Prof. Assad usikubali kuyumbishwa
RAIS Jakaya Kikwete, amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Ludovick Utouh ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria. Profesa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Daily News02 Dec
Prof Assad new CAG
Daily News
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has appointed Professor Mussa Juma Assad the new Controller and Auditor General (CAG) effective November 5. Professor Assad fills in the position left by Mr Ludovick Utouh who retired in September. The statement sued by ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gF6nrYcVaLY/VH4UQLBtcjI/AAAAAAAG024/eAXY9POpRN0/s72-c/Juma-Assad.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MjNY3FB6OV8-IjSdz6QHhRWMjTZd9jkAylaz6MPf3G1p4SrPelgytLvxSAgOXCsxIyNojbVhvRPX3CGGR0t5is8/IKULULEO.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AMTEUA PROF MUSSA ASSAD KUWA CAG MPYA, KUAPISHWA KESHO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Desemba Mosi, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi wa Bwana Assad ulianza Novemba 5, mwaka huu, 2014. Taarifa hiyo imeongeza kuwa Bwana Assad ataapishwa kesho, Jumanne, Desemba 2, saa nne asubuhi,...
10 years ago
GPL![](http://blog.ikulu.go.tz/wp-content/uploads/2014/12/1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AMWAPISHA CAG MPYA, PROF MUSA JUMA ASSAD IKULU JIJINI DAR
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Musa Juma Assad Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 02, 2014. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitia sahihi yake kwenye nyaraka baada ya kumuapisha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Profesa Musa Juma Assad Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 02, 2014.… ...
10 years ago
Michuzi03 Dec
10 years ago
Mwananchi07 Mar
JK akana kuyumbishwa na kashfa za ufisadi
>Rais Jakaya Kikwete amesema haoni tatizo kwa vyombo vya habari kuandika kashfa zinazoibua mijadala kwenye jamii kwa kuwa yanasaidia uongozi kujirekebisha, lakini akaonya kuwa vyombo hivyo vikitumia uhuru wao kuchochea chuki, vurugu na mifarakano, Serikali haitavumilia.
10 years ago
Michuzi06 Dec
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Usikubali kuomba radhi!
RAIS wangu sikubaliani na wote wanaokutaka uombe radhi kwa agizo lako uliloagiza! Uombe radhi kwa kosa lipi? Kusema "Acheni unyonge, uvumilivu una ukomo wake," si kauli ya kuomba radhi. Uombe...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbKh-JY2ugPcR21raijCHt0ZAoTU3KrEbpn34e4HwsILlsV8-w3OnsDp7hBUb88Wu0hgm1RvV-3Pu1WkmIKCge7y/mahaba.jpg?width=650)
USIKUBALI KUACHIKA UKIWA KWENYE UCHUMBA!
UJANA una mambo mengi lakini vijana wa zama hizi tumezidisha. Matukio ndani ya uhusiano ni mengi zaidi ya wakati uliopita. Kukutana na wanandoa wanaoachana baada ya miaka miwili tu ni jambo la kawaida siku hizi. Si ajabu tena kusikia msichana amechumbiwa na amevalishwa pete kabisa lakini baada ya siku kadhaa anaachwa. Hii ni aibu! Utakuta msichana hadi anaingia kwenye ndoa, ameshavaa pete za uchumba kutoka kwa wanaume hata wanne...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania