINONDONI ASISITIZA KUWACHAPA VIBOKO WATAKAOSABABISHA MIKUSANYIKO ISIYO YA LAZIMA BAA
![](https://1.bp.blogspot.com/-qLBfjpF4_zU/XpypPSuqqcI/AAAAAAALncU/U94ieWT0J4gtKBG95jko4NY1UxR0o5g4wCLcBGAsYHQ/s400/DC%2BKINO.jpg)
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam Daniel Chongolo amesema wataendelea kuchukua hatua ya kuchapa viboko watu ambao watakuwa wanafanya mikusanyiko ambao haitakuwa wa lazima hasa kwenye Baa huku akisisitiza watu watachapwa kweli kweli.
Chongolo amesema hayo jijini Dar es Salaam wakati anazungumza na Michuzi TV pamoja na Michuzi Blog wakati anafafanua msimamo wa kuchukua hatua ya kuwacharaza viboko watu ambao watakuwa wanaweka mkusanyiko usio wa lazima...
10 years ago
Tanzania Daima06 Oct
Patrick Phiri: Tutaponea kwa Yanga
KOCHA Mkuu wa Simba, Mzambia Patrick Phiri,amesema mechi yao dhidi ya Yanga itakayopigwa Oktoba 18, ndio itakuwa kipimo cha mwisho kwao kwa msimu huu. Kauli hiyo ya Phiri ni kutokana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yC7AOXGJlPVaQeT-BmUYyWOppPglguJBJLpYYzKWbHpxW6-IuuyFky5agocfPQVB5SStn*lJ0ELCahwDCJD*i4zvdqFKaKvj/maxi.jpg)
Maximo, Phiri waungana... kwa Jaja, Okwi
Kocha Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo. Na Wibert Molandi
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, ameungana na Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri, kuilalamikia safu yake ya ushambuliaji inayoshindwa kutumia vyema nafasi nyingi inazopata uwanjani. Phiri ndiye alikuwa kocha wa kwanza kuilalamikia safu yake ya ushambuliaji inayoongozwa na Mganda, Emmanuel Okwi, Amissi Tambwe na Paul Kiongera.Safu ya...
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Phiri: Okwi ana deni kubwa kwa wanasimba
Kocha wa Simba, Patrick Phiri amemwambia mshambuliaji, Emmanuel Okwi kuwa ana deni kubwa kwa Wanasimba ambalo anapaswa kulilipa kwa uwezo wake wa kutandaza soka uwanjani.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFIRzV3y-jSzpK5bJX1cU6cXxXCjXWZC3TIYzuZxn5beOWj*ctbrJjHim0Gq-DU11wazP0EKpIY*L0qDl*D59Nu-/1.jpg)
Maximo, Phiri uso kwa uso Zanzibar
Kocha mkuu wa Simba Mzambia, Patrick Phiri. Na Wilbert Molandi
MAKOCHA wa klabu kongwe na pinzani za Simba na Yanga, keshokutwa Jumapili kila mmoja atatumia muda wake kwa ajili ya kusoma mbinu za mwenzake ndani ya uwanja mmoja. Hiyo itakuwa mara ya kwanza kwa makocha hao kukutana kwenye uwanja mmoja ambapo Yanga inanolewa na Mbrazili, Marcio Maximo huku Simba ikifundishwa na Mzambia, Patrick Phiri. Timu zote zinatarajiwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania