Assad aisifu Urusi
Rais wa Syria Bashar al-Assad anasema kuwa kuingia kwa Urusi katika vita nchini mwake kumeleta mabadiliko
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Urusi yashambulia maadui wa Assad Syria
Urusi imeanza kufanya mashambulizi ya anga dhidi ya wanaompinga rais wa Syria Bashar al-Assad
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Phiri aisifu Kagera kwa kuwachapa
Kocha wa Simba, Patrick Phiri ameipongeza timu ya Kagera Sugar kwa kuibuka na ushindi dhidi ya timu yake na akidai kuwa kikosi chake kilikosa bahati kwenye mchezo huo wa juzi.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-hJ31ZuoygbQ/XrPx-CyypHI/AAAAAAALpX8/LnYFrf_isKMsz5MIw0P8ZFL06bvPTMMEwCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2Bno.%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA AFYA, DK. NDUGULILE AISIFU TAASISI YA JKCI KWA UPASUAJI WA KUPANDIKIZA MISHIPA YA DAMU KWENYE MOYO
Dkt. Ndugulile: Endeleeni kutibu watu wenye magonjwa mengine na si wa Covid -19 tu
Na John Stephen, WAMJW – Dar es Salaam
07/05/2020 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewataka wataalamu wa afya kuendelea kutibu watu wenye magonjwa mengine kama vile matatizo ya moyo na figo katika kipindi hiki cha ugonjwa wa Covid-19.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Faustine Ndugulile baada ya kuitembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na kuwaona wagonjwa...
Na John Stephen, WAMJW – Dar es Salaam
07/05/2020 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewataka wataalamu wa afya kuendelea kutibu watu wenye magonjwa mengine kama vile matatizo ya moyo na figo katika kipindi hiki cha ugonjwa wa Covid-19.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Faustine Ndugulile baada ya kuitembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na kuwaona wagonjwa...
10 years ago
Daily News02 Dec
Prof Assad new CAG
Daily News
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has appointed Professor Mussa Juma Assad the new Controller and Auditor General (CAG) effective November 5. Professor Assad fills in the position left by Mr Ludovick Utouh who retired in September. The statement sued by ...
10 years ago
BBCSwahili15 Mar
Marekani hatimae itazungumza na Assad
John Kerry asema hatimae patakuwa hakuna budi ila kuzungumza na Rais Assad kumaliza vita Syria
9 years ago
BBCSwahili06 Dec
Assad: Mashambulizi ya Uingereza si halali
Rais wa Syria Bashar al-Assad amelaani hatua ya ndege za Uingereza kushambulia maeneo nchini mwake akisema sio halali.
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
Prof. Assad usikubali kuyumbishwa
RAIS Jakaya Kikwete, amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Ludovick Utouh ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria. Profesa...
10 years ago
Habarileo02 Dec
Profesa Assad awa CAG mpya
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
9 years ago
BBCSwahili21 Oct
Assad afanya ziara ya ghafla Moscow
Rais wa Syria Bashar al-Assad amefanya mashauriano na Rais wa Urusi Vladimir Putin baada yake kufanya ziara ya kushtukiza Moscow.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania